Makamba na nongwa za bodi ya TANESCO, ni marudio ya awamu nyingine japo yalifanyika kimya kimya

Makamba na nongwa za bodi ya TANESCO, ni marudio ya awamu nyingine japo yalifanyika kimya kimya

Phillipo Bukililo

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2015
Posts
18,487
Reaction score
13,611
Uwezo wa watanzania ni kulalamika kwa vitendo, kwa kutumia ushahidi wa video zilizopita. Yaani ilimradi walalamike, waweke hisia zao wazi ndio huwa furaha yao kuu. Tangu JPM alale usingizi wake wa milele, kuna wanaoishi kwa hasira na majonzi yasiyosemeka. Kila ambacho Mama atakifanya kitaonekana kama kimefanywa na JK kwa mlango wa nyuma.

Bodi mpya ya TANESCO baada ya kuwa imeshajulikana hadharani zimeibuka nongwa za kila aina. Yanasemwa mengi na yote yanamtia hatiani Mama Samia kwa njia moja au nyingine. Kwamba hawezi kuteua watu mpaka apate kwanza baraka za JK.

Kuna pande mbili za wanaosemwa sana mitandaoni. Kwamba wawe wabunifu maana kwa hatua ya kwanza kabisa mpaka wao wakarudishwa na kupewa vyeo vya juu ni ubunifu ulioacha alama wa siku zilizopita. Pia maoni hasi juu ya kwanini wapewe vyeo walivyonavyo sasa japo walishachafuka, ni ukweli kwamba uaminifu wao sio mzuri mpaka leo. Kwamba madudu yao yanaendelea kufuata siku zote, rekodi zao zimeshachafuka na uchafu huo unatokana na rekodi zao za nyuma zinavyosomeka.

Hawa wenye wepesi wa kulalamikia juu ya rekodi hizo chafu za hawa wateule wapya wa Mama Samia wanachoshindwa kufahamu ni kuwa hata JPMa alipowaondoa hawa wa sasa aliwaweka wale alionao na sauti juu yao. Aliondoa kundi moja la wapigaji akaja na kundi jingine lenye kufanya uchafu ule ule lakini hakukuwa na uwazi wa vyombo vya habari wa kuweza kuuanika.

Hivyo jamii haijatendewa haki kwani inafahamu uchafu wote wa watendaji wa zamani wa JK lakini haifahamu uchafu wa wale waliokuwa ni wa JPM. Hayati hakuwa msafi kama tunavyojaribu kujulishwa kwenye media, la hasha. Uchafu wa watu wa JK unatokana na maamuzi yake na utayari wa kuweka kila kitu wazi.

Hivyo ni matarajio ya wadau wa sekta ya umeme kuwaona watendaji waliokuwa wachafu na bado ikaonekana wanafaa kupewa vyeo hivyo, wakiwa na uhuru na utendaji wenye ufanisi kuliko ile awamu ya kwanza walipochafuka na kuchafuliwa zaidi watu wakiaminiswa ni wachafu kumbe ni uchafu wa kisiasa unaopewa kipaumbele kuliko ule halisia.

Waitumie hii fursa ya pili waliyopewa na Mama Samia kwa kuwaonyesha wenye wasiwasi na utendaji kazi wao kwamba ni mawazo potofu kuamini kuwa wanatakiwa watiliwe shaka milele yote.

Kuna watu wamenuna na muda wote kosa dogo wapo tayari lionekane ni kubwa sana, hii ni kutokana na kuishi tofauti na matarajio yao. Ghafla tu wamelazimika kuwa wapole huku wakichekea machoni tu, wanalolishauri linaweza kuonekana ni la kweli na la dhati ya moyoni kumbe linao mtego wa hatari ndani yake.

Wajumbe wapya wa bodi ya TANESCO, wapige kazi kadri wawezavyo pasipo kujaziwa mabegani zile shauku na mioyo ya hasira kutoka kona mbalimbali za wanajamii.
 
