Makamu Mwenyekiti CHADEMA, comrade Tundu Lissu mbona upo kimya kwenye maridhiano?

Makamu Mwenyekiti CHADEMA, comrade Tundu Lissu mbona upo kimya kwenye maridhiano?

Lissu alishakutana na Mama Samia na amesema hapa kuwa alilipwa stahiki zake zote so sidhani kama hataki maridhiano.

Pia Jana Chadema walikutana kama kamati kuu kujadili progress ya maridhiano kikao ambacho Kilikua online na Lissu amehudhuria Sasa sielewi hizi drama unazotengeneza ni za nini.

Kwani Lissu hataki katiba mpya? Hataki mikutano? Hataki kurejea nchini? Mnajaribu sana kuitengeneza mgogoro ambao haupo, Chadema ni wamoja na focus ni katiba mpya na tume huru Ili 2025 mafisadi ya CCM yapishe ikulu.
Watu mmebarikiwa mioyo na vipaji vya kuwajibu kistaarabu watu wa aina hiyo
 
Nguvu ya Mbowe kwa Samia?
Kisiasa Mbowe ni senior kwa Mama Samia Hilo halihitaji ubishi.... Mama Samia asingeweza kupita path aliyopita Mbowe na akabakia relevant. Mbowe is Battle-hardened and tested enough kuvuka matatizo mengi kuongoza taasisi kubwa kama Chadema bila kupasuka ila Mama Samia Hana uzoefu na hayo ni zali tu la kuwa mzenji ndio imempa Urais.

Katishwa kidogo tu kakubali katiba mpya.... Mlimbeza sana Mbowe kwenda ikulu Leo mna maoni Gani?
 
Wanaukumbi.

SULUHU aliyoleta Rais Samia inamuacha upande gani Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bw. Tundu Lissu.

Je, huu ni USHINDI kwa CCM na serikali yake au Upinzani.

Thinkers” ni lazima tujiulize maswali magumu.

Je, yaliyotokea hayajawahi tokea miaka ya nyuma?

Kikwete hakuwaita wapinzani wote Ikulu?

JPM hakