Jagina
JF-Expert Member
- Jan 29, 2019
- 8,428
- 4,022
Uongo wako mleta mada upo hapo ulipoandika majina Yao kapuni
hata unaelewa New York times ni kitu gani ??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uongo wako mleta mada upo hapo ulipoandika majina Yao kapuni
Ni chombo Cha biashara wauza magazetihata unaelewa New York times ni kitu gani ??
Ni chombo Cha biashara wauza magazeti
Kwani kipindi Yohana mbatizaji anachinjwa na Herode Yesu Mungu alikuwa wapi kumsaidia?Ila Allah alikuwa wapi mpaka Gaza imekuwa kifusi ?
Uongo wako mleta mada upo hapo ulipoandika majina Yao kapuni
Kizazi chote kinatakiwa kufyekwa kama sio walilia Sana na kuomba msamaha wangemalizwa woteMsiue raia kimakusudi pambaneni na hamas.
Hilo sio swali languKwani kipindi Yohana mbatizaji anachinjwa na Herode Yesu Mungu alikuwa wapi kumsaidia?
Swali kwa swali, kipindi Wayahudi wapo utumwani karne na karne Yesu alikuwa wapi kuwasaidia hadi wakateseka kiasi kile?Hilo sio swali langu
Lisome tena na ujibu kama lilivyo ulizwa
Allah alikuwa wapi mpaka Gaza imekuwa kifusi ?
Elloi Elloi lamma sabbakhtani , Mungu wangu mbona umeniwacha ??Hilo sio swali langu
Lisome tena na ujibu kama lilivyo ulizwa
Allah alikuwa wapi mpaka Gaza imekuwa kifusi ?
Kizazi chote kinatakiwa kufyekwa kama sio walilia Sana na kuomba msamaha wangemalizwa wote
Wabusu jiwe hakunaga mwenye uwezo wa kujibu swaliSwali kwa swali, kipindi Wayahudi wapo utumwani karne na karne Yesu alikuwa wapi kuwasaidia hadi wakateseka kiasi kile?
Nauliza tena kipindi Samson anakatwa nywele wanamtoboa macho awe kipofu Yesu alikuwa wapi?Wabusu jiwe hakunaga mwenye uwezo wa kujibu swali
kama kupiga wanawake na watoto wapige tu ila sio kuipiga HAMAS na kuokoa mateka hilo wasahauIsrael ikirudisha mashambulizi mnakuja na vilio vya watoto na wanawake
Sio za kule mnapotaka kubarikiwaPorojo za masjid ubwabwa.
Ndio kwani LGBT mbaya?Kwani wewe ni mtu wa netanyahu LGBT?
N
Ndio kwani LGBT mbaya?
Kwani wewe ulikuwa wapi hadi bibi zako na wazee wako kufa na kufikiwa na hivi sasa kuwa funza?Swali lipo clear kijana , Allah alikuwa wapi mpaka ao waliwekewa papuchi wakaifanya Gaza kiwanja
Yaani hata kuokota maiti wao wanashindwa.😟😟😟😟 HIYO video imenitach Sana.
Kwa hii video unaonesha IDF hawajafa 187 km Israel inavyodai.
Wamekufa wengi Sana MPAKA wengine wanaozaa hawajapatikanika!?
Wabusu jiwe mna matatizo ya ubongo , nimeuliza swali Mimi kwanza jibu swali ndio uulize swaliNauliza tena kipindi Samson anakatwa nywele wanamtoboa macho awe kipofu Yesu alikuwa wapi?