Makamanda wa Jeshi la Israel wamekiri Kushindwa na Hamas: - NYT

Makamanda wa Jeshi la Israel wamekiri Kushindwa na Hamas: - NYT

Wewe bibi kiroboto inasemekana theluthi mbili ya wavaa vipedo na misuli wenzako huko Gaza wamepotezwa tayari. Wapo huko jongomeo kwa mabikira 72 kila mmoja 🤔
......
Mazayuni wanauwa wanawake na watoto na wagonjwa mahospitalini. Kumbuka hilo.

Tazama vijana wenye nidahamu ya mapigano, sasa hivi wanafagia tu:

 
Gaza imechakaa nyie mnaendeleza ngonjela
Kuchakaa usijali, mradi mazayuni wameshindwa itajengeka tu.

Ikiwa watu wameweza kujenga jiji chini ya ardhi watashindwa kujenga juu ya ardhi? Fikiri.

Mimi nawashangaa nyinyi mazayuni wa boko. Makamanda wa kizayuni wamesema wameshindwa na wanaondoka huko haraka sana, nyie bado hamuelewi kuwa Hamas wameshinda. Jionee vijana wapo mitaani wametoka jiji la chini ya ardhi wanakuja kukaguwa sehemu zote walizozirudisha, mpaka biashara zinarudi:


View: https://youtu.be/-Ld4sYOOXOo?si=vBoScltK0tIRzzgp
 
Upuuz mtupu ndo mnavyodanganyana masjid uko
Hiyo habari ya New York Times, New York Times siku hizi inaandikwa msikitini?

Nafahamu haiwaingii akilini, tazama vizuri habari, mazayuni wameshashindwa na wanaondoka Ghaza bila kupata chpoochoyte walichotarajia licha ya kuuwa watoto na wanawake na kondoo na wagonjwa.

Huu ni ushindi mkubwa sana na na sasa ndiyo tutaliona taifa kamili la Kipalestina.

Hivi sasa hivi mazayuni wameshakubali masharti yote ya Hamas na wameshaanza kubadilishana mateka kimya kimya. Chini ya muongozo na usimamizi wa Warusi.
 
Salaam kutoka Ghaza:



Mazayuni wameondowa askari wao wote wa migii na vifaru Ghaza kwa kichapo walichochezea, sasa wamerudi ambapo wanaagiza kwa mbali kwa ndege na missiles.

Mashoga wameshindwa kupigana kiume, na hata hiyo ya missile na ndege watashindwa tu. Dawa yao ipo jikoni.
 
Huu uzi umekuwa mwiba kwa mazayuni wa JF.

Ushindi tayari umeshapatikana kwa masharti ya Hamas siyo ya mazayuni. Hamas walisema hawaongei mpaka majeshi yote ya mazayuni yaondoke Ghaza na wameshafanya hivyo. Kilichobaki wanaona haya tu kutangaza kuwa wameshindwa.


Palestina wamesema uzi ule ule wakitupiwa missiles na wao wanatupa zao, wakishambuliwa na ndege na wao wanajuwa namna ya kukujibu.
 
Hamas wamepandisha video clip ya kichapo wanachotembeza kuwafanya mazayuni waikimbie Ghaza:

 
IDF Wanakaribia maeneo walipo mateka na ghala la silaha za Hamas na Islamic jihad its a matter of time wanaisha
 
Sasa hilo la kuua wasio na hatia ndio lengo la Vita wewe mbumbumbu?? Halafu wale wakujisalimisha wa mchongo wapo wapi maana mlisema ni Hamas?
Hao walio tekwa na kuchinjwa tarehe 7oct walikuwa wanajeshi?? Kuchinja raia Wana vyofanya hamasi ni sawa?? Vita Haina macho Kaa kimya
 
Jeshi wameshakiri kushindwa, sasa kuna mawili tu, au wanasiasa wakubali kushindwa walipe gharama zote za Wapalestina, ndiyo sheria ya vita.

Au mabwana zao wa USA na NATO waje kuwasaidia.
NATO wanahofu sana uchaguzi unakuja Marekani sasa Biden anatafuta namna ya kusaka kura wananchi wa US hawataki kuburuzwa wamesema lazima taifa la Palestine libaki na suala la kuua watu wasio na hatia limewakasirisha sana sasa Biden yupo njia panda
 
Yani Mnateseka Maskini Nyie Roho Zinawauma Washaurini Na Wao Wawe Na Jeshi Bora liweze Kupigana Ana Kwa Ana Sio Kujificha Kwenye Mashimo na Mahospitali na Misikitini Tuone Nani Mwenye Nguvu
 
"Ghaza" ndio nini karne na karne Gaza haijawahi itwa Ghaza hata kama una kithembe ungeita Gazha
Jina la Kiarabu hilo utalijuwaje wewe wakati hata Kiswahili chenyewe ni lugha yako ya pili.
 
Hao walio tekwa na kuchinjwa tarehe 7oct walikuwa wanajeshi?? Kuchinja raia Wana vyofanya hamasi ni sawa?? Vita Haina macho Kaa kimya
Umedqnganywa ukadanyika, nani ahangaike kuchinja wakati ana chombo mkononi?
 
Back
Top Bottom