Makamishna wastaafu wa Polisi wataka jamii iwatumie kwa ushauri, pia wako tayari kutangaza utalii

Ushauri wa kusingizia watu kesi na kupokea rushwa huo hatuutaki.

Pambaneni na hali zenu.

Kova alipomsingizia yule mkenya kuwa kamteka Dr. Ulimboka alijiona mjanja sana.

Leo hii hata mia mbovu hana.

KARMA!
 
Hata yule wa ngunguli naye yumo?
 

Katika watu ambao huwa wanajisahau kuwa kuna kesho ni Polisi. Utukufu wa duniani unawapa kiburi kiasi ambacho huwa wanasahau kuwa kuna adhabu ya kaburi!
 
Ushauri wa kusingizia watu kesi na kupokea rushwa huo hatuutaki.

Pambaneni na hali zenu.

Kova alipomsingizia yule mkenya kuwa kamteka Dr. Ulimboka alijiona mjanja sana.

Leo hii hata mia mbovu hana.

KARMA!

Kova kova alimkimbia rashidi Gwajima kwa aibu walipokutana supermarket baada ya kustaafu upolisi.Rashid alimshika bega akamwambia kova unanikumbuka?
Huwa wanadhani watastaafu na upolisi wao.
 
Jeshi la Polisi la Tanzania, limejaa dhulma, ubabe, uonevu na kiburi. Jeshi la Polisi, wakati wa uchaguzi hutumika kwenye mambo maovu kama kuwalinda CCM wanapoiba kura.

Hawa wanaosema tuwaendee kuomba ushauri, wanataka tukaombe ushauri upi? Ushauri wa uovu? Hawa ndio huua mahabusu kwa kipigo, na kisha hutoa taarifa za uwongo kuhusu vifo vilivyotokea kwenye nyumba za polisi za kutesea. Tukaombe ushauri gani kwao? Ushauri wa kuua watu na kisha kuihadaa jamii?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao ni wastaafu wapumzike kuna vijana kibao hawana ajira
 
Kama wanataka nawashauri waanzishe timu ya mpira waingiewkucheza ligi kuu maana group la WhatsApp najua wanalo tayari.
 
Aisee!

Mkuu umeandika maneno mazito sana, uzito wake usiomithilika. Umeandika kama mwanazuoni. Mauti ni mazito.
 
Katika huo umoja wa makamishna na Zombe yumo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…