Makamanda wa Jeshi la Israel wamekiri Kushindwa na Hamas: - NYT

Makamanda wa Jeshi la Israel wamekiri Kushindwa na Hamas: - NYT

Mgeshi muzima unagongana na ka nchi petit.
Sasa Palestine ndio Davidi.
 
Iran huko tayari kimeshaanza kuwaka waasi wa Iran kusini mashariki mwa Iran wameshaanza kushambulia Iran kwa risasi


View: https://youtu.be/ZQqlR_b22v4?si=5fbkfu9fLTRjjECq


Vita bado sana Israel kwa sasa inajiandaa kwa vita na Iran.Imeshaanza kupanga vikosi vyake baadhi ya makamanda sio wote walioko Gaza wanarudi vikosini kujipanga kupigana na Iran.Wanasubiri Iran arushe kombora hata moja tu waanzishe vita
 
Nan
Iran huko tayari kimeshaanza kuwaka waasi wa Iran kusini mashariki mwa Iran wameshaanza kushambulia Iran kwa risasi


View: https://youtu.be/ZQqlR_b22v4?si=5fbkfu9fLTRjjECq


Vita bado sana Israel kwa sasa inajiandaa kwa vita na Iran.Imeshaanza kupanga vikosi vyake baadhi ya makamanda sio wote walioko Gaza wanarudi vikosini kujipanga kupigana na Iran.Wanasubiri Iran arushe kombora hata moja tu waanzishe vita

I Nani alikwambia vita imekwisha?
.vita haiishi hii mpaka Jerusalem ikombolewe.
 
Mimi huwa nashangaa katika akili ya kawaida tu hivi kuna mtu anaamini kuwa hii vita ni kwa sababu ya kuokoa mateka tu? utakuwa upumbavu wa kupitiliza yaani huyu Nentanyau na akili zote anapigana kuwaokoa mateka 50 sijui au hata kama 100 kwa gharama za kupoteza wanajeshi zaidi ya 400. Ni sawa unauza mbuzi ushinde kesi ya kuibiwa Kuku. Hawa jamaa wanatufanya wajinga sana kuamini upuuzi wao. Juzi baada ya kuuliwa wafanyakazi wa misaada 8 imekuwa habari kubwa kwao, Kwanini? sababu waliuliwa ni raia wa nchi zao ambao maisha yao yana thamani kubwa sana kuliko watu wengine. Wakati ukweli zaidi ya wafanyakazi 108 wa misaada wameuliwa lakini sababu sio wazungu hao sio muhimu sana. Kwa ufupi hawa jamaa ni unafiki kupitiliza na majanga haya kisingizioa cha kuokoa mateka ni kuuwa raia na hata wanajeshi mwisho wa siku hawa mateka wataachiwa kwa maongezi, sasa kwanini msingeongea toka mwanzo na kuokoa maisha ya watu waliokufa sababu ya kukoa watu 60 sijui.
 
Mimi huwa nashangaa katika akili ya kawaida tu hivi kuna mtu anaamini kuwa hii vita ni kwa sababu ya kuokoa mateka tu? utakuwa upumbavu wa kupitiliza yaani huyu Nentanyau na akili zote anapigana kuwaokoa mateka 50 sijui au hata kama 100 kwa gharama za kupoteza wanajeshi zaidi ya 400. Ni sawa unauza mbuzi ushinde kesi ya kuibiwa Kuku. Hawa jamaa wanatufanya wajinga sana kuamini upuuzi wao. Juzi baada ya kuuliwa wafanyakazi wa misaada 8 imekuwa habari kubwa kwao, Kwanini? sababu waliuliwa ni raia wa nchi zao ambao maisha yao yana thamani kubwa sana kuliko watu wengine. Wakati ukweli zaidi ya wafanyakazi 108 wa misaada wameuliwa lakini sababu sio wazungu hao sio muhimu sana. Kwa ufupi hawa jamaa ni unafiki kupitiliza na majanga haya kisingizioa cha kuokoa mateka ni kuuwa raia na hata wanajeshi mwisho wa siku hawa mateka wataachiwa kwa maongezi, sasa kwanini msingeongea toka mwanzo na kuokoa maisha ya watu waliokufa sababu ya kukoa watu 60 sijui.

Nani aliyekudanganya hayo, ya kuwa "hii vita ni ya kuokoa mateka tu"?
 
Nani aliyekudanganya hayo?
Hakuna aliyenidanganya, tunaona kwenye news kila siku deal mpaka mateka waachiwe na juzi tumesikia nchi za west wakiwa wakali kwa Israel baada ya wafanyakazi wa UN kuuliwa saba sababu ni wazungu lakini ukweli zaidi ya UN wamepoteza watu zaidi ya 100 ila hakuna aliyepiga kelele sababu sio wazungu.
 
Nani aliyekudanganya hayo, ya kuwa "hii vita ni ya kuokoa mateka tu"?
Mimi naongelewa wanayo ongelea viongozi wao, Netanyau, Biden mpaka UK kila siku mateka ila kiuhalisia tunajuwa vita sio issue ya mateka ni mambo yaliyopangwa muda na humo humo nchi za kiarabu ni washiriki wa haya yote. Israel kafanya haya baada ya kupewa greenlight na hapa ni UAE, EGYPT, KSA na Qatar hawa wote wanafiki hadharani wanajifanya against ila private ni kama Netanyau tu.
 
Hivi kweli Gaza ilivyo ndogo Israel imeshindwa kuidhibiti Hamas, bado Hamas inamiliki eneo kubwa, kuna mambo yanashangaza sana.

