Makalla atua Katavi na kusema Watasikiliza kero za Wananchi lakini siyo zile zilizopo Mahakamani

Makalla atua Katavi na kusema Watasikiliza kero za Wananchi lakini siyo zile zilizopo Mahakamani

Huyu makonda atakuja kuwa kama job, maana atakosa upande. Amejichanganya sana. Mara anatetea wanyonge mara anasimama na mama yake hataki asemwe kwa mabaya. Atajikuta anaishia kujiuzulu
Sahihi
 
Awapo ndio nini mleta mada?
awapo = whenever (njeo ya wakati usio dhahiri, ujirudiao).

Pia humaanisha ^wakati wowote^ unaorejelea tukio husika, au tukio linalojirudia.

Whenever he speaks, people are happy.

1. [Wakati wowote] azungumzapo, watu hupata furaha.

2. Azungumzapo watu hupata furaha.

3. Awapo katika mazungumzo, watu hupata furaha.
 
Makonda alizunguka mikoa ishirini akitangaza kutatua kero, ripoti yake ilipofika kenye chama ikawekwa kapuni.

Leo karibu mkuu ameeleza umma kwamba awapo tayari kuingilia mahakama. Je, wale wananchi walioshangilia ahadi za Makonda ikiwemo zile za kupingana mahakama watasaidikaje?

Kwanini CCM imewachanganya wananchi? Viongoz kila mmoja ana msimamo wake?
---
Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM Taifa, Amosi Makalla amesema lazima Watu wajue kuwa mambo yaliyo Mahakamani yanamalizwa Mahakamani na hakuna Kiongozi wa Serikali au Chama anayeweza kuingilia Mhimili wa Mahakama.

Akiongea Mkoani Katavi leo wakati wa ziara ya Katibu Mkuu wa CCm, Emmanuel Nchimbi na Viongozi wengine, Makalla amesema
“Ninaposikiliza kero Mimi nimetoka kwenye Ukuu wa Mkoa, la kwanza tutasikiliza kero ambazo hazipo Mahakamani, siku moja nipo Mbeya kuna Mtu alikuja na makabrasha akasema Mahakama ya kwanza nilishindwa, Mahakama ya Wilaya nillishindwa, Mahakama Kuu nilishindwa, Mahakama ya Rufaa nilishindwa, wewe umeteuliwa na Rais tengua hizo hukumu zote, itawezekana wapi!?”

“Lazima Watu wetu wajue mambo yaliyo Mahakamani yanamalizwa Mahakamani, tutakachokupa ushauri basi kata rufaa, tunachowasaidia Wananchi yale mashauri ambayo yanahitaji mambo ya utawala, kwahiyo ukija mkutano wa hadhara tunawakaribisha lakini usilete mambo ambayo yapo Mahakamani, ukweli lazima usemwe itakuwa tunawadanganya tu Watu kwamba hili unajua lipo Mahakamani tutakusaidia, sio kweli lazima wakati mwingine tuwe Wakweli”

Katika hatua nyingine Makalla amesema katika jitihada za kuufanya Mkoa wa Katavi uwe na umeme wa uhakika, mradi kuunganisha Mkoa huo na gridi ya Taifa unaendelea kwa kasi na sasa umefikia 56%.

“Nilikuwa natembelea mara kwa mara kwenye jenereta zetu, umeme hautoshi unakatikakatika na huku mvua za radi zikianza kila saa umeme unakatika na wakati huo unaangalia Simba na Yanga halafu umeme unakatika, ninayo heshima na furaha kusema tayari Serikali inaendele kutekeleza wa kuunganisha Katavi na gridi ya Taifa, mradi umefikia 56% na kasi ya mradi huo mtaiona ikiendelea lazima tuwe na umeme wa uhakika”
MAKALA YUPO SAHIHI YULE MWINGINE NI KICHAA
 
Makonda alizunguka mikoa ishirini akitangaza kutatua kero, ripoti yake ilipofika kenye chama ikawekwa kapuni.

Leo karibu mkuu ameeleza umma kwamba awapo tayari kuingilia mahakama. Je, wale wananchi walioshangilia ahadi za Makonda ikiwemo zile za kupingana mahakama watasaidikaje?

Kwanini CCM imewachanganya wananchi? Viongoz kila mmoja ana msimamo wake?
---
Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM Taifa, Amosi Makalla amesema lazima Watu wajue kuwa mambo yaliyo Mahakamani yanamalizwa Mahakamani na hakuna Kiongozi wa Serikali au Chama anayeweza kuingilia Mhimili wa Mahakama.

Akiongea Mkoani Katavi leo wakati wa ziara ya Katibu Mkuu wa CCm, Emmanuel Nchimbi na Viongozi wengine, Makalla amesema
“Ninaposikiliza kero Mimi nimetoka kwenye Ukuu wa Mkoa, la kwanza tutasikiliza kero ambazo hazipo Mahakamani, siku moja nipo Mbeya kuna Mtu alikuja na makabrasha akasema Mahakama ya kwanza nilishindwa, Mahakama ya Wilaya nillishindwa, Mahakama Kuu nilishindwa, Mahakama ya Rufaa nilishindwa, wewe umeteuliwa na Rais tengua hizo hukumu zote, itawezekana wapi!?”

