Makamba na nongwa za bodi ya TANESCO, ni marudio ya awamu nyingine japo yalifanyika kimya kimya

Makamba na nongwa za bodi ya TANESCO, ni marudio ya awamu nyingine japo yalifanyika kimya kimya

Hebu tuambie uchafu au ufisadi wa makonda ni upi ambao hauna mashaka yoyote?

Ni nani unadhani alikuwa mchafu ama alikuwa na tuhuma iwe serikali yake au serikali ya JK akaendelea kumbeba au kuwemo kwenye serikali yake?
Mkuu hili ni jukwaa hili lakini huo uhuru una mipaka yake. Natumaini umenielewa vyema.
 
Sana sana utasema alivamia clouds na tuhuma nyingine za kisiasa ambazo huwezi kuthibitisha.
Kuna tuhuma nyingi zisizoweza kuthibitishwa, kama vile masuala ya nguvu za giza zilizoachwa ikulu na JK, ni Paulo aliyeweza kupata 'wataalam' walioweza kuziondoa mahali pale na yapo mengine mengi tusiyoweza kuyaweka mahali hapa.
 
Uzi mzuri, watu hawakujua yaliyojiri wakati wa mwendazake kwani vyombo vyote vilikuwa vinaimba mapambio tu. Watulie waone nchi ikipaa.
 
Mleta maada wewe ni mpuuzi na huna hekima wala akili. Tofauti ya JK na JPM ni kuhusu wateule wao. Wateule wa JK ni mafisadi sana na wezi wasiokuwa na huruma na ni kundi lililotaka kujimilikisha nchi! Huo ndiyo mpbano wa vyombo vya ulinzi na usalama vinapambana nchi isiangukie kwa hawa kundi la walafi. Salamu kwa hawa wanaojifanya kuendekeza ufisadi for 100% hawatafanikiwa kwa sababu kila kitu kipo monitored 24/7. Ndiyo maana mwenye akili kipindi hiki si sahihi kuingia/kuwekeza Tanzania kwa sababu all dubious deal zinaweza ku haribika anytime. Dr Magufuli yeye aliteua watendaji wenye uoga wa rushwa/wenye vinasaba vya uzalendo/wenye mafaili si machafu sana (ingawa wengine walitumia huo mwanya kujineemesha). Kwa upande wa Dkt JK na Dkt Magufuli wote si mafisadi yaani hawakuwa na hulka ya kujilimbikizia mali.
"Mleta maada wewe ni mpuuzi na huna hekima wala akili"

Mkuu kama ungaliondoa maneno niliyoyanukuu hapo juu katika utangulizi wa mchango wako mbona ingekuwa poa tu.

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
 
Unajua wabongo Kuna muda sisi wenyewe ni tatizo.
Kiuhalisia kabisa unaweza vipi mteua mtu ambaye anawakilisha kampuni zenye kesi na Tanesco?
Kipindi hicho Makamba mwenyewe alikiri hilo suala la Maajar na rex attorneys yake. Akaenda mbali kabisa na kushangaa imekuwaje JK kamteua mtu huyo kuwa balozi. Anyway.......
mambo mengine ni kumwachia MWENYEZI MUNGU MAANA HAKUNA LINALO MSHINDA, KWANI TUMEONA MANGAPI? ACHA JANUARI MAKAMBA AJIFANYE MJANJA
 
Ungependa awe ni aina ya Kalemani mkali mwenye sauti ya kufoka na pengine awe na utayari wa kuwatukana wasaidizi mbele ya kamera za runinga za TBC!.
Mara hii unamkataa mwendazake JPM! Leo ndio unajua ubaya wake? Hili ni bonge la U-turn.
 
Mleta maada wewe ni mpuuzi na huna hekima wala akili. Tofauti ya JK na JPM ni kuhusu wateule wao. Wateule wa JK ni mafisadi sana na wezi wasiokuwa na huruma na ni kundi lililotaka kujimilikisha nchi! Huo ndiyo mpbano wa vyombo vya ulinzi na usalama vinapambana nchi isiangukie kwa hawa kundi la walafi. Salamu kwa hawa wanaojifanya kuendekeza ufisadi for 100% hawatafanikiwa kwa sababu kila kitu kipo monitored 24/7. Ndiyo maana mwenye akili kipindi hiki si sahihi kuingia/kuwekeza Tanzania kwa sababu all dubious deal zinaweza ku haribika anytime. Dr Magufuli yeye aliteua watendaji wenye uoga wa rushwa/wenye vinasaba vya uzalendo/wenye mafaili si machafu sana (ingawa wengine walitumia huo mwanya kujineemesha). Kwa upande wa Dkt JK na Dkt Magufuli wote si mafisadi yaani hawakuwa na hulka ya kujilimbikizia mali.

Wewe una chuki binafsi na utawala wa Mama lakini hazitokusaidia. Huyo tayari ni Kiongozi na unapaswa kumtii.
 
[B]Mudawote una[/B] kichwa cha panzi. Umesoma juujuu. Mtoa mada amesema wateuliwa wa JK walituhumiwa na mtu mmoja tu JPM kuwa ni mafisadi lakini hakuwahi kuwafikisha Mahakamani kuthibitisha kuwa ni mafisadi mpaka amekufa.

Kiukweli Magufuli roho yake ilikuwa na chuki kwa kila mtu ambaye alikuwa ana neema. Alitaka watu wote waishi kimaskini kasoro yeye na wapambe wake akina Makonda, Mnyeti, Bashiru etc.

