Tetesi: Makampuni ya simu kutoa GB 10 kama kufidia hasara na kuomba radhi kwa watumiaji wa mitandao ya simu

Huu ni uongo wa mchana kweupe
 
Sawa kitombi.
 
THUBUTUUUUU..........!!!
 
Hawana ulazima, na hawatatoa hata Mb1
 
Zina
Comments reserved
 
Bora waache tu maana vijana wa CHADEMA watatumia kutukana watanzania wenzao.
 
10GB granted will be equivalent to 5GB;alisikika chizi mmoja aliyechanganyikiwa baada ya mkongo wa mawasiliano kuleta shida!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…