Makamanda tunayo ya kujifunza kwa Raila Odinga

Makamanda tunayo ya kujifunza kwa Raila Odinga

Raila amefanikiwa katika haya maandamano kwa sababu taarifa za ndani zinadai tiyari Taifa la Kenya limepoteza zaidi ya Bilion Mbili leo hii.
 
Odinga hajakimbilia ubelgiji dubai wala canada kama kina fulani...amekaza 😅😅

Jipeni moyo:

Frq0smXWYAUVthf.jpeg
 
Raila amefanikiwa katika haya maandamano kwa sababu taarifa za ndani zinadai tiyari Taifa la Kenya limepoteza zaidi ya Bilion Mbili leo hii.
Acha nikwambie ukweli. Mimi ndio Chongolo mwenyewe nimetumia tu ID nyingine kwa lengo lile lile la wanasiasa wa Tanzania kuhadaa.
Haya nipe sasa kijambo chako.
 
Akili yako ya hovyo sana .
Sijui ulienda shule zipi, sijui ni hizi za kata ?!
Viongozi wetu wengi Tanzania wamesoma shule za Serikali.
Chunga mdomo wako.

Ningekuwa na Akili ndogo ungenijibu? Kwa Akili yako unajibishana na Akili ya hovyo?
img_20230314_215542-jpg.2558531


Mfyuuuuuuuuuuuuuu
 
Mimi kwenye kuandamana nitoeni siwezi kutumika kumpambania Mr big belly yoyote nitaandamana kama nyumba yangu itavunjwa

Wala hakuna anayewahitaji vijana wa hovyo wasiokuwa na mchango wowote kwa taifa hili. Yaani hata usipotutaarifu mbona tuko vizuri tu?
 
Chezeeni Serikali na Dola zake.....isitoshe karibia kila uzi majivu yenu ni kudai kuwa akwilina alifanyiwa uovu. Mnalia kila siku....
Sasa mnataka Kina Akwilina wengine kwa sababu zenu binafsi.

R.I.P Akwilina
Bila machafuko hatutapata mabadiliko tutakayo. Huu utapeli wa maridhiano ni kupotezeana muda.
 
Ni bora wizara tatu nne lakin hakuna kamanda atakayepambania wapumbavu ambao wakiambiwa kuandamana wanasema lissu atangilie na watoto wake, huko kenya mmeona mtoto hata mmoja wa Raila kwenye hayo maandamano? so nasema hivi hakuna kamanda atakayepambania wapumbavu mpaka mtakapojitambua ndio makamanda watawapambania.

Tofautisha vijana hovyo ndugu. Hata huko Kenya wapo. Mbona tunatosha sana? Ni faraja mno kwao wakisikia kuwa nasi tutaacha. Tunaacha vipi? Hawa mbona tunazaa nao tu?
 
Acha nikwambie ukweli. Mimi ndio Chongolo mwenyewe nimetumia tu ID nyingine kwa lengo lile lile la wanasiasa wa Tanzania kuhadaa.
Haya nipe sasa kijambo chako.
nikiona chongolo na msukuma wanakugonga kijambio wewe na mamako kwa wakati mmoja nitakupa kijambia, punga wewe unafikir kila mtu anaakili kama zako.
 
Nakumbuka makamanda waliambiwa kwenye maandamano wakae mbele ili wamwagwe mkojo vizuri...tangia hapo wakapoteana mazima 😊😊
Viongozi wenu walizoea kutanguliza masikini kama chambo huku wao wanatafuna ruzuku wakakutanana na Chuma. No asali ni pumzi ya moto tu 😅😅🔥🔥🔥

Yeye chuma alikuwa mbele na familia yake kuzuia hayo maandamano?
 
Mbowe alisema amehangaika sana mwishowe Mali zake zimetaifishwa na Serikali amechoka ngoja naye alambe asali arudishe Mali zake.

Kwanini kufungamanisha ukombozi na majina ya watu? Kwani wewe ni mmoja wa wale vijana wa hovyo msiokuwa na mchango wowote kwa taifa hili?
 
Yapo mengi ya kujifunza kwa nguli mpigania haki huyu:

1. Kutambua siasa ni sayansi yenye kubadilika kulingana na mazingira.
2. Hakuna rafiki wala adui wa kudumu bali agenda.
3. Maandamano yasiyo na ukomo ndiyo njia pekee ya kupata tunachohitaji na kwa wakati.
4. Hakuna nguvu iliyo kuu kuizidi nguvu ya Umma.
5. Maandamano hupangwa na kuratibiwa kikamilifu kuweza kufanikiwa na hata kufika kuliko dhamiriwa.
6. Maandamano hayawezi kuja spontaneous kama mvua.
7. Kwenye maandamano huwa casualties hawakosekani na anaweza kuwa awaye yote.
8. Raila au wakenya katika Mapambano si wajinga wanayo hoja na wanakijua wanachokipigania.

View attachment 2559513

Mafunzo mengine karibuni tuongezee.

View attachment 2559510

"Hatuna haja ya kupoteza muda na vijana was hovyo."

Hadi hapo:

"Shikamoo Raila Amolo Odinga."
Makamanda gani? Hawa wa kukimbilia ughaibuni kisa Gwajima kasema neno?

Hakuna makamanda hapa Tz.
 
Yapo mengi ya kujifunza kwa nguli mpigania haki huyu:

1. Kutambua siasa ni sayansi yenye kubadilika kulingana na mazingira.
2. Hakuna rafiki wala adui wa kudumu bali agenda.
3. Maandamano yasiyo na ukomo ndiyo njia pekee ya kupata tunachohitaji na kwa wakati.
4. Hakuna nguvu iliyo kuu kuizidi nguvu ya Umma.
5. Maandamano hupangwa na kuratibiwa kikamilifu kuweza kufanikiwa na hata kufika kuliko dhamiriwa.
6. Maandamano hayawezi kuja spontaneous kama mvua.
7. Kwenye maandamano huwa casualties hawakosekani na anaweza kuwa awaye yote.
8. Raila au wakenya katika Mapambano si wajinga wanayo hoja na wanakijua wanachokipigania.

View attachment 2559513

Mafunzo mengine karibuni tuongezee.

View attachment 2559510

"Hatuna haja ya kupoteza muda na vijana was hovyo."

Hadi hapo:

"Shikamoo Raila Amolo Odinga."
Dawa yenu picha ya jiwe tu tutaiweka kila sehem
 
Back
Top Bottom