Unajua wabongo Kuna muda sisi wenyewe ni tatizo.
Kiuhalisia kabisa unaweza vipi mteua mtu ambaye anawakilisha kampuni zenye kesi na Tanesco?
Kipindi hicho Makamba mwenyewe alikiri hilo suala la Maajar na rex attorneys yake. Akaenda mbali kabisa na kushangaa imekuwaje JK kamteua mtu huyo kuwa balozi. Anyway.......
 
Unajua wabongo Kuna muda sisi wenyewe ni tatizo.
Kiuhalisia kabisa unaweza vipi mteua mtu ambaye anawakilisha kampuni zenye kesi na Tanesco?
Kipindi hicho Makamba mwenyewe alikiri hilo suala la Maajar na rex attorneys yake. Akaenda mbali kabisa na kushangaa imekuwaje JK kamteua mtu huyo kuwa balozi. Anyway.......
Hii hulka ya kuwahisi watu ubaya inatupa unyonge usiokwisha siku zote. Ni mbaya sana na inaishi ndani yetu. Kwa kuwa mwaka juzi uliharibu na mwaka huu ukipewa utaharibu.

Ni sawa sawa na yale aliyosema Prof Shivji kuhusu wafanyabiashara kupewa nafasi kwenye bodi kasahau kuwa bungeni kumejaa wafanyabiashara na wameshapita wengi tu. RIP Abbas Gulamali, Shabibi na wengine wengi tu na bado tukawaamini wakitenda kazi kwa ufanisi tulioutegemea.
 
Uwezo wa watanzania ni kulalamika kwa vitendo, kwa kutumia ushahidi wa video zilizopita. Yaani ilimradi walalamike, waweke hisia zao wazi ndio huwa furaha yao kuu. Tangu JPM alale usingizi wake wa milele, kuna wanaoishi kwa hasira na majonzi yasiyosemeka. Kila ambacho Mama atakifanya kitaonekana kama kimefanywa na JK kwa mlango wa nyuma.

Bodi mpya ya TANESCO baada ya kuwa imeshajulikana hadharani zimeibuka nongwa za kila aina. Yanasemwa mengi na yote yanamtia hatiani Mama Samia kwa njia moja au nyingine. Kwamba hawezi kuteua watu mpaka apate kwanza baraka za JK.

Kuna pande mbili za wanaosemwa sana mitandaoni. Kwamba wawe wabunifu maana kwa hatua ya kwanza kabisa mpaka wao wakarudishwa na kupewa vyeo vya juu ni ubunifu ulioacha alama wa siku zilizopita. Pia maoni hasi juu ya kwanini wapewe vyeo walivyonavyo sasa japo walishachafuka, ni ukweli kwamba uaminifu wao sio mzuri mpaka leo. Kwamba madudu yao yanaendelea kufuata siku zote, rekodi zao zimeshachafuka na uchafu huo unatokana na rekodi zao za nyuma zinavyosomeka.

Hawa wenye wepesi wa kulalamikia juu ya rekodi hizo chafu za hawa wateule wapya wa Mama Samia wanachoshindwa kufahamu ni kuwa hata JPMa alipowaondoa hawa wa sasa aliwaweka wale alionao na sauti juu yao. Aliondoa kundi moja la wapigaji akaja na kundi jingine lenye kufanya uchafu ule ule lakini hakukuwa na uwazi wa vyombo vya habari wa kuweza kuuanika.

Hivyo jamii haijatendewa haki kwani inafahamu uchafu wote wa watendaji wa zamani wa JK lakini haifahamu uchafu wa wale waliokuwa ni wa JPM. Hayati hakuwa msafi kama tunavyojaribu kujulishwa kwenye media, la hasha. Uchafu wa watu wa JK unatokana na maamuzi yake na utayari wa kuweka kila kitu wazi.

Hivyo ni matarajio ya wadau wa sekta ya umeme kuwaona watendaji waliokuwa wachafu na bado ikaonekana wanafaa kupewa vyeo hivyo, wakiwa na uhuru na utendaji wenye ufanisi kuliko ile awamu ya kwanza walipochafuka na kuchafuliwa zaidi watu wakiaminiswa ni wachafu kumbe ni uchafu wa kisiasa unaopewa kipaumbele kuliko ule halisia.

