Makamba na nongwa za bodi ya TANESCO, ni marudio ya awamu nyingine japo yalifanyika kimya kimya

mlimshindwa vp makonda? kwani makonda aliondolewa na nani madarakani. nipe kosa moja la makonda ambalo unahisi alistahili kufukuzwa
 
mtoa post SIO KWELI KWAMBA WAKATI WA JPM HAKUKUWA NA UWAZI SIKUBALIANI NA WEWE kwa sababu mambo yalikuwa yanakwenda vizuri tena kwa vitendo sio maneno ushuhuda wa utulivu katika mambo ya umeme tunao na utumiaji wa majenereta ulipungua na huo ndio ukweli wenyewe na tunategemea kuendelea kuona utulivu huo na zaidi, tofauti na hapo msije kutuletea sababu dhaifu ya kusema sijui mambo yalikuwa yanafichwa na sasa yako wazi HUO NI UONGO.
 
Uzi mzuri, watu hawakujua yaliyojiri wakati wa mwendazake kwani vyombo vyote vilikuwa vinaimba mapambio tu. Watulie waone nchi ikipaa.
waandike basi sasa tujue kama walizibwa kipindi hicho
 
Mkuu kuna vitu ukifanya vinaenda beyond repair....
Leo hii unaiona Nchi ya china ilipofikia na tunaisifia kama moja ya super power ukae ukijua hawakufika hapo kwa bahati mbaya...hawacheki na wezi kama ninyi...
Maana yake ni kwamba hao watu unaowatetea wasingekuwepo duniani kuendelea kupunguza oxygen levels...nadhani umenielewa.
 
mtu kaiba alafu unampa 2nd chance. afrika ni shida sana na haitoendelea. china huo upuuzi hamna na wanakupoteza tu
Msingi wa China na ule wa Tanzania ni vitu viwili tofauti. Unaweza kuwa na mwizi mbunifu na mwenye maono kuliko mwaminifu ambaye ni mtupu kichwani.
 
Hizi ni dhana za hayati JPM, unaweza kuziona kama vile ni zenye haki kumbe upande wa pili ni ukatili unaohalalishwa mchana kweupe.
 
mlimshindwa vp makonda? kwani makonda aliondolewa na nani madarakani. nipe kosa moja la makonda ambalo unahisi alistahili kufukuzwa
Kuvamia clouds FM muda wa kazi na kuwanyanyasa wafanyakazi wakitimiza wajibu wao mpaka akagombana na RIP Ruge Mutahaba.

Kuwanyanyasa wafanyakazi waliokuwa chini yake mpaka wakapatwa na mshtuko wa moyo mbele ya kamera za runinga yaani live.
 
Siwezi kusema kwamba RIP Magufuli hakufanya kazi kubwa ya kuinyoosha serikali, alikuwa na udhaifu wake kama mimi na wewe tunavyokuwa nao tunapopewa madaraka makubwa.
 
Ukweli mchungu kwakweli masoko yamefunguka saiz Kila nafaka inauzika tofaut na enzi za JPM
 
Watu waibe kwa makusudi unasema kula nao sahani moja ni ukatili.?...Ok ila nikuhakikishie siku yaja...
Kumbuka kuweka akiba ya maneno siku zote, ukija kumjua unayemuamini kuwa ni mkweli utajikuta unao unyonge usioweza kuandikwa hadharani.
 
Halafu Mafuru akawa Treasury Registrar mwaka 2015, acheni hizo hisia. Mtu yeyote anabakia innocent mpaka Mahakama iseme ana hatia. Hili lipo kwenye Katiba ya JMT ya mwaka 1977, toleo la 2000.

DURACEF leta uwongo mwingine
 
Siwezi kusema kwamba RIP Magufuli hakufanya kazi kubwa ya kuinyoosha serikali, alikuwa na udhaifu wake kama mimi na wewe tunavyokuwa nao tunapopewa madaraka makubwa.
sentensi yako ya usiri na uwazi IMENISHANGAZA

NI YA UONGO

JPM atakumbukwa kwa kuwa kiongozi wa kwanza Tanzania kuweza kuondoa viongozi kwa ubadhirifu bila kupepesa macho wala kumuonea mtu aibu/ haya.

UKWELI UTABAKI KUWA TAIFA LILIMPOTEZA KIONGOZI MAKINI PERIOD.
 
Hakuna mtu anayepinga juu ya yeye kuwa kiongozi makini, watu wanapinga juu ya huo 'utakatifu' bandia anaovyikwa siku zote anapozungumziwa.
 
Halafu Mafuru akawa Treasury Registrar mwaka 2015, acheni hizo hisia. Mtu yeyote anabakia innocent mpaka Mahakama iseme ana hatia. Hili lipo kwenye Katiba ya JMT ya mwaka 1977, toleo la 2000.

DURACEF leta uwongo mwingine
Unasema nasema uongo wakati hujajibu swali......nitake radhi mzee sibahatishi.
 
Kazi ipo....
 
Unasema nasema uongo wakati hujajibu swali......nitake radhi mzee sibahatishi.
Kuhusu NBC mwajiri aliamua ku "part terms" na Mafuru ndiyo maana akawa eligible for Treasury Registrar post. Mengine ni majungu ya vijiweni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…