Kuna mshikaji wangu mmoja kaacha Mmubulu juzi ndoa ina miezi 3. Anasema hataki hata kumuona, ana kila aina ya shida!Unaoa mmbulu miksa mnyaturu alafu unasema katulia? We itakua ni wa kuja wewe kaskazini yote inajua tabia ya wambulu na wanyaturu umeolea masela
🤣🤣 nadhani wametuweka kimoyomoyo namba 6Nimeangalia pia nikasema hivyo hivyo 😆😆
Wachaga waondoe kabisa..Makabila haya mwanamke anaweza kukuacha hata kwa kumsonya tu.
1.warangi
2.wapare
3.wahaya
4.wameru
5.wachagga
No offence kwa wambulu ni wazuri kimuonekano ( hapa wanaume wengi wanaangukia), ila ni wakorofi aisee, sasa kama jama aliolea uzuri ameenda na majiKuna mshikaji wangu mmoja kaacha Mmubulu juzi ndoa ina miezi 3. Anasema hataki hata kumuona, ana kila aina ya shida!
Wangoni niunga mkono hojaKuna wangoni na wanyaturu mwenge usiruke Kijiji tafadhari
ina maana wanawake wakiislamu huwa wakiwa kwenye ndoa huwa wanakaa mguu mmoja ndani, mwingine nje?Uko sahihi. Kama ndoa za kiislam, talaka ni kama kumtuma mtoto dukani. Hata wanawake wa hiyo dini huwa wanamchukulia waume zao kama watu baki ambao wanaweza kuwaacha muda wowote. Siyo kama kwenye ukristo hakuna talaka, lakini kuna nafuu.
wambulu sifa zao mbaya, inasemekana wengi pia hawajatulia labda aamue mwenyewe. Inaelekea jamaa kapitia magumu sana.Kuna mshikaji wangu mmoja kaacha Mmubulu juzi ndoa ina miezi 3. Anasema hataki hata kumuona, ana kila aina ya shida!
Kariri hivyo hivyo kijana.Unaoa mmbulu miksa mnyaturu alafu unasema katulia? We itakua ni wa kuja wewe kaskazini yote inajua tabia ya wambulu na wanyaturu umeolea masela
Aaaah hao wameru innocent nje ila ndani mbwa balaaa!!Wapare waweke namba moja na kwa umalayer pia wanaongoza, wameru waondoe hapo dada zangu wametulia sana.
Hujakosea wambulu hawajatulia na pia ni kiasi fulani wako offensive.wambulu sifa zao mbaya, inasemekana wengi pia hawajatulia labda aamue mwenyewe. Inaelekea jamaa kapitia magumu sana.
Hizo ni sababu lakini ukweli unabaki kuwa ni mmoja tu.Makabila haya mwanamke anaweza kukuacha hata kwa kumsonya tu.
1.warangi
2.wapare
3.wahaya
4.wameru
5.wachagga
Yaani Wazaramo wanapotea kama utani... Hawa sio wa kukosa kwenye hii orodhaUnashangaa wanyaki hata wazaramo na wamakonde wameachwa
Hao ni top5 nyinyi ni nafasi ya6 lakini ni wanyakyusa wa kyela ila wa rungwe wapo humbleLeo wanyakyusa tumekoswakoswa...daah[emoji3061]
Kwenye ukristo talaka ipo,na jambo pekee linalohalalisha talaka ni uasherati,mmoja akifanya uasherati mwenzake ana haki ya kutoa talaka au kumsamehe akitaka Mathayo19:9Uko sahihi. Kama ndoa za kiislam, talaka ni kama kumtuma mtoto dukani. Hata wanawake wa hiyo dini huwa wanamchukulia waume zao kama watu baki ambao wanaweza kuwaacha muda wowote. Siyo kama kwenye ukristo hakuna talaka, lakini kuna nafuu.
Hongera sana,ulichonifurahisha umebakia kwenye mada hujaingiza udini hata kidogo.Hizo ni sababu lakini ukweli unabaki kuwa ni mmoja tu.
Hakuna mwanamke atayestahamili kuishi na wewe kama hatimiziwi haja yake.
Woow! Tukuyu oyeeeHao ni top5 nyinyi ni nafasi ya6 lakini ni wanyakyusa wa kyela ila wa rungwe wapo humble
Uislam ni mwema sana.Hongera sana,ulichonifurahisha umebakia kwenye mada hujaingiza udini hata kidogo.