Waitumie hii fursa ya pili waliyopewa na Mama Samia kwa kuwaonyesha wenye wasiwasi na utendaji kazi wao kwamba ni mawazo potofu kuamini kuwa wanatakiwa watiliwe shaka milele yote.

Kuna watu wamenuna na muda wote kosa dogo wapo tayari lionekane ni kubwa sana, hii ni kutokana na kuishi tofauti na matarajio yao. Ghafla tu wamelazimika kuwa wapole huku wakichekea machoni tu, wanalolishauri linaweza kuonekana ni la kweli na la dhati ya moyoni kumbe linao mtego wa hatari ndani yake.

Wajumbe wapya wa bodi ya TANESCO, wapige kazi kadri wawezavyo pasipo kujaziwa mabegani zile shauku na mioyo ya hasira kutoka kona mbalimbali za wanajamii.
Kweli kabisa JPM alifanya hovyo nyingi na kuzima vyombo vya habari visitangaze hayo leo hii tumeanza kuona uchafu wake, na bado.
 
Unajua wabongo Kuna muda sisi wenyewe ni tatizo.
Kiuhalisia kabisa unaweza vipi mteua mtu ambaye anawakilisha kampuni zenye kesi na Tanesco?
Kipindi hicho Makamba mwenyewe alikiri hilo suala la Maajar na rex attorneys yake. Akaenda mbali kabisa na kushangaa imekuwaje JK kamteua mtu huyo kuwa balozi. Anyway.......
Hapa ndio pamenimaliza nguvu
 
Uwezo wa watanzania ni kulalamika kwa vitendo, kwa kutumia ushahidi wa video zilizopita. Yaani ilimradi walalamike, waweke hisia zao wazi ndio huwa furaha yao kuu. Tangu JPM alale usingizi wake wa milele, kuna wanaoishi kwa hasira na majonzi yasiyosemeka. Kila ambacho Mama atakifanya kitaonekana kama kimefanywa na JK kwa mlango wa nyuma.

Bodi mpya ya TANESCO baada ya kuwa imeshajulikana hadharani zimeibuka nongwa za kila aina. Yanasemwa mengi na yote yanamtia hatiani Mama Samia kwa njia moja au nyingine. Kwamba hawezi kuteua watu mpaka apate kwanza baraka za JK.

Kuna pande mbili za wanaosemwa sana mitandaoni. Kwamba wawe wabunifu maana kwa hatua ya kwanza kabisa mpaka wao wakarudishwa na kupewa vyeo vya juu ni ubunifu ulioacha alama wa siku zilizopita. Pia maoni hasi juu ya kwanini wapewe vyeo walivyonavyo sasa japo walishachafuka, ni ukweli kwamba uaminifu wao sio mzuri mpaka leo. Kwamba madudu yao yanaendelea kufuata siku zote, rekodi zao zimeshachafuka na uchafu huo unatokana na rekodi zao za nyuma zinavyosomeka.

Hawa wenye wepesi wa kulalamikia juu ya rekodi hizo chafu za hawa wateule wapya wa Mama Samia wanachoshindwa kufahamu ni kuwa hata JPMa alipowaondoa hawa wa sasa aliwaweka wale alionao na sauti juu yao. Aliondoa kundi moja la wapigaji akaja na kundi jingine lenye kufanya uchafu ule ule lakini hakukuwa na uwazi wa vyombo vya habari wa kuweza kuuanika.

Hivyo jamii haijatendewa haki kwani inafahamu uchafu wote wa watendaji wa zamani wa JK lakini haifahamu uchafu wa wale waliokuwa ni wa JPM. Hayati hakuwa msafi kama tunavyojaribu kujulishwa kwenye media, la hasha. Uchafu wa watu wa JK unatokana na maamuzi yake na utayari wa kuweka kila kitu wazi.

Hivyo ni matarajio ya wadau wa sekta ya umeme kuwaona watendaji waliokuwa wachafu na bado ikaonekana wanafaa kupewa vyeo hivyo, wakiwa na uhuru na utendaji wenye ufanisi kuliko ile awamu ya kwanza walipochafuka na kuchafuliwa zaidi watu wakiaminiswa ni wachafu kumbe ni uchafu wa kisiasa unaopewa kipaumbele kuliko ule halisia.

