Makamba na Bashe semeni ukweli kuhusu vijana wa Kitanzania mliowapeleka Israel

Makamba na Bashe semeni ukweli kuhusu vijana wa Kitanzania mliowapeleka Israel

Ni mpumbavu Tu ndo anaamini mtu ataenda Israel kujifunza kilimo'....

Na mtu mpumbavu zaidi ndo anaamini kuwa "the so called mwanafunzi " wa kilimo alikuwa attacked innocently.....

Watu wenye akili wanajua there is more to the story ....
Ni mpumbavu pekee anaedhani ni Israel pekee ndio wanafunzi huenda kwaajili ya mafunzo ya kilimo au nyanja nyingine.
 
Watu kutoka nchi moja kwenda kupata mafunzo ya kijeshi kwenye nchi nyingine siyo kosa kisheria, narudia tena siyo kosa kisheria. Nchi karibu zote duniani zina utaratibu na mipango ya namna hii. Kosa linakuja pale ambapo Askari au Mwanajeshi kushiriki ktk Operesheni haramu ya kijeshi kwa mujibu wa Sheria za Jeshi au Sheria za Vita. Hata hapa Tz hivi sasa wapo Wanajeshi kutoka Mataifa mengine ambao wanapata Mafunzo ya Kijeshi ktk Vyuo Mbalimbali ya Kijeshi.
Aidha, Sheria za Vita zinazuia kuua Raia au watu wasiokuwa na silaha katika maeneo ya vita. Lakini pia, Wanajeshi wenye silaha waliopo vitani hawaruhusiwi kuuawa endapo kama watajisalimisha kwa Majeshi pinzani, badala yake wanatakiwa kuchukuliwa Mateka (Mateka wa Vita).
Turudi kwenye hoja yako, huyo Mtanzania aliyeuawa huko Israel na Wanamgambo wa Hamas, Je, alistahili kuuawa hata kama alikuwa Mwanajeshi? Je, Alikuwa ana silaha na alikuwa anapambana na hao wanamgambo wa Hamas wakati alipokamatwa?Video zinaonyesha kwamba wakati alipokamatwa na hao Wanamgambo wa Hamas, kijana huyo hakuwa na silaha yoyote, sasa ni kwa nini hao wapiganaji waliamua kumuua???
Hamas ni wanamgambo sio wanajeshi,kumbuka hivyo,hawa wanamgambo hawana mafunzo ya kijeshi.Ni raia wa kawaida,ndio pia vyombo vingine vya habari binawaota magaidi sio wanajeshi.
 
Tusihangaike kusaka mchawi, Makamba na Bashe wanaujuwa ukweli. Ninaamini na mama Samia kwa sasa atakuwa anaujuwa ukweli.

Januari jana kasema wazazi wa kijana aliyeuliwa watakwenda Israel. Tujiulize toka lini wazazi wa mfiwa yeyote yule Tanzania wakapelekwa nje alipokufa? Siri hii anayo Makamba na Bashe.

Bashe anafahamu kwa kuwa yeye alituaminisha hao vijana wanakwenda kusomea kilimo. Cha kujiuliza vijana 260 wapelekwe Israel wakasomee kilimo badala ya kuja myahudi mmoja au wawili hapa wakawafundisha vijana kibao, na vyuo na vituo vya kilimo tunavyo?

Kuna siri hapo na Bashe pia anaijuwa.

Naamini kabisa, vijana hao hawakupelekwa kujifunza kulima pekee, wamepelekwa pia kujifundisha mambo ya kijeshi na kivita na au wengine watabaki israel kuendeleza kuuwa Wapalestina au wengine watakaorudi huku watakuwa ni "reserve" wa jeshi la Israel


Hili sasa hivi lipo wazi kabisa, ushahidi ni hii picha inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii, kina nani hawa?:

View attachment 2847132
Shida Yako udini unasahau hao unaowalaumu ni diniyako pia msomea ujinga. Kupeleka watu wakasome Israel niakili kubwa ili wakajionee zaidi ya utakavyo wewe nadharia/kuadithiwa... alafu wao waje wafundishe wenzao walichobobea kwakuonaa!
Kama nivita wangepelekwa waliokimbia shule mamburula sio wasomi toka Sua. Umesomea ujinga wapi faiza eti mbona unauwezea sana!!
 
Cha kutisha, hao vijana ndiyo watakaokuja kuigeuka serikali ya Tanzania na kuwa ndiyo majasusi na wapika majungu wa mazayuni.

Wanapikwa huko na mazayuni kwa faida ya mazayuni. Myahudi hajawahi kabisa kuwa rafiki wa yeyote bila kuwa na maslahi nae. Ni nyoka kweli hao.
Acha chuki za udini, tuambie warabu wenzako wamewahi kuisaidia nini Tanzania? soko la Kariakoo lilijengwa na waisrael tuonyeshe walichofanya waraabu wenzako
 
Shida Yako udini unasahau hao unaowalaumu ni diniyako pia msomea ujinga. Kupeleka watu wakasome Israel niakili kubwa ili wakajionee zaidi ya utakavyo wewe nadharia/kuadithiwa... alafu wao waje wafundishe wenzao walichobobea kwakuonaa!
Kama nivita wangepelekwa waliokimbia shule mamburula sio wasomi toka Sua. Umesomea ujinga wapi faiza eti mbona unauwezea sana!!
Iko wapi lawama?