Hao ndio wa kupambana na Iran?



skynews-israel-map_6315253.jpg
kushinda vita ni kupoteza eneo dogo ? yaan unaemshinda amekutoa nchini mwake hadi nchini mwako na kakupora eneo

kuna namna waislam waangaliwe akili
 
Mimi naongelewa wanayo ongelea viongozi wao, Netanyau, Biden mpaka UK kila siku mateka ila kiuhalisia tunajuwa vita sio issue ya mateka ni mambo yaliyopangwa muda na humo humo nchi za kiarabu ni washiriki wa haya yote. Israel kafanya haya baada ya kupewa greenlight na hapa ni UAE, EGYPT, KSA na Qatar hawa wote wanafiki hadharani wanajifanya against ila private ni kama Netanyau tu.
Haoo nimekuelewa na wanafiki wengine ni Mturuki na Jordan umewasahau.
 
Haoo nimekuelewa na wanafiki wengine ni Mturuki na Jordan umewasahau.
Sio wanafiki hawataki kununua ugomvi usiowahusu

October 7 waisrael walikuwa kwenye sikukuu yao kubwa ya kidini kama ilivyo Idd leo Hamas wakaivuruga kwa kuwavamia .Wasingewavamia Ramadhani yao ingekuwa mzuri kwao na Idd hii wangeidherehekea vizuri bila bughudha.

Lakini kutokana na Israel kuharibiwa sikukuu yao na wao wakaamua wawatandike hadi Ramadhani yote wakose hata futari na Idd yao waione chungu na wao.Kuna maeneo wanajeshi wa Israel wameondoka Gaza kuanzia juzi ili wapalestina warudi kusherehekea Idd kwenye vifusi vta majengo yao yaliyobomolewa.Wameacha makusudi wakatungue kilio huko kwenye magofu yao waione sikukuu yao ya Idd chungu lama walivyowanyia.

Aljazeera imekuwa ikionyesha watu wanaorudi hayo maeneo wakianguka na kuzimia na vilio kutawala baada ya kuona nyumba zao hazipo ni vifusi

Israel wanawaacha waende wakalie kwenye vifusi vyao sababu wangekuwa makambini wangeweza ruka ruka kusherehekea Idd walau kwa raha kidogo sababu hawajui kama nyumba zilivunjwa au la

Hamas walifanya vibaya kuvamia October 7 wayahudi wakiwa kwenye sikukuu ya takatifu mno ni.kufuru kwao na kwa Mungu wao.Ndio maana wametembeza kipigo kama wameehukq
 
Israel ikirudisha mashambulizi mnakuja na vilio vya watoto na wanawake
Israel kwa sasa imeondoa majeshi kwenye baadhi ya miji i na iko sababu kubwa kivita ilibidi tu waondoke Ni kuwa Israel 8l8amuru raia wa gaza waindoke miji kibao hadi Rafah ulioko mpakqni na Misri ili wabaki kupigana tu na Hamasi Watu wa Gaza wakawekewa mahema ya kuishi Rafar ulio mpakani na Misri
Misri ikaona Israel akipiga Rafah wakimbixi wa Gaza watakimbilia Misri na Hamas wao wakagoma wakaanza kujenga ukuta kabisa kuxuia raia wa Gaza na Hamas wao wasikimbie Rafah wakaingia Misri.Israel baada ya kuona haiwezi piga Rafah na raia wengi wa Gaza walikimbia maeneo yao kupisha vita hawana kwa kwenda iwapi Israel itashambulia Rafah pamoja na maandalizi yote iliyokwishafanya ya kushbul8a brigade ya Hamas iliyoko Rafah.Wal8fanya IDF jeshi la Israel ni kujitoa kwenye miji kama Khan Yunis ili raia waliokimbia vita warudi watoke Rafah wakisharudi kwao Israel inawaambia raia wa Rafah watoke Rafah waende miji mingine kwenye usalama safe passage ili wao watwangane na Hamas walioko Rafah mpakani mwa Misri hivyo wenyeji wa Rafah watakimbilia miji mingine kama Khan jyunis na kujengewa makambi ya wakimbizi huko wakati jeshi la Israel limalizia ngwe kwa kuwatandika Hamas walioko Rafah mpakani na Misri.

Lengo la Israel ni kutengeza safe passage kwa raia wa Gaza waondoke Rafah Israel atembeze kipigo kwa Hamas.

Sio kuwa jeshi la Israel limeshindwa vita ndio kwanza inaendelea
 
Mimi huwa nashangaa katika akili ya kawaida tu hivi kuna mtu anaamini kuwa hii vita ni kwa sababu ya kuokoa mateka tu? utakuwa upumbavu wa kupitiliza yaani huyu Nentanyau na akili zote anapigana kuwaokoa mateka 50 sijui au hata kama 100 kwa gharama za kupoteza wanajeshi zaidi ya 400. Ni sawa unauza mbuzi ushinde kesi ya kuibiwa Kuku. Hawa jamaa wanatufanya wajinga sana kuamini upuuzi wao. Juzi baada ya kuuliwa wafanyakazi wa misaada 8 imekuwa habari kubwa kwao, Kwanini? sababu waliuliwa ni raia wa nchi zao ambao maisha yao yana thamani kubwa sana kuliko watu wengine. Wakati ukweli zaidi ya wafanyakazi 108 wa misaada wameuliwa lakini sababu sio wazungu hao sio muhimu sana. Kwa ufupi hawa jamaa ni unafiki kupitiliza na majanga haya kisingizioa cha kuokoa mateka ni kuuwa raia na hata wanajeshi mwisho wa siku hawa mateka wataachiwa kwa maongezi, sasa kwanini msingeongea toka mwanzo na kuokoa maisha ya watu waliokufa sababu ya kukoa watu 60 sijui.
Na uchumi pia zaidi ya 200 trillion zimeshaaungua
 
Back
Top Bottom