tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
Wafalasha ni wayahudi kwa asilimia 70Umakasirika nini Bibie hizo picha ni za Wafalasha Mura Wayahudi wa Ethiopia waliopelekwa Israel miaka ya 80.
Uafrika kwanza Udini baadae.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wafalasha ni wayahudi kwa asilimia 70Umakasirika nini Bibie hizo picha ni za Wafalasha Mura Wayahudi wa Ethiopia waliopelekwa Israel miaka ya 80.
Uafrika kwanza Udini baadae.
Uyahudi ni Dini labda kama una maana hawaingiagi kwenye MasinagogiWafalasha ni wayahudi kwa asilimia 70
Hawezi kuleta jibu.Ukipata jibu nitag mkuu
Hapo Joshua yuko wapi?Tusihangaike kusaka mchawi, Makamba na Bashe wanaujuwa ukweli. Ninaamini na mama Samia kwa sasa atakuwa anaujuwa ukweli.
Januari jana kasema wazazi wa kijana aliyeuliwa atakwenda Israel. Tujiulize toka lini wazazi wa mfiwa yeyote yule Tanzania wakapelekwa nje alipokufa? Siri hii anayo Makamba na Bashe.
Bashe anafahamu kwa kuwa yeye alituaminisha hao vijana wanakwenda kusomea kilimo. Cha kujiuliza vijana 260 wapelekwe Israel wakasomee kilimo badala ya kuja myahudi mmoja au wawili hapa wakawafundisha vijana kibao, na vyuo na vituo vya kilimo tunavyo?
Kuna siri hapo na Bashe pia anaijuwa.
Naamini kabisa, vijana hao hawakupelekwa kujifunza kulima pekee, wamepekwa pia kufundisha mambo ya kijeshi na kivita na au wwengine watabaki israel kuendeleza kuuwa Wapalestina au wengine watakaorudi huku watakuwa ni "reserve" wa jeshi la Israel
Hili sasa hivi lipo wazi kabisa, ushahidi ni hii picha inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii:
View attachment 2847132
Wewe unataka kuhamasisha upuuzi ganiKwa hao vijana, kama ni kweli Watanzania, kuwepo jeshini Israel maana yake Tanzania imechaguwa upande na ipo vitani rasmi.
Tusidanganyane kuwa atanzania haifungamani na yeyote.
Tusihangaike kusaka mchawi, Makamba na Bashe wanaujuwa ukweli. Ninaamini na mama Samia kwa sasa atakuwa anaujuwa ukweli.
Januari jana kasema wazazi wa kijana aliyeuliwa atakwenda Israel. Tujiulize toka lini wazazi wa mfiwa yeyote yule Tanzania wakapelekwa nje alipokufa? Siri hii anayo Makamba na Bashe.
Bashe anafahamu kwa kuwa yeye alituaminisha hao vijana wanakwenda kusomea kilimo. Cha kujiuliza vijana 260 wapelekwe Israel wakasomee kilimo badala ya kuja myahudi mmoja au wawili hapa wakawafundisha vijana kibao, na vyuo na vituo vya kilimo tunavyo?
Kuna siri hapo na Bashe pia anaijuwa.
Naamini kabisa, vijana hao hawakupelekwa kujifunza kulima pekee, wamepekwa pia kufundisha mambo ya kijeshi na kivita na au wwengine watabaki israel kuendeleza kuuwa Wapalestina au wengine watakaorudi huku watakuwa ni "reserve" wa jeshi la Israel
Hili sasa hivi lipo wazi kabisa, ushahidi ni hii picha inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii:
View attachment 2847132
Huna unachokijua futa huu upumbavu wakoWazazi wa hao vijana wanajua zaidi. Ila.kwa mazoea watu wengi wanaopelekwa israel mafunzo ni vijana wa serkali tena wale wa kaunda suti za bluu.
Wasichokijua wengi ninkwamba package ya training huwa inajumuisha mambo mengi ikiwemo ya kilimo, uvuvi, ufugaji etc
Lazima hao vijana watakuwa walikuwa vijana wa kitengo au walikuwa wakiandaliwa vizuri waje watumikie kitengo.
Unataka ufafanuzi gani? Wakati tangu wapotee October 7 serikali ilitoa taarifa kuwa wanafunzi wawili wa kilimo toka Tanzania ni kati ya walio tekwa? Na baada ya kujulikana kuwa aliuawa waziri ali tweet kuelezea kuwa ni mwanafunzi wa kilimo? Ni nyie tu mliopagawa na mapepo ya kiarabu ndio hamuelewi.wewe sio msemaji wa serikali ya Tanzania.
Kwa hili twataraji serikali haitakaa kimya itatoa ufafanuzi tujuwe wale vijana walikwenda kwa ajili ya nini?
Kama ni kazi za mashambani hatukuambiwa hivyo walipoondoka.Kama ni chuo cha kilimo ilikuwa ni chuo gani ?
Na kama hakuna majibu Faiza atakuwa sahihi kuhoji na hana makosa akishuku kuwa walikwenda kuchukua mafunzo ya kijeshi na kwamba walikamatwa kwenye kambi ndio maana Hamas waliwaona ni adui zao bila kujua utaifa wao wala kuangalia rangi ya ngozi zao.Hamas wanajua ndani ya jeshi la IDF kuna askari wengi wa ngozi za kiafrika ambao wanapambana kuzuia uhuru na heshima zao.