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Acha chuki za udini, tuambie warabu wenzako wamewahi kuisaidia nini Tanzania? soko la Kariakoo lilijengwa na waisrael tuonyeshe walichofanya waraabu wenzako
Hata hilo jina "kariakoo" usingelielewa kama si Waarabu.
 
Waulize Bashe, Makamba na mama Samia, vijana wa Kitanzania wanafanya nini Israel?
Skuizi huna hoja kama zamani Sasa sijui unazeeka au dini inakukolea? Tumia akili dini tumeletewa tuu na warabu usijifungamanishe sana utajazoa mapepo tuanze kukuombea huku kukutoa mapeposugu
 
Tusihangaike kusaka mchawi, Makamba na Bashe wanaujuwa ukweli. Ninaamini na mama Samia kwa sasa atakuwa anaujuwa ukweli.

Januari jana kasema wazazi wa kijana aliyeuliwa watakwenda Israel. Tujiulize toka lini wazazi wa mfiwa yeyote yule Tanzania wakapelekwa nje alipokufa? Siri hii anayo Makamba na Bashe.

Bashe anafahamu kwa kuwa yeye alituaminisha hao vijana wanakwenda kusomea kilimo. Cha kujiuliza vijana 260 wapelekwe Israel wakasomee kilimo badala ya kuja myahudi mmoja au wawili hapa wakawafundisha vijana kibao, na vyuo na vituo vya kilimo tunavyo?

Kuna siri hapo na Bashe pia anaijuwa.

Naamini kabisa, vijana hao hawakupelekwa kujifunza kulima pekee, wamepelekwa pia kujifundisha mambo ya kijeshi na kivita na au wengine watabaki israel kuendeleza kuuwa Wapalestina au wengine watakaorudi huku watakuwa ni "reserve" wa jeshi la Israel


Hili sasa hivi lipo wazi kabisa, ushahidi ni hii picha inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii, kina nani hawa?:

View attachment 2847132
Tukae mbali na mayahudi jamani hao sio watu wema. Nyerere tulipopata uhuru aliwakaribisha kuanzisha jeshi la kujenga taifa 'nationa service' ila baada ya miaka michache tu tukawatema baada kudhihirika ni watu hatari kiusalama na kiuchumi.
 
Jiulize, mzazi yupi toka Tanzania iwepo aliyewahi kusafirishwa na serikali kwenda kujionea ukweli wa kupotelewa au kufiwa? Na wanafunzi kuwepo nje ya Tanzania hakukuana leo wala jana, hata kwenye nchi za vita kama Russia na Ukraine wapo wanafunzi wa Tanzania, wapo waliokufa huko na wa[o waliopotea huko lakini hatukuwahi kusikia mzazi kasafirishwa huko au popote kule.

Labda wenzangu mmewahi kusikia.

Wala tusiumize vichwa kama nilivyosema nilivyoleta uzi huu, Bashe na Makamba wanaujuwa ukweli, wakuwauliza ni wao tu. Na sasa mama Samia anafahamu ukweli na wazazi wa Joshua wanfahamu ukweli A to Z.

Ni kweli kabisa unachosema. Hata yule mwingine aliyepigana chini ya Wagna wa Urusi, tukapata taarifa za kifo kupitia mitandao ya kijamii. Baadaye akasafirishwa mpaka kwao Mbeya na kuzikwa huko.
 
Tusihangaike kusaka mchawi, Makamba na Bashe wanaujuwa ukweli. Ninaamini na mama Samia kwa sasa atakuwa anaujuwa ukweli.

Januari jana kasema wazazi wa kijana aliyeuliwa watakwenda Israel. Tujiulize toka lini wazazi wa mfiwa yeyote yule Tanzania wakapelekwa nje alipokufa? Siri hii anayo Makamba na Bashe.

Bashe anafahamu kwa kuwa yeye alituaminisha hao vijana wanakwenda kusomea kilimo. Cha kujiuliza vijana 260 wapelekwe Israel wakasomee kilimo badala ya kuja myahudi mmoja au wawili hapa wakawafundisha vijana kibao, na vyuo na vituo vya kilimo tunavyo?

Kuna siri hapo na Bashe pia anaijuwa.