“Lazima Watu wetu wajue mambo yaliyo Mahakamani yanamalizwa Mahakamani, tutakachokupa ushauri basi kata rufaa, tunachowasaidia Wananchi yale mashauri ambayo yanahitaji mambo ya utawala, kwahiyo ukija mkutano wa hadhara tunawakaribisha lakini usilete mambo ambayo yapo Mahakamani, ukweli lazima usemwe itakuwa tunawadanganya tu Watu kwamba hili unajua lipo Mahakamani tutakusaidia, sio kweli lazima wakati mwingine tuwe Wakweli”

Katika hatua nyingine Makalla amesema katika jitihada za kuufanya Mkoa wa Katavi uwe na umeme wa uhakika, mradi kuunganisha Mkoa huo na gridi ya Taifa unaendelea kwa kasi na sasa umefikia 56%.

“Nilikuwa natembelea mara kwa mara kwenye jenereta zetu, umeme hautoshi unakatikakatika na huku mvua za radi zikianza kila saa umeme unakatika na wakati huo unaangalia Simba na Yanga halafu umeme unakatika, ninayo heshima na furaha kusema tayari Serikali inaendele kutekeleza wa kuunganisha Katavi na gridi ya Taifa, mradi umefikia 56% na kasi ya mradi huo mtaiona ikiendelea lazima tuwe na umeme wa uhakika”
Kesi iko mahakamani unataka mwenezi aamue kama nani? Jaman majukum ya mahakama yaachwe huko huko
 
awapo = whenever (njeo ya wakati usio dhahiri, ujirudiao).

Pia humaanisha ^wakati wowote^ unaorejelea tukio husika, au tukio linalojirudia.

Whenever he speaks, people are happy.

1. [Wakati wowote] azungumzapo, watu hupata furaha.

2. Azungumzapo watu hupata furaha.

3. Awapo katika mazungumzo, watu hupata furaha.
Ulichokielezea wewe hakiendani na mantiki ya mtoa hoja.
'Awapo' yake alimaanisha ...'hawapo'...
Kwa viswahili vyao vya 'akuna' nk nk.
 
Hata kama issue iko mahakamani, si aelezee position au maamuzi sahihi yanayitakiwa kufanyika? Mbona Waziri wa Ardhi, Jerry Slaa, amekuwa akieleza waziwazi kuwa wasimazi wa mirathi hawana authority kuuza ardhi au majengo ya mirathi, na mahakama zimekuwa zikibariki ardhi au majengo yaliyouzwa na wasimamizi wa mirathi, sasa kama hiyo elimu isingetolewa, wasimamizi wa mirathi wangeendelea kudhulumu.
 
awapo = whenever (njeo ya wakati usio dhahiri, ujirudiao).

Pia humaanisha ^wakati wowote^ unaorejelea tukio husika, au tukio linalojirudia.

Whenever he speaks, people are happy.

1. [Wakati wowote] azungumzapo, watu hupata furaha.

2. Azungumzapo watu hupata furaha.

3. Awapo katika mazungumzo, watu hupata furaha.
Walimu huwa mna mbwembwe sana!
 
Ni sahihi chama na serikali kinahitaji vijana na ndiio walio wengi kwa mujibu wa sensa

Hawa wazee no please wanaendesha mambo kizamani sana Hata hilo la kusikikiliza wananchi kijana makonda ndio kalianzisha .Viongozi vizee vikongwe vilivyoko CCM wala havikuwa na huo ubunifu akiwemo Kikongwe Makalla mwenyewe
Jamaa cha wapiga dili tupu
 
Mwenezi wa CCM Komredi Amos Makala amesema katika Ziara yao Katavi na maeneo mengine watasikiliza kero za wananchi lakini siyo zile zilizoko mahakamani

Makala amesema wanajua Wananchi Wana changamoto mbalimbali na kimbilio lao ni CCM

Source Jambo TV
Safi sana
Naamini kweli Nchimbi ana akili.

Sio upuuzi ule uliokuwa unafanywa kwa watu kuingilia mhimili wa Mahakama as if Tanzania ni banana Republic na haina Katiba wala Sheria
 
Ulichokielezea wewe hakiendani na mantiki ya mtoa hoja.
'Awapo' yake alimaanisha ...'hawapo'...
Kwa viswahili vyao vya 'akuna' nk nk.
Nadhani wewe ndiye hukumwelewa muuliza-swali.

Muulizaji akiungana na wewe katika hili, basi naye atakuwa hajielewi. 😂😂😂
 
Hata kama issue iko mahakamani, si aelezee position au maamuzi sahihi yanayitakiwa kufanyika? Mbona Waziri wa Ardhi, Jerry Slaa, amekuwa akieleza waziwazi kuwa wasimazi wa mirathi hawana authority kuuza ardhi au majengo ya mirathi, na mahakama zimekuwa zikibariki ardhi au majengo yaliyouzwa na wasimamizi wa mirathi, sasa kama hiyo elimu isingetolewa, wasimamizi wa mirathi wangeendelea kudhulumu.
Mkuu, huko ni kukwepa uwajibikaji. Tuliosomea Q-ba tushamsoma mwenezi kitambo.
 
