Makamba: Itachukua misimu miwili ya mvua kujaza Bwawa la Nyerere

Kati ya madam na February Sijui nani anamsaidia mwenzake, au sijui hata nani mkubwa, nahisi sijui hata nani alimteua mwenzake, yaani sielewi nani anaweza kumtumbua mwenzake, nahisi Kama mtu anaejitazama kwenye kioo, yaani kushoto kunakuwa kulia na kinyume chake
 
Kwa uharibifu wa mazingira unaoendelea,tena kwa makusudi(sio na World citizenry as claimed,ila on purpose by the the NWO Cabal for purposes of human enslavement and domination),Bwawa la Nyerere will eventually be a White Elephant,as rainfall dwindles.We should have opted for Geothermal power.


Kenyans are wiser,and forward looking.

Ukweli huu utadhihirika sio katika miaka mingi ijayo,na naomba niendelee kuwa hai so that I can see this truth unfolding.
 
Juzi imepiga saa 3 usiku mpaka saa 1 usiku kesho yaje, waziri Anazingua sana[emoji3525]
 
Ni hapo tu naipendea JF...kwa kutunza kumbukumbu. Ukipitia hii thread na yanayoendelea hivi sasa unaweza kuugua ule ugonjwa usiotibika.

CCM idumu, idumu, idumu zaidi, Fikiria kama CCM isingekuwepo, mafisadi, waongo, wapiga dili na wote wasio na uwezo wangepata wapi hifadhi?
 
CCM idumu, idumu, idumu zaidi, Fikiria kama CCM isingekuwepo, mafisadi, waongo, wapiga dili na wote wasio na uwezo wangepata wapi hifadhi?
Achana na mafisadi, waongo, wapiga Dili na wasio na uwezo!!! Binafsi nashauri tujikite kubuni mbinu sahihi ya kuwashughulikia wasaliti katika Kila sekta. Wasaliti wa maendeleo ya watanzania kiuchumi, kiteknolojia na kijamii kwa ujumla. Hawa ndiyo wa kuwashughulikia.

Tukiwamaliza hawa, hawa wengine watakuwa diluted kama styrofoam kwenye mafuta ya Petroli!!!
 
Hahahahahah😂😂😂😂😂
 
Mud!.

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
Hakuna political will ya kufanya hivyo Mkuu,wananchi hatuna budi kulitambua hilo na kuwashuhulikia sisi wenyewe.Nchi hii tayari imetekwa na kikundi kiovu ambacho hakiko tayari kuona wananchi wakipiga hatua yeyote kimaendelea kwa kuwa that means eroding their power and financial base.

Kikundi hiki kilianza kuteka nchi baada tu ya Mwalimu kuachia madaraka and possibly hata kabla ya kung'atuka and now it has total control.Kitendo cha kuweza kum-eliminate Magufuli with extreme ease shows how much control it has in government and the political scene.
 
Binadamu huwa tunakisia jAmbo ila Mungu ana mipango yake
 
...na kuwashuhulikia sisi wenyewe.
Asante sana, Mkuu. Sasa hapa ndiyo tunaanza kupata mwanga wapi pa kuanzia. Tuendelee kudadavua Hii changamoto ya hawa Wasaliti. Tukisha kuwaelewa vizuri kabisa, namna ya kuwashughulikia itakuwa Rahisi.

Kwa mara nyingine Asante sana, Mkuu.
 
Asante sana, Mkuu. Sasa hapa ndiyo tunaanza kupata mwanga wapi pa kuanzia. Tuendelee kudadavua Hii changamoto ya hawa Wasaliti. Tukisha kuwaelewa vizuri kabisa, namna ya kuwashughulikia itakuwa Rahisi.

Kwa mara nyingine Asante sana, Mkuu.
Mkuu hawa watu wanaeleweka na agents wao ni people in government,mbona hakuna siri.Tatizo ni kwamba wanao wawezesha hawa agents wana too much financial,soft and hard power.Make no mistake about it,they control the police force,security force,migration and the military force.Nadhani ulimsikia Mabeyo akiongea kuhusu kifo cha Hayati Magufuli,that tells it all.Sasa tufanye nini,kwa kuwa seriously there is no possibility that we can change the government through the ballot box.It would be very naive and stupid to believe that we can do that through the ballot box.It is only a fool and lunatic who can believe we can do that.

Ni hivii,kama Watanzania wangekuwa na guts,tungejimobilize kama wananchi wa Phillipines walivyofanya kumng'oa Markos Ikulu.That is the only possibility,lakini hata possibility hii ina loopholes zake.Where is the Phillipines today,kwa mara nyingine tena imeangukia kwenye mikono ya wahujumu hao hao.

Frankly as humanity niseme wazi, we are in trouble,and we haven't seen anything yet.The end game is total enslavement and domination of the small zombie human population remaining after the final onslaught,which I must admit is just around the corner,unless we as humanity wake up and do something very drastic immediately aimed at eliminating "The Powers To Be," vinginevyo we are doomed,and that means "decaping the Dragon." Is it possible? I don't think so.
 
Is it possible? I don't think so.
Usipoteze matumaini...!!! In chemistry, they have a valid saying, which states that, 'there is no impossibility under the sun; the gold can be built in the lab.'
===
There must be a way through.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…