Waitumie hii fursa ya pili waliyopewa na Mama Samia kwa kuwaonyesha wenye wasiwasi na utendaji kazi wao kwamba ni mawazo potofu kuamini kuwa wanatakiwa watiliwe shaka milele yote.

Kuna watu wamenuna na muda wote kosa dogo wapo tayari lionekane ni kubwa sana, hii ni kutokana na kuishi tofauti na matarajio yao. Ghafla tu wamelazimika kuwa wapole huku wakichekea machoni tu, wanalolishauri linaweza kuonekana ni la kweli na la dhati ya moyoni kumbe linao mtego wa hatari ndani yake.

Wajumbe wapya wa bodi ya TANESCO, wapige kazi kadri wawezavyo pasipo kujaziwa mabegani zile shauku na mioyo ya hasira kutoka kona mbalimbali za wanajamii.
Moja kati ya maandiko mazuri sana. Hongera
 
Uwezo wa watanzania ni kulalamika kwa vitendo, kwa kutumia ushahidi wa video zilizopita. Yaani ilimradi walalamike, waweke hisia zao wazi ndio huwa furaha yao kuu. Tangu JPM alale usingizi wake wa milele, kuna wanaoishi kwa hasira na majonzi yasiyosemeka. Kila ambacho Mama atakifanya kitaonekana kama kimefanywa na JK kwa mlango wa nyuma.

Bodi mpya ya TANESCO baada ya kuwa imeshajulikana hadharani zimeibuka nongwa za kila aina. Yanasemwa mengi na yote yanamtia hatiani Mama Samia kwa njia moja au nyingine. Kwamba hawezi kuteua watu mpaka apate kwanza baraka za JK.

Kuna pande mbili za wanaosemwa sana mitandaoni. Kwamba wawe wabunifu maana kwa hatua ya kwanza kabisa mpaka wao wakarudishwa na kupewa vyeo vya juu ni ubunifu ulioacha alama wa siku zilizopita. Pia maoni hasi juu ya kwanini wapewe vyeo walivyonavyo sasa japo walishachafuka, ni ukweli kwamba uaminifu wao sio mzuri mpaka leo. Kwamba madudu yao yanaendelea kufuata siku zote, rekodi zao zimeshachafuka na uchafu huo unatokana na rekodi zao za nyuma zinavyosomeka.

Hawa wenye wepesi wa kulalamikia juu ya rekodi hizo chafu za hawa wateule wapya wa Mama Samia wanachoshindwa kufahamu ni kuwa hata JPMa alipowaondoa hawa wa sasa aliwaweka wale alionao na sauti juu yao. Aliondoa kundi moja la wapigaji akaja na kundi jingine lenye kufanya uchafu ule ule lakini hakukuwa na uwazi wa vyombo vya habari wa kuweza kuuanika.

Hivyo jamii haijatendewa haki kwani inafahamu uchafu wote wa watendaji wa zamani wa JK lakini haifahamu uchafu wa wale waliokuwa ni wa JPM. Hayati hakuwa msafi kama tunavyojaribu kujulishwa kwenye media, la hasha. Uchafu wa watu wa JK unatokana na maamuzi yake na utayari wa kuweka kila kitu wazi.

Hivyo ni matarajio ya wadau wa sekta ya umeme kuwaona watendaji waliokuwa wachafu na bado ikaonekana wanafaa kupewa vyeo hivyo, wakiwa na uhuru na utendaji wenye ufanisi kuliko ile awamu ya kwanza walipochafuka na kuchafuliwa zaidi watu wakiaminiswa ni wachafu kumbe ni uchafu wa kisiasa unaopewa kipaumbele kuliko ule halisia.

Waitumie hii fursa ya pili waliyopewa na Mama Samia kwa kuwaonyesha wenye wasiwasi na utendaji kazi wao kwamba ni mawazo potofu kuamini kuwa wanatakiwa watiliwe shaka milele yote.