Hata kama issue iko mahakamani, si aelezee position au maamuzi sahihi yanayitakiwa kufanyika? Mbona Waziri wa Ardhi, Jerry Slaa, amekuwa akieleza waziwazi kuwa wasimazi wa mirathi hawana authority kuuza ardhi au majengo ya mirathi, na mahakama zimekuwa zikibariki ardhi au majengo yaliyouzwa na wasimamizi wa mirathi, sasa kama hiyo elimu isingetolewa, wasimamizi wa mirathi wangeendelea kudhulumu.
Umeishia darasa la ngapi?

Unajua maana ya (Independence of Judiciary) Uhuru wa Mahakama?

Unajua maana ya Les subjudice?

Au watu waanze kukupa darasa hapa ili ujione kuwa wewe ni kilaza wa mwisho duniani?
 
Makonda alizunguka mikoa ishirini akitangaza kutatua kero, ripoti yake ilipofika kenye chama ikawekwa kapuni.

Leo karibu mkuu ameeleza umma kwamba awapo tayari kuingilia mahakama. Je, wale wananchi walioshangilia ahadi za Makonda ikiwemo zile za kupingana mahakama watasaidikaje?

Kwanini CCM imewachanganya wananchi? Viongoz kila mmoja ana msimamo wake?
---
Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM Taifa, Amosi Makalla amesema lazima Watu wajue kuwa mambo yaliyo Mahakamani yanamalizwa Mahakamani na hakuna Kiongozi wa Serikali au Chama anayeweza kuingilia Mhimili wa Mahakama.

Akiongea Mkoani Katavi leo wakati wa ziara ya Katibu Mkuu wa CCm, Emmanuel Nchimbi na Viongozi wengine, Makalla amesema
“Ninaposikiliza kero Mimi nimetoka kwenye Ukuu wa Mkoa, la kwanza tutasikiliza kero ambazo hazipo Mahakamani, siku moja nipo Mbeya kuna Mtu alikuja na makabrasha akasema Mahakama ya kwanza nilishindwa, Mahakama ya Wilaya nillishindwa, Mahakama Kuu nilishindwa, Mahakama ya Rufaa nilishindwa, wewe umeteuliwa na Rais tengua hizo hukumu zote, itawezekana wapi!?”

“Lazima Watu wetu wajue mambo yaliyo Mahakamani yanamalizwa Mahakamani, tutakachokupa ushauri basi kata rufaa, tunachowasaidia Wananchi yale mashauri ambayo yanahitaji mambo ya utawala, kwahiyo ukija mkutano wa hadhara tunawakaribisha lakini usilete mambo ambayo yapo Mahakamani, ukweli lazima usemwe itakuwa tunawadanganya tu Watu kwamba hili unajua lipo Mahakamani tutakusaidia, sio kweli lazima wakati mwingine tuwe Wakweli”

Katika hatua nyingine Makalla amesema katika jitihada za kuufanya Mkoa wa Katavi uwe na umeme wa uhakika, mradi kuunganisha Mkoa huo na gridi ya Taifa unaendelea kwa kasi na sasa umefikia 56%.

“Nilikuwa natembelea mara kwa mara kwenye jenereta zetu, umeme hautoshi unakatikakatika na huku mvua za radi zikianza kila saa umeme unakatika na wakati huo unaangalia Simba na Yanga halafu umeme unakatika, ninayo heshima na furaha kusema tayari Serikali inaendele kutekeleza wa kuunganisha Katavi na gridi ya Taifa, mradi umefikia 56% na kasi ya mradi huo mtaiona ikiendelea lazima tuwe na umeme wa uhakika”
Jamani, hivi kwa sasa watanzania, wengi, mumechanganyikiwa Sana. Hivi, kweli unaweza, kuandika Uzi mrefu kama gazeti, na ukaongea uongo mtupu. Ni lini na wapi Makonda alisema au aliingilia, issue za mahakamani? Nakumbuka Makonda alisema tena akiwa Njombe, kuwa watanzania wasikimbilie mahakamani. Lakin hakuingilia kesi za mahakamani. Yaan hoja yako muhimu ni kutaka kumsifia bumunda,, Makalla. Pole Sana.
 
Nadhani wewe ndiye hukumwelewa muuliza-swali.

Muulizaji akiungana na wewe katika hili, basi naye atakuwa hajielewi. 😂 Emb jaribu kusoma thread ili uone mantiki ya mtoa mada katika muktadha huo.
Mkuu imekuwaje tena!

Kiswahili ni lugha yetu bhana.

Rudia kusoma thread ili uone mantiki ya mwandishi katika muktadha wake.

Wewe umekuja kutafsiri kwa usahihi 'kitenzi' kilichokwisha kukosewa.

Sasa, tafsiri yako sahihi kwa neno lililokosewa haiwezi kuhalalisha makosa ya matumizi ama makosa ya uandishi wa neno husika.
 
Back
Top Bottom