Makamanda wa Jeshi la Israel wamekiri Kushindwa na Hamas: - NYT

Makamanda wa Jeshi la Israel wamekiri Kushindwa na Hamas: - NYT

Kwani kipindi Yohana mbatizaji anachinjwa na Herode Yesu Mungu alikuwa wapi kumsaidia?
Hilo sio swali langu
Lisome tena na ujibu kama lilivyo ulizwa
Allah alikuwa wapi mpaka Gaza imekuwa kifusi ?
 
Nato wanawasaidia kwa kiasi kikubwa Sana Israel na bila kufanya hivyo Israel isingemudu
 
Swali lipo clear kijana , Allah alikuwa wapi mpaka ao waliwekewa papuchi wakaifanya Gaza kiwanja
Kwani wewe ulikuwa wapi hadi bibi zako na wazee wako kufa na kufikiwa na hivi sasa kuwa funza?
 
😟😟😟😟 HIYO video imenitach Sana.
Kwa hii video unaonesha IDF hawajafa 187 km Israel inavyodai.
Wamekufa wengi Sana MPAKA wengine wanaozaa hawajapatikanika!?
Yaani hata kuokota maiti wao wanashindwa.
Hapo kuna machela.Inaonesha kuna waliojaribu kubeba maiti na wao wakawahiwa na Hamas.
Inatisha sana.
 
Nauliza tena kipindi Samson anakatwa nywele wanamtoboa macho awe kipofu Yesu alikuwa wapi?
Wabusu jiwe mna matatizo ya ubongo , nimeuliza swali Mimi kwanza jibu swali ndio uulize swali
 
Back
Top Bottom