Makamba na nongwa za bodi ya TANESCO, ni marudio ya awamu nyingine japo yalifanyika kimya kimya

Asante kwa kutukumbusha ujinga wa mtu.
 
Kama hujui 2025 ni Mama tena. Sisi hatutaki nyie Sukuma Gang kutawala tena. Lengo letu msitawale milele.
Pumbavu kabisa,una Vita na kabila au waungaji mkono wa magu,tambua kuwa Hilo genge Ni kubwa kuliko mnavyo dhania umma unasubiri mfanye chini ya kiwango Cha Magufuli. Wote wanakuwa sukuma gang sijui Ni kwa vipi utawazuia! Ulishawahi kujiuliza hilo?
 
Acha uongo kuwakingia hawa majambazi wanaoletwa tanesco. Enzi za magufuli watu waliona huduma bora kwa hivyo usijidai kusema wateule wake walikua wapigaji. Tunachoona sasa ni wazalendo wenye Phd wakiondolewa na kuwekwa wenye ujuzi na uzoefu wa kupiga hela na mali ya umma.
 
Yule yule muumini mwingine wa JPM mwenye kuishi kwa maumivu ya moyoni.
 
Ulikua unajua chochote kuhusu serikali au hadi uambiwe
Yaani mtu azuie uhuru ili atawale gizan ndio aonekane bora
Kiongozi bora ni tule anayeruhusu changamoto na kushinda sio anaeogopa changamoto
Ishu ndoto ya trillion 1.5 nusu afungie vyombo vyote vya habari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…