Kuna watu wamenuna na muda wote kosa dogo wapo tayari lionekane ni kubwa sana, hii ni kutokana na kuishi tofauti na matarajio yao. Ghafla tu wamelazimika kuwa wapole huku wakichekea machoni tu, wanalolishauri linaweza kuonekana ni la kweli na la dhati ya moyoni kumbe linao mtego wa hatari ndani yake.

Wajumbe wapya wa bodi ya TANESCO, wapige kazi kadri wawezavyo pasipo kujaziwa mabegani zile shauku na mioyo ya hasira kutoka kona mbalimbali za wanajamii.
Mleta maada wewe ni mpuuzi na huna hekima wala akili. Tofauti ya JK na JPM ni kuhusu wateule wao. Wateule wa JK ni mafisadi sana na wezi wasiokuwa na huruma na ni kundi lililotaka kujimilikisha nchi! Huo ndiyo mpbano wa vyombo vya ulinzi na usalama vinapambana nchi isiangukie kwa hawa kundi la walafi. Salamu kwa hawa wanaojifanya kuendekeza ufisadi for 100% hawatafanikiwa kwa sababu kila kitu kipo monitored 24/7. Ndiyo maana mwenye akili kipindi hiki si sahihi kuingia/kuwekeza Tanzania kwa sababu all dubious deal zinaweza ku haribika anytime. Dr Magufuli yeye aliteua watendaji wenye uoga wa rushwa/wenye vinasaba vya uzalendo/wenye mafaili si machafu sana (ingawa wengine walitumia huo mwanya kujineemesha). Kwa upande wa Dkt JK na Dkt Magufuli wote si mafisadi yaani hawakuwa na hulka ya kujilimbikizia mali.
 
Mleta maada wewe ni mpuuzi na huna hekima wala akili. Tofauti ya JK na JPM ni kuhusu wateule wao. Wateule wa JK ni mafisadi sana na wezi wasiokuwa na huruma na ni kundi lililotaka kujimilikisha nchi! Huo ndiyo mpbano wa vyombo vya ulinzi na usalama vinapambana nchi isiangukie kwa hawa kundi la walafi. Salamu kwa hawa wanaojifanya kuendekeza ufisadi for 100% hawatafanikiwa kwa sababu kila kitu kipo monitored 24/7. Ndiyo maana mwenye akili kipindi hiki si sahihi kuingia/kuwekeza Tanzania kwa sababu all dubious deal zinaweza ku haribika anytime. Dr Magufuli yeye aliteua watendaji wenye uoga wa rushwa/wenye vinasaba vya uzalendo/wenye mafaili si machafu sana (ingawa wengine walitumia huo mwanya kujineemesha). Kwa upande wa Dkt JK na Dkt Magufuli wote si mafisadi yaani hawakuwa na hulka ya kujilimbikizia mali.
Unajua hata JPM ni mteule wa JK? Nae ni fisadi sio??

Vyombo gani vya ulinzi vinapambana nchi isianguke? Hivi nyie watu mnapenda sana kujilisha matango pori kumbe?😂😂😂

Nchi inaangukaje wakati uchumi unakuwa? Biashara zinazidi kufunguka? Miradi inaendelea tena kwa kasi ya ajabu? Takwimu za biashara zinatubeba na sasa tunauza Kenya na Uganda kuliko wao wanavyouza kwetu?

Hizo chuki zenu na Kikwete ambazo mmeziamishia kwa Samia na Wateule wake hazitawafikisha popote chato gang!

Kwa kifupi nyie wote mmejaaa chuki tu hamna hoja yeyote!
 
