johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Namwamini Mungu wa mbinguni tu!Mkuu, hivi wewe, kipo unachokiamini na usichokiamini kutoka moyoni?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namwamini Mungu wa mbinguni tu!Mkuu, hivi wewe, kipo unachokiamini na usichokiamini kutoka moyoni?
😂😂😂😂😂Amani ndo kitu muhimu jamaniMakamanda wepi tena hao jamani?
Kumbe TZ tuna makamanda na wengine hatujui🤣🤣🤣🤣🤣
Hii model inafaa hapa nyumbani pia.Yapo mengi ya kujifunza kwa nguli mpigania haki huyu:
1. Kutambua siasa ni sayansi yenye kubadilika kulingana na mazingira.
2. Hakuna rafiki wala adui wa kudumu bali agenda.
3. Maandamano yasiyo na ukomo ndiyo njia pekee ya kupata tunachohitaji na kwa wakati.
4. Hakuna nguvu iliyo kuu kuizidi nguvu ya Umma.
5. Maandamano hupangwa na kuratibiwa kikamilifu kuweza kufanikiwa na hata kufika kuliko dhamiriwa.
6. Maandamano hayawezi kuja spontaneous kama mvua.
7. Kwenye maandamano huwa casualties hawakosekani na anaweza kuwa awaye yote.
8. Raila au wakenya katika Mapambano si wajinga wanayo hoja na wanakijua wanachokipigania.
View attachment 2559513
Mafunzo mengine karibuni tuongezee.
View attachment 2559510
"Hatuna haja ya kupoteza muda na vijana wa hovyo."
Hadi hapo:
"Shikamoo Raila Amolo Odinga."
Ukiwa na njaa amani utaitoa wapi🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂Amani ndo kitu muhimu jamani
Inafaa nini ikiwa ana paralyze uchumi, jinga kabisa.Kama retired senior government leader he must know better than that. Useless
😂 Tate MkuuWalamba asali umewasahau? Hao kwetu hakuna. Hao wapo kwenu.
Huyo anaungwa mkono na kina Tate Mkuu 🤣🤣
Kuna madikteta ulimwengu huu walikuwa na nguvu, jeshi imara na mkono wa chuma lakini pale wananchi walipochoka ilibidi watawala hao wakimbie tena kwa kutumia baibui.Nakumbuka makamanda waliambiwa kwenye maandamano wakae mbele ili wamwagwe mkojo vizuri...tangia hapo wakapoteana mazima [emoji4][emoji4]
Viongozi wenu walizoea kutanguliza masikini kama chambo huku wao wanatafuna ruzuku wakakutanana na Chuma. No asali ni pumzi ya moto tu [emoji28][emoji28][emoji91][emoji91][emoji91]
Angalia vitu katika big picture. Kuungwa mkono siyo issue, unaungwa mkono na nani. Sehemu kubwa ya hiyo halaiki ni ignorant, with little or no knowledge.Hiyo nyomi inamwuunga mkono nyumbani Kenya:
View attachment 2560028
Kwamba wewe Nanjilinji Kilwa huko ndiyo anakukera?
Kwani wale vijana wa hovyo watakuwa nani basi?
Yaan daaaaUkiwa na njaa amani utaitoa wapi🤣🤣🤣🤣🤣
Unaamini umma ukiamua kuandamana kuna polisi atakayethubutu kuzuia?Tanzania hatuwezi kukubali ujingaa huu utokee mpaka pale wale wanaohimiza maandamano wawepo mbele ya mstari na familia zao.
I mean hauwezi kuandaa mandamano afu siku ya kuandamana ushinde kwenye TV na familia yako ukiwaangalia uliowarubuni wakila mkong'oto kutoka kwa polisi brutal.
Bidhaa zimepanda bei, umeme unakatika Mara kwa mara, huduma za jamiii hazitolewi kwa usawa, ili kupata kazi lazima uwe na connection sio suala la kuwa na sifa Tena hiyo amani unayojivunia ni ipi?Yaan daaaa
Issue sio makamanda. Issue ni sisi watanzania. Unafikiri mtanzania ataandamana akitishiwa bomu la machozi? Sisi waoga, period. Naomba waniprove wrong. Nitafurahi.
Kwahiyo hata Winnie Odinga yupo nje ya nchi?Watoto wake mpaka sasa wako nje ya nchi wakifuatilia maandamano kupitia kwenye TV.
Hii hii ya kutokuuana inatosha mkuuBidhaa zimepanda bei, umeme unakatika Mara kwa mara, huduma za jamiii hazitolewi kwa usawa, ili kupata kazi lazima uwe na connection sio suala la kuwa na sifa Tena hiyo amani unayojivunia ni ipi?
Angalia vitu katika big picture. Kuungwa mkono siyo issue, unaungwa mkono na nani. Sehemu kubwa ya hiyo halaiki ni ignorant, with little or no knowledge.
Chadema ni Slaa pekee alikuwa anaweza kuwafanya watu waandamane hawa wengine hawana nguvu na ni waoga.Odinga nae ni njaa na uchoyo wa madaraka hana jipya la maana!!, Huyu sio aliyelambishwa asali na kibaki?.
Afu Kenya ni Nchi ya watu hai sio watu mfu Kama ninyi Tz!!, Watu ambao sukari imetoka kuuzwa kwa kilo 1600 hadi 3000 huku mchele ukiuzwa Mara mbili ya awali!!. Unategemea Mbowe au Lema ambao wanaweza kuitwa ikulu wakahakikishiwa kila mwezi 20m+ ndio waingie barabarani kufanya maandamano huku kapuku anachekelea bila kujali!!.