Mbona mnatuchanganya sasa?mara waliuwawa na mazayuni saa hizi mnaleta na picha kuwa walikuwa wanajeshi.kuwatetea magaidi ni kazi sanaTusihangaike kusaka mchawi, Makamba na Bashe wanaujuwa ukweli. Ninaamini na mama Samia kwa sasa atakuwa anaujuwa ukweli.
Januari jana kasema wazazi wa kijana aliyeuliwa atakwenda Israel. Tujiulize toka lini wazazi wa mfiwa yeyote yule Tanzania wakapelekwa nje alipokufa? Siri hii anayo Makamba na Bashe.
Bashe anafahamu kwa kuwa yeye alituaminisha hao vijana wanakwenda kusomea kilimo. Cha kujiuliza vijana 260 wapelekwe Israel wakasomee kilimo badala ya kuja myahudi mmoja au wawili hapa wakawafundisha vijana kibao, na vyuo na vituo vya kilimo tunavyo?
Kuna siri hapo na Bashe pia anaijuwa.
Naamini kabisa, vijana hao hawakupelekwa kujifunza kulima pekee, wamepekwa pia kufundisha mambo ya kijeshi na kivita na au wwengine watabaki israel kuendeleza kuuwa Wapalestina au wengine watakaorudi huku watakuwa ni "reserve" wa jeshi la Israel
Hili sasa hivi lipo wazi kabisa, ushahidi ni hii picha inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii:
View attachment 2847132
Research yangu nimefanya na ni Topic ambayo naifahamu kwa Undani.Fanya research yako vizuri Weusi Al ABIDI hawaruhusiwi kuoa Waarabu wa Palestina unalijua hilo?
Hawapewi kazi za kutoa Service kwa Wapalestina wanapewa kazi za chini kuzoa taka nk.
Chunga sana Dini yako isikufunge macho kwenye ukweli.
Ukiwa Mkristo isiwe sababu ya kumtetea Mzungu hata pale anapofanya ubaya hali kadhalika Ukiwa Mwislamu usimtetee Mwarabu hata pale anapofanya ubaya.
walikuwa kwenye internship kwenye mashamba Israel huko, nguruwe wewe.Kilimo namna gani na chuo gani?.
ile safari ilikuwa na udanganyifu juu ya madhumuni yake.Imefichuka baada ya haya matukio.
Wengine tulijua wameenda kua nguvu kazi rahisi ie manamba wengine huku munazo taarifa za kutisha zaidi. All in all wengine tunaamini huwezi kua na uhusiano na israel wenye nia nzuri na tija kwa maendeleo ya nchi kama tanzania.Tusihangaike kusaka mchawi, Makamba na Bashe wanaujuwa ukweli. Ninaamini na mama Samia kwa sasa atakuwa anaujuwa ukweli.
Januari jana kasema wazazi wa kijana aliyeuliwa atakwenda Israel. Tujiulize toka lini wazazi wa mfiwa yeyote yule Tanzania wakapelekwa nje alipokufa? Siri hii anayo Makamba na Bashe.
Bashe anafahamu kwa kuwa yeye alituaminisha hao vijana wanakwenda kusomea kilimo. Cha kujiuliza vijana 260 wapelekwe Israel wakasomee kilimo badala ya kuja myahudi mmoja au wawili hapa wakawafundisha vijana kibao, na vyuo na vituo vya kilimo tunavyo?
Kuna siri hapo na Bashe pia anaijuwa.
Naamini kabisa, vijana hao hawakupelekwa kujifunza kulima pekee, wamepekwa pia kufundisha mambo ya kijeshi na kivita na au wwengine watabaki israel kuendeleza kuuwa Wapalestina au wengine watakaorudi huku watakuwa ni "reserve" wa jeshi la Israel
Hili sasa hivi lipo wazi kabisa, ushahidi ni hii picha inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii:
View attachment 2847132
Acha urongo, Israel kumejaa wa Ethiopia na wengi wako jeshini, wale Ethiopians walio na damu ya ki Jewish wali chukuliwa kurudishwa Israel na hao vijana hapo ni EthiopiansTusihangaike kusaka mchawi, Makamba na Bashe wanaujuwa ukweli. Ninaamini na mama Samia kwa sasa atakuwa anaujuwa ukweli.
Januari jana kasema wazazi wa kijana aliyeuliwa atakwenda Israel. Tujiulize toka lini wazazi wa mfiwa yeyote yule Tanzania wakapelekwa nje alipokufa? Siri hii anayo Makamba na Bashe.
Bashe anafahamu kwa kuwa yeye alituaminisha hao vijana wanakwenda kusomea kilimo. Cha kujiuliza vijana 260 wapelekwe Israel wakasomee kilimo badala ya kuja myahudi mmoja au wawili hapa wakawafundisha vijana kibao, na vyuo na vituo vya kilimo tunavyo?
Kuna siri hapo na Bashe pia anaijuwa.
Naamini kabisa, vijana hao hawakupelekwa kujifunza kulima pekee, wamepekwa pia kufundisha mambo ya kijeshi na kivita na au wwengine watabaki israel kuendeleza kuuwa Wapalestina au wengine watakaorudi huku watakuwa ni "reserve" wa jeshi la Israel
Hili sasa hivi lipo wazi kabisa, ushahidi ni hii picha inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii:
View attachment 2847132
acha upuuzi we kenge, muwe mnatoa komenti fikirishi na mtambuka, unadhani huko dinini kwako kuna usalama sana dhidi ya ushoga? Shwaini, kama huwezi kukomenti pita kimyaAu watakuwa wametenda kupewa mafunzo ya kishoga ili wakija waendeleze ushoga kama Papa wao arivyowaamrisha MK254 mbona kimya ewe kafiri!