Mleta maada wewe ni mpuuzi na huna hekima wala akili. Tofauti ya JK na JPM ni kuhusu wateule wao. Wateule wa JK ni mafisadi sana na wezi wasiokuwa na huruma na ni kundi lililotaka kujimilikisha nchi! Huo ndiyo mpbano wa vyombo vya ulinzi na usalama vinapambana nchi isiangukie kwa hawa kundi la walafi. Salamu kwa hawa wanaojifanya kuendekeza ufisadi for 100% hawatafanikiwa kwa sababu kila kitu kipo monitored 24/7. Ndiyo maana mwenye akili kipindi hiki si sahihi kuingia/kuwekeza Tanzania kwa sababu all dubious deal zinaweza ku haribika anytime. Dr Magufuli yeye aliteua watendaji wenye uoga wa rushwa/wenye vinasaba vya uzalendo/wenye mafaili si machafu sana (ingawa wengine walitumia huo mwanya kujineemesha). Kwa upande wa Dkt JK na Dkt Magufuli wote si mafisadi yaani hawakuwa na hulka ya kujilimbikizia mali.
Mudawote una kichwa cha panzi. Umesoma juujuu. Mtoa mada amesema wateuliwa wa JK walituhumiwa na mtu mmoja tu JPM kuwa ni mafisadi lakini hakuwahi kuwafikisha Mahakamani kuthibitisha kuwa ni mafisadi mpaka amekufa.

Kiukweli Magufuli roho yake ilikuwa na chuki kwa kila mtu ambaye alikuwa ana neema. Alitaka watu wote waishi kimaskini kasoro yeye na wapambe wake akina Makonda, Mnyeti, Bashiru etc.

Mtoa mada kasema hii ni fursa kwa timu hii kuonyesha uwezo wao na uaminifu wao.
 
Mleta maada wewe ni mpuuzi na huna hekima wala akili. Tofauti ya JK na JPM ni kuhusu wateule wao. Wateule wa JK ni mafisadi sana na wezi wasiokuwa na huruma na ni kundi lililotaka kujimilikisha nchi! Huo ndiyo mpbano wa vyombo vya ulinzi na usalama vinapambana nchi isiangukie kwa hawa kundi la walafi. Salamu kwa hawa wanaojifanya kuendekeza ufisadi for 100% hawatafanikiwa kwa sababu kila kitu kipo monitored 24/7. Ndiyo maana mwenye akili kipindi hiki si sahihi kuingia/kuwekeza Tanzania kwa sababu all dubious deal zinaweza ku haribika anytime. Dr Magufuli yeye aliteua watendaji wenye uoga wa rushwa/wenye vinasaba vya uzalendo/wenye mafaili si machafu sana (ingawa wengine walitumia huo mwanya kujineemesha). Kwa upande wa Dkt JK na Dkt Magufuli wote si mafisadi yaani hawakuwa na hulka ya kujilimbikizia mali.
Wewe ndie mpuuzi na muongo mkubwa.

Filipo amesema ukweli. Kama JPM wako alikuwa msafi na aliteua wasafi kama unavyodanganya,kwa nini aliamua kutawala nchi gizani kwa kuzuia uhuru wa habari? Kwa nini alizuia wapinzani kufanya siasa? Kwa nini aliteua viongozi wa aina ya Sabaya na makonda?
 
Watu hawalalamiki bila sababu. Na hawawezi kusema ndio kwa kila jambo.

Kusema watu wa magu walikuwa wachafu ni kutaka kuipa uhalali hoja yako. Kila mtu anajua JPM hakushindwa kumtumbua mtu yeyote aliyezingua na kumchana hadharani, labda asijue.

Ndio serikali ya pekee iliyomudu kusimamia viongozi bila aibu wala kuogopana.
 
Mudawote una kichwa cha panzi. Umesoma juujuu. Mtoa mada amesema wateuliwa wa JK walituhumiwa na mtu mmoja tu JPM kuwa ni mafisadi lakini hakuwahi kuwafikisha Mahakamani kuthibitisha kuwa ni mafisadi mpaka amekufa.

Kiukweli Magufuli roho yake ilikuwa na chuki kwa kila mtu ambaye alikuwa ana neema. Alitaka watu wote waishi kimaskini kasoro yeye na wapambe wake akina Makonda, Mnyeti, Bashiru etc.

Mtoa mada kasema hii ni fursa kwa timu hii kuonyesha uwezo wao na uaminifu wao.
Hii inaitwa second chance, maisha hutoa nafasi ya pili kwa mtu kuweza kufanyia kazi makosa yake ya siku za nyuma ili Heshima aliyoipoteza aweze kuirudisha.
 
