Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 8,611
- 16,118
Mimi Sina familia ila natumia 100K kwa siku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh! Mkuu saving yako ipo na hali gani?Chai 1000
Lunch 1500
Soda 600
Maji 1000
Vocha 2000
Dinner 2500
Beer 2000
Snack 1000
Nauli 2500
8000-12000 per day japokua inaweza pungua zaidi ya hapo au kuongezeka
N:B Mshahara wangu ni 150000 per month,
Je, nikisema kuwa natumia laki kwa siku utaniamini mkuu? Pia matumizi hutofautiana siku na siku especially mwisho wa mwezi na siku za manunuzi makubwa.kwanini mkuu? maana hamna haja ya kudanganya mbona
Mwendo wa kula kusurvive sio kuenjoy 😃so huwa hauli kitu roho inapenda bali unakula uluchonacho?
Yah, sio mbaya... maana pia inategemea na salary ya mtuSina familia hapo Mimi mwenyewe ila nasomesha ,sijaingia familia ndo maana nikakwambia ikiwa ni siku ya kazini najumlisha chai kule ofisi,chakula cha mchana na usafiri then na emergency naweza kutoka kazini hata saa 7 usiku sasa usafiri mpaka Uber au bolt maana izi daladala zinasumbua.
Approximate mean makadirio yaani ile gharama inayotokea mara nyingi, Mtu akidanganya hawezi kufaidika chochote maana mwisho wa siku nobody careJe, nikisema kuwa natumia laki kwa siku utaniamini mkuu? Pia matumizi hutofautiana siku na siku especially mwisho wa mwezi na siku za manunuzi makubwa.
Sina savings kubwa, ninacheza michezo ambayo nikipokea nayo nalipa kodi kama ndo msimu wake then nyingine inaishia viwanja siku za weekend na kununua viatuDuh! mkuu saving yako ipo na hali
Sio kwa style hii ya kula suti mkuu hata kama ni kuzichanga sio hividah! asee sio poa au unazichanga kwaajili ya malengo mkuu
All in all ni angalizo tu mkuuapproximate mean makadirio yaani ile gharama inayotokea mara nyingi, Mtu akidanganya hawezi kufaidika chochote maana mwisho wa siku nobody care
Sio poa mzee, hasa DSM chakula ndo kipo juu kinoma ukikaa kizembe hela yote inaishia kwenye msosiKiukweli maisha ya mtaa ni magumu hasa kwa sisi wengine tunaoingia mtaani mara moja kila baada ya miezi isiyopungua sita. Kuna kipindi ilibidi nimuulize jamaa yangu hivi unawezaje kuishi kwa ukame huu??