Makadirio ya gharama za matumizi yako kwa siku

Makadirio ya gharama za matumizi yako kwa siku

Home 6000
Chai 1000
Mchana 1500
Nauli 2000
Matunda 500( ndizi mbili au parachichi)
Supu ya pweza jioni 1000
Mtoto shule 1000
Sinywagi soda wala alcohol yoyote
12,500....inaweza kuongezeka au kupungua lakini hiyo ni mara nyingi sana
 
Home 6000
Chai 1000
Mchana 1500
Nauli 2000
Matunda 500( ndizi mbili au parachichi)
Supu ya pweza jioni 1000
Mtoto shule 1000
Sinywagi soda wala alcohol yoyote
12,500....inaweza kuongezeka au kupungua lakini hiyo ni mara nyingi sana
6000 huwa inamtosha mama K kubalance mkala hadi usiku?
 
Asubuh mihogo 1000
Mchn ugal mboga 1500
+ konyag ndog 4000
Kwa jion supu 3000
+konyag ya kat 8000
total =tzsh 17500
mkuu ukiacha hizo konyagi hiyo hela ukaiweka kwa kibubu kwa miaka mitano una Nyumba au gari thamani ya 20m+😁
 
Mimi nyumbani ni 20,000/= daily Kwa mwezi 600,000/= hapo ni nje ya bill ya maji, Luku,gas na ulinzi.

Hapo hujamwagilia moyo bado wala kumpa tafuta yeyote.

Cha kushangaza sina mshahara kabisa maana bora hata wanaolipwa laki mbili mwisho wa mwezi wanapokea.

Lakini maisha yanakwenda Mungu ni mwema kila wakati, hatima ya maisha yako haijabebwa na wanasiasa Bali ni Mungu tu mtumaini yeye na hutoaibika.
 
Mimi nyumbani ni 20,000/= daily Kwa mwezi 600,000/= hapo ni nje ya bill ya maji, Luku,gas na ulinzi.

Hapo hujamwagilia moyo bado wala kumpa tafuta yeyote.

Cha kushangaza sina mshahara kabisa maana bora hata wanaolipwa laki mbili mwisho wa mwezi wanapokea.

Lakini maisha yanakwenda Mungu ni mwema kila wakati, hatima ya maisha yako haijabebwa na wanasiasa Bali ni Mungu tu mtumaini yeye na hutoaibika.
NomašŸ™Œ, umetisha sana mkuu... wanasema Mungu humpa mtu mtihani anaoumudu.
 
Mimi ndiyo wa hovyo kabisa ikija suala la hela. Nitakayotoka nayo lazima iishe, hata nikitoka na laki 2, ikirudi nimejitahidi sana 50k.
So sina kiasi kwa siku natumia kiasi gani.
Nikibeba hela ndiyo kosa, nanunua vitu hata sikupanga, nalipia wengine lunch ujinga tu. Nilizoeshwa hela toka utotoni so ni mpuuzi kwenye hela najijua.
 
But unahitaji kujifunza kuhusu nini kutokana na swali lako
Chai 1000
Lunch 1500
Soda 600
Maji 1000
Vocha 2000
Dinner 2500
Beer 2000
Snack 1000
Nauli 2500


8000-12000 per day japokua inaweza pungua zaidi ya hapo au kuongezeka

N:B Mshahara wangu ni 150000 per month,
8000 *30 days = 240,000/= ukitoa kwenye mshahara inabaki: 150,000 -240,000 = - 90,000/=
Unatakiwa utumie si zaidi ya 5k kwa siku.
 
Mimi ndiyo wa hovyo kabisa ikija suala la hela. Nitakayotoka nayo lazima iishe, hata nikitoka na laki 2, ikirudi nimejitahidi sana 50k.
So sina kiasi kwa siku natumia kiasi gani.
Nikibeba hela ndiyo kosa, nanunua vitu hata sikupanga, nalipia wengine lunch ujinga tu. Nilizoeshwa hela toka utotoni so ni mpuuzi kwenye hela najijua.
Yan hii kitu hata mimi inanicost mambo ya kuzoeshwa ela toka udogo yan huoni shida kuzitumia kwasabab ni kawaida
 
Mimi ndiyo wa hovyo kabisa ikija suala la hela. Nitakayotoka nayo lazima iishe, hata nikitoka na laki 2, ikirudi nimejitahidi sana 50k.
So sina kiasi kwa siku natumia kiasi gani.
Nikibeba hela ndiyo kosa, nanunua vitu hata sikupanga, nalipia wengine lunch ujinga tu. Nilizoeshwa hela toka utotoni so ni mpuuzi kwenye hela najijua.
Kwa kifupi,tuseme wewe ni mbovu wa bajeti. Unafanana na wifi yako. Kila siku tunagombana kwenye suala la bajeti,mpaka Kuna siku akaniambia nina gubu.

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Mimi ndiyo wa hovyo kabisa ikija suala la hela. Nitakayotoka nayo lazima iishe, hata nikitoka na laki 2, ikirudi nimejitahidi sana 50k.
So sina kiasi kwa siku natumia kiasi gani.
Nikibeba hela ndiyo kosa, nanunua vitu hata sikupanga, nalipia wengine lunch ujinga tu. Nilizoeshwa hela toka utotoni so ni mpuuzi kwenye hela najijua.
hela unatafuta mwenyewe au unapewa na mumeo?
 
Back
Top Bottom