Watu hawalalamiki bila sababu. Na hawawezi kusema ndio kwa kila jambo.

Kusema watu wa magu walikuwa wachafu ni kutaka kuipa uhalali hoja yako. Kila mtu anajua JPM hakushindwa kumtumbua mtu yeyote aliyezingua na kumchana hadharani, labda asijue.

Ndio serikali ya pekee iliyomudu kusimamia viongozi bila aibu wala kuogopana.
Sijasema watu wa JPM walikuwa wachafu, nimeongelea juhudi za makusudi za kuficha huo uchafu kwa kutumia media na hata kwa nguvu ya haiba ya JPM mwenyewe.

Aliwashindwa baadhi ya watu mfano ni Paul Makonda na wengine wachache wa karibu yake. Ujue kuwa JPM alipenda kuwa na msiri wa nyumbani kwake ambaye angeweza kuuanika wazi udhaifu wake wote, hii ni sifa ambayo sio kila mtu mwenye kuweza kuifikia.
 
Sijasema watu wa JPM walikuwa wachafu, nimeongelea juhudi za makusudi za kuficha huo uchafu kwa kutumia media na hata kwa nguvu ya haiba ya JPM mwenyewe.

Aliwashindwa baadhi ya watu mfano ni Paul Makonda na wengine wachache wa karibu yake. Ujue kuwa JPM alipenda kuwa na msiri wa nyumbani kwake ambaye angeweza kuuanika wazi udhaifu wake wote, hii ni sifa ambayo sio kila mtu mwenye kuweza kuifikia.
Hebu tuambie uchafu au ufisadi wa makonda ni upi ambao hauna mashaka yoyote?

Ni nani unadhani alikuwa mchafu ama alikuwa na tuhuma iwe serikali yake au serikali ya JK akaendelea kumbeba au kuwemo kwenye serikali yake?
 
Unajua hata JPM ni mteule wa JK? Nae ni fisadi sio??

Vyombo gani vya ulinzi vinapambana nchi isianguke? Hivi nyie watu mnapenda sana kujilisha matango pori kumbe?😂😂😂

Nchi inaangukaje wakati uchumi unakuwa? Biashara zinazidi kufunguka? Miradi inaendelea tena kwa kasi ya ajabu? Takwimu za biashara zinatubeba na sasa tunauza Kenya na Uganda kuliko wao wanavyouza kwetu?

Hizo chuki zenu na Kikwete ambazo mmeziamishia kwa Samia na Wateule wake hazitawafikisha popote chato gang!

Kwa kifupi nyie wote mmejaaa chuki tu hamna hoja yeyote!
JPM aliteuliwa na JK kuwa waziri wa mifugo na uvuvi. JK mungu anakuona
 
Wewe ndie mpuuzi na muongo mkubwa.

Filipo amesema ukweli. Kama JPM wako alikuwa msafi na aliteua wasafi kama unavyodanganya,kwa nini aliamua kutawala nchi gizani kwa kuzuia uhuru wa habari? Kwa nini alizuia wapinzani kufanya siasa? Kwa nini aliteua viongozi wa aina ya Sabaya na makonda?
Nimeandika wateule awamu zote baadhi walikuwa wazuri wengine vimeo. Hata Dkt Magufuli bila Dkt JK asingefahamika. Pole kwa kuona matusi zaidi ya hoja.
 
Kwenye utumishi wa umma katika mataifa makini yanayojielewa suala la mgogoro wa maslahi ni jambo la kuzingatiwa sana.
Hii hulka ya kuwahisi watu ubaya inatupa unyonge usiokwisha siku zote. Ni mbaya sana na inaishi ndani yetu. Kwa kuwa mwaka juzi uliharibu na mwaka huu ukipewa utaharibu.

Ni sawa sawa na yale aliyosema Prof Shivji kuhusu wafanyabiashara kupewa nafasi kwenye bodi kasahau kuwa bungeni kumejaa wafanyabiashara na wameshapita wengi tu. RIP Abbas Gulamali, Shabibi na wengine wengi tu na bado tukawaamini wakitenda kazi kwa ufanisi tulioutegemea.
 
Back
Top Bottom