Mtoa mada kasema hii ni fursa kwa timu hii kuonyesha uwezo wao na uaminifu wao.

Huyo ni afadhali hata panzi maana panzi ana macho mengi anaona kikamilifu.
 
Wewe una chuki binafsi na utawala wa Mama lakini hazitokusaidia. Huyo tayari ni Kiongozi na unapaswa kumtii.
Mama nampenda sana na ni moja wa close allies wake. Msichokijua wewe na wenzako mnachezeshwa ngoma ili mjulikane na iwe rahisi kuwamwaga. Mama na Dkt Magufuli na Dkt JK ni kitu kimoja. Sisi wana CCM tunajua mchezo. Na uzuri mpaka sasa mmeshajitambulisha lengo lenu ni Mama akose kura 2025 ili muweke mtu wenu. Ila mpaka sasa mmeshakwama.
 
Mama nampenda sana na ni moja wa close allies wake. Msichokijua wewe na wenzako mnachezeshwa ngoma ili mjulikane na iwe rahisi kuwamwaga. Mama na Dkt Magufuli na Dkt JK ni kitu kimoja. Sisi wana CCM tunajua mchezo. Na uzuri mpaka sasa mmeshajitambulisha lengo lenu ni Mama akose kura 2025 ili muweke mtu wenu. Ila mpaka sasa mmeshakwama.

Kama hujui 2025 ni Mama tena. Sisi hatutaki nyie Sukuma Gang kutawala tena. Lengo letu msitawale milele.
 
Watu hawalalamiki bila sababu. Na hawawezi kusema ndio kwa kila jambo.

Kusema watu wa magu walikuwa wachafu ni kutaka kuipa uhalali hoja yako. Kila mtu anajua JPM hakushindwa kumtumbua mtu yeyote aliyezingua na kumchana hadharani, labda asijue.

Ndio serikali ya pekee iliyomudu kusimamia viongozi bila aibu wala kuogopana.
Na pale alipowatumbua CAG alisimama nao na kuwa hawajatendewa haki yaani natural justice haikufuatwa
 
Hebu tuambie uchafu au ufisadi wa makonda ni upi ambao hauna mashaka yoyote?

Ni nani unadhani alikuwa mchafu ama alikuwa na tuhuma iwe serikali yake au serikali ya JK akaendelea kumbeba au kuwemo kwenye serikali yake?
Akikwaambia naomba nitag mkuu
 
Kama hujui 2025 ni Mama tena. Sisi hatutaki nyie Sukuma Gang kutawala tena. Lengo letu msitawale milele.
Unajua kusoma? Mimi ni shabiki na team Mama kwa 100%. Ila tunachokataa tabia yenu ya kujaribu kuonesha eti wateule wa Dkt Magufuli walikuwa wabaya wakati hata Mama aliteuliwa na huyo huyo Dkt Magufuli. Lengo lenu mnataka ikifika 2025 mseme Mama hafai. Propaganda zenu zimeshajulikana mnataka kumkwamisha Mama. Muache mara moja!
 
Kuna tuhuma nyingi zisizoweza kuthibitishwa, kama vile masuala ya nguvu za giza zilizoachwa ikulu na JK, ni Paulo aliyeweza kupata 'wataalam' walioweza kuziondoa mahali pale na yapo mengine mengi tusiyoweza kuyaweka mahali hapa.
Kwani kupata wataalam ndio tuhuma.? Wewe kama si wewe au mama yako au baba yako hakuna ambaye hajachanjwa chale? Kwa hiyo nao wana tuhuma.?

Ndio maana nakuambia umemuingiza magufuli kujaribu kuyapa uhalali mapungufu ya hawa wengine.
 
Hii hulka ya kuwahisi watu ubaya inatupa unyonge usiokwisha siku zote. Ni mbaya sana na inaishi ndani yetu. Kwa kuwa mwaka juzi uliharibu na mwaka huu ukipewa utaharibu.

Ni sawa sawa na yale aliyosema Prof Shivji kuhusu wafanyabiashara kupewa nafasi kwenye bodi kasahau kuwa bungeni kumejaa wafanyabiashara na wameshapita wengi tu. RIP Abbas Gulamali, Shabibi na wengine wengi tu na bado tukawaamini wakitenda kazi kwa ufanisi tulioutegemea.
With due respect....unasema watu wanawahisi vibaya..hivi mkuu are serious?...watu wana full data mzee tena solid evidence....
Ni vyema ukawaweka akiba ya maneno otherwise utakuja kupata aibu
..Nikuulize swali dogo tu unajua kwa nini Mafuru aliondoka NBC?....kama hujui find out....watu hawabahatishi.
 
Kila kiongozi ni mzuri au mbaya kulingana na unavyomwangalia
 
With due respect....unasema watu wanawahisi vibaya..hivi mkuu are serious?...watu wana full data mzee tena solid evidence....
Ni vyema ukawaweka akiba ya maneno otherwise utakuja kupata aibu
..Nikuulize swali dogo tu unajua kwa nini Mafuru aliondoka NBC?....kama hujui find out....watu hawabahatishi.
Ndio maana nikasema kila mtu anayo mabaya yake na mema yake. Mafuru anaangukia katika kundi hilo, kumbuka kimtazamo hakufanana na rais JPM. Kwa maana ya rais kuwaogopa wafanyabiashara huku akiwa na kundi lake analotaka lifaidike.

Kwa ufupi kwenye haya maisha ukiondoa Mama yako anayetumia tumbo lake kama njia ya wewe kufika hapa duniani usimuamini mtu yoyote yule baki.
 
Back
Top Bottom