Makamanda wa Jeshi la Israel wamekiri Kushindwa na Hamas: - NYT

Makamanda wa Jeshi la Israel wamekiri Kushindwa na Hamas: - NYT

Mbumbumbu at work kwhy kifusi ndio ushindi wenu
Sasa wewe umebomolewa nyumba pamekuwa kiwanja , watoto wako wameuliwa mke wako kauliwa mbele yako, umebaki unalia lia usaidiwe ata maji ya kunywa

Uoni umeshashindwa vibaya , na huna chochote Cha kumfanya aliekufanyia hivyo

Niliona mpaka wanaume wazima wanalia machozi , kipigo alichotoa Israel ni mfano wa kuigwa jinsi ya kuwashughulikia magaidi

Apa TZ Kuna magaidi kwa sasa wanasubiria kupigwa kudu shingoni hii ni njia Bora pia ya kuwamaliza magaidi
 
Sasa wewe umebomolewa nyumba pamekuwa kiwanja , watoto wako wameuliwa mke wako kauliwa mbele yako, umebaki unalia lia usaidiwe ata maji ya kunywa

Uoni umeshashindwa vibaya , na huna chochote Cha kumfanya aliekufanyia hivyo

Niliona mpaka wanaume wazima wanalia machozi , kipigo alichotoa Israel ni mfano wa kuigwa jinsi ya kuwashughulikia magaidi

Apa TZ Kuna magaidi kwa sasa wanasubiria kupigwa kudu shingoni hii ni njia Bora pia ya kuwamaliza magaidi
Sasa hilo la kuua wasio na hatia ndio lengo la Vita wewe mbumbumbu?? Halafu wale wakujisalimisha wa mchongo wapo wapi maana mlisema ni Hamas?
 
Sasa hilo la kuua wasio na hatia ndio lengo la Vita wewe mbumbumbu?? Halafu wale wakujisalimisha wa mchongo wapo wapi maana mlisema ni Hamas?
Lengo ni kuua magaidi na kizazi chake ,
Fikiria mwanaume mzima kapewa kichapo , nyumba imesambazwa mtoto ,mke kauliwa yeye kakimbilia shimoni kujificha kama fuko tena upo shimoni unaomba wapunguze kichapo upate ata maji ya kunywa badala awe front kutetea familia

Hili funzo walilotoa Israel ni la kuungwa mkono
 
Halafu wale wakujisalimisha wa mchongo wapo wapi maana mlisema ni Hamas?
Wale walishakula kudu za shingo , lazima walijiharishia

TZ SI unajua na sisi tunawanao subiria kudu wale mashehe magaidi
 
Ila Allah alikuwa wapi mpaka Gaza imekuwa kifusi ?
Allah ana hekima sana katika maamuzi yake.Kuna sehemu anasema anawazunguuka maadui zake bila wenyewe kujua
Marekani ilitaka iutawale ulimwengu inavyotaka mpaka ikafika wakati ikawa tunafundiswa world order.Akafanywa aamini atashinda na kutawala kila anapokwenda.Akapelekwa Afghanistan mwisho akatolewa mbio bila kutarajia.Akapelekwa iraq yakawa hayo hayo na mpaka leo anarushiwa makombora kama mwizi.Baadae akapelekwa Ukraine mwisho akasema amechoka na hana cha kusaidia.
Unadhani yote hayo yamekuja hivi hivi?.
Israel nayo iltangazwa na yenyewe kujitangaza kuwa ina teknolojia na vifaa bora mpaka watu karibu wote isipokuwa wachache wakaamini hivyo.Ikatengenezewa adui dhaifu na aliyeonekana yuko ndani ya mikono yao.Ikajiamini kwenda kumbonda bonda kwa muda mfupi na kurudi nyumbani na hata ikatangaza vita vikimalizika watafanya hiki na kile Gaza.Looh mambo yamebadilika na Israel inazidi kunywea.
Bjinadamu hawezi kujitangazia uungu na ukubwa kuliko hadhi yake na akaachwa bila kutiwa adabu na kufanywa mfano kwa watu wengine juu ya ujinga wake.
Kwa mtazamo wa watu dhaifu wanaweza kuuliza haa Mwenyezi Mungu alikuwa wapi.Alikuwepo na anaona na anahukumu kila mmoja atapata anachostahiki.
 
Makamanda hao walizungumza na gazeti la New York Times kwa sharti la kutotajwa jina kwa sababu hawaruhusiwi kuzungumza hadharani kuhusu maoni yao binafsi.
Uongo wako mleta mada upo hapo ulipoandika majina Yao kapuni
 
Back
Top Bottom