Naamini kabisa, vijana hao hawakupelekwa kujifunza kulima pekee, wamepelekwa pia kujifundisha mambo ya kijeshi na kivita na au wengine watabaki israel kuendeleza kuuwa Wapalestina au wengine watakaorudi huku watakuwa ni "reserve" wa jeshi la Israel


Hili sasa hivi lipo wazi kabisa, ushahidi ni hii picha inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii, kina nani hawa?:

View attachment 2847132
MADA ni vijana wa Tanzania kupelekwa Israel, lakini mtoa mada anaingiza hoja ya Wapalestina kuuawa, Kuna uhusiano hapo? Suala la Palestina linatimiza unabii ambao Mwenyezi Mungu aliutoa kupitia vinywa vya manabii wake Ezekiel, Zakaria, Amos n.k. pale Waisraeli walipomuasi alisema atawatawanya eneo hilo, hiyo ilikuwa miaka ya nyuma ya 580 BC na ikatokea Waisraeli walipigwa na Warumi mwaka 135 AD na kutawanywa. Mwenyezi Mungu pia alisema atawarejesha Israel kutoka alikowatawanya, na ikatokea mwaka 1948 Waisraeli walirejea (Amos 9:14-15). Mwenyezi Mungu pia alisema Kuta za Gaza zitawaka moto (Amos 1:6-7). Haya yote yanatokea Sasa, kuta za Gaza zinawaka moto. Pengine tunaweza kufikiri kuwa toka haya yasemwe miaka ya 580 BC kwa Nini yanatokea leo zaidi ya miaka 3,000 iliyopita? Jibu ni rahisi, miaka 1,000 kwa Mungu ni siku moja. Hayo yanayotokea Gaza leo, hakuna awezaye kuyapindisha, siyo UN,Wala maandamano ya Dunia. Wapalestina wakae kwa kutulia, vinginevyo watafutwa mazima.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
MADA ni vijana wa Tanzania kupelekwa Israel, lakini mtoa mada anaingiza hoja ya Wapalestina kuuawa, Kuna uhusiano hapo? Suala la Palestina linatimiza unabii ambao Mwenyezi Mungu aliutoa kupitia vinywa vya manabii wake Ezekiel, Zakaria, Amos n.k. pale Waisraeli walipomuasi alisema atawatawanya eneo hilo, hiyo ilikuwa miaka ya nyuma ya 580 BC na ikatokea Waisraeli walipigwa na Warumi mwaka 135 AD na kutawanywa. Mwenyezi Mungu pia alisema atawarejesha Israel kutoka alikowatawanya, na ikatokea mwaka 1948 Waisraeli walirejea (Amos 9:14-15). Mwenyezi Mungu pia alisema Kuta za Gaza zitawaka moto (Amos 1:6-7). Haya yote yanatokea Sasa, kuta za Gaza zinawaka moto. Pengine tunaweza kufikiri kuwa toka haya yasemwe miaka ya 580 BC kwa Nini yanatokea leo zaidi ya miaka 3,000 iliyopita? Jibu ni rahisi, miaka 1,000 kwa Mungu ni siku moja. Hayo yanayotokea Gaza leo, hakuna awezaye kuyapindisha, siyo UN,Wala maandamano ya Dunia. Wapalestina wakae kwa kutulia, vinginevyo watafutwa mazima.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Usichanganye Israel hii ya leo ya mazayuni na kizazi cha Yakoub (Israel):
 
Tusihangaike kusaka mchawi, Makamba na Bashe wanaujuwa ukweli. Ninaamini na mama Samia kwa sasa atakuwa anaujuwa ukweli.

Januari jana kasema wazazi wa kijana aliyeuliwa watakwenda Israel. Tujiulize toka lini wazazi wa mfiwa yeyote yule Tanzania wakapelekwa nje alipokufa? Siri hii anayo Makamba na Bashe.

Bashe anafahamu kwa kuwa yeye alituaminisha hao vijana wanakwenda kusomea kilimo. Cha kujiuliza vijana 260 wapelekwe Israel wakasomee kilimo badala ya kuja myahudi mmoja au wawili hapa wakawafundisha vijana kibao, na vyuo na vituo vya kilimo tunavyo?

Kuna siri hapo na Bashe pia anaijuwa.

Naamini kabisa, vijana hao hawakupelekwa kujifunza kulima pekee, wamepelekwa pia kujifundisha mambo ya kijeshi na kivita na au wengine watabaki israel kuendeleza kuuwa Wapalestina au wengine watakaorudi huku watakuwa ni "reserve" wa jeshi la Israel


Hili sasa hivi lipo wazi kabisa, ushahidi ni hii picha inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii, kina nani hawa?:

View attachment 2847132
January Yusuph Makamba na Hussein Bashe ni Waislam. Sidhan kama wanaweza ku support Waislam wenzao wa Palestine wauawe. Muulize Tena aliekupa hizi taarifa
 
Faiza:
Hii vita ya Hamas/Israel imekuchanganya sana dadangu.....You are not in your right mind! Sio Faiza nayemjua, Pole sana!
Tatizo lako ni sawa na la Watanzania wwlionwengi ni kujifanya unaelewa lakini Kuna mengi sana huyaelewi:


Nakushauri pendelea kujisomea sana, soma kila unachoweza kukisoma, inapanuwa uelewa. Siku utakayojielewa kuwa huna unalolielewa ndipo utaanza kuwa muelewa.
 
Back
Top Bottom