Makadirio ya gharama za matumizi yako kwa siku

Makadirio ya gharama za matumizi yako kwa siku

Nkiwa kazini
1. Chai - 1000
2. Mafuta - 3000
3. Mchana - pasi ndefu
4. Dinner - 3000
5. Maji na chiga - 2000
6. Vocha - 1000.
Nkienda kuona familia
1. Majanga!
2. Majanga!
3. Majanga!
Upande huu hua haueleweki. So kama utaratibu ulivo, nkiamka nmenuna hakuna stori, kilichopo ndo kitachoenda kinywani.
Mambo yakikaa mswano napitia buchani kuchangamsha meno.
Zaidi ya hapo ni jam tu!
Dah! Kudadadeki maisha ni ngumu
 
Hamna wakati hela inatoka kama asubuhi.
Mfano watoto shule
Hela ya matumizi ya kila siku nyumbani
Nauli ya kwenda kazini
Bando za kwenye sim

Hili ni asubuhi tu, bado mchana ikiwa kazini
Bado jioni wakati wa kurudi nyumbani

Ufike nyumbani ukute bill za umeme, maji, king'amuzi,taka , usafi.

Kwa mzunguko huo sio chini ya 20,000 kwa siku.

Maajabu ya Mungu hapo unakuta mtu kipato rasmi hakifiki hata laki 5 kwa mwezi lakini mtu unatoboa na hakuna hata deni moja unalodaiwa.
 
Habari wakuu,
Life limekuw tight mno wakati huu ila sidhani kama ni kwetu wote, ila kama unavyoona hapo kwenye kichwa cha huu uzi ebu tujuzane gharama za matumizi yetu ya kila siku...

Mfano mimi ni single boy ila Approximately ya matumizi yangu kwa siku huwa haizidi 8000Tsh, hapo nimekula asubuhi,mchana na usiku na pia Bundle la kutosha kuendesha mbanga. (Hapo kwenye kula nakula ninachokitaka, Yaani roho inachotaka sio ninachopa)

Matumizi yangu yanazidi kufika 8k maximum sanasana nikishinda nyumbani ila nikiingia harakati matumizi hupungua na kujikuta natumia 5000Tsh tu... Hii ni kutokana na kazi kuniweka busy kiasi cha kukosa nafasi ya kula ahsbh na mchana.

So nataka kujua na ninyi ndugu zangu Wenye familia na msio na familia vipi makadirio yenu yapo vipi kwenye matumizi ya siku... Nahitahi kujifunza na kujua kama kuna uwezekano wa kupunguza matumizi zaidi au kuongeza pindi nitakapobidi iwapo mfano nikijakuwa na familia inanibidi kuwa na uwezo wa kuacha balance ya shngap mezani.

Twenzetuni
5000-10000
 
Hamna wakati hela inatoka kama asubuhi.
Mfano watoto shule
Hela ya matumizi ya kila siku nyumbani
Nauli ya kwenda kazini
Bando za kwenye sim

Hili ni asubuhi tu, bado mchana ikiwa kazini
Bado jioni wakati wa kurudi nyumbani

Ufike nyumbani ukute bill za umeme, maji, king'amuzi,taka , usafi.

Kwa mzunguko huo sio chini ya 20,000 kwa siku.

Maajabu ya Mungu hapo unakuta mtu kipato rasmi hakifiki hata laki 5 kwa mwezi lakini mtu unatoboa na hakuna hata deni moja unalodaiwa.
respect mkuu🙌
 
Habari wakuu,
Life limekuw tight mno wakati huu ila sidhani kama ni kwetu wote, ila kama unavyoona hapo kwenye kichwa cha huu uzi ebu tujuzane gharama za matumizi yetu ya kila siku...

Mfano mimi ni single boy ila Approximately ya matumizi yangu kwa siku huwa haizidi 8000Tsh, hapo nimekula asubuhi,mchana na usiku na pia Bundle la kutosha kuendesha mbanga. (Hapo kwenye kula nakula ninachokitaka, Yaani roho inachotaka sio ninachopa)

Matumizi yangu yanazidi kufika 8k maximum sanasana nikishinda nyumbani ila nikiingia harakati matumizi hupungua na kujikuta natumia 5000Tsh tu... Hii ni kutokana na kazi kuniweka busy kiasi cha kukosa nafasi ya kula ahsbh na mchana.

So nataka kujua na ninyi ndugu zangu Wenye familia na msio na familia vipi makadirio yenu yapo vipi kwenye matumizi ya siku... Nahitahi kujifunza na kujua kama kuna uwezekano wa kupunguza matumizi zaidi au kuongeza pindi nitakapobidi iwapo mfano nikijakuwa na familia inanibidi kuwa na uwezo wa kuacha balance ya shngap mezani.

Twenzetuni
Kiingereza hicho na upo chuo!!!..nchi hii Ina shida Sana siku za usoni
 
Mkuu[emoji119] kama ni kweli basi upo ngazi ya uchumi juu
Mkuu ni nilikosea kuandk ni hv
8,000 had 10,000
Naish mbali na familia huko wenyew wapo 5 wanatumia 4000 had 7000 maan vingn vpo ndan

Nisha edit pale
 
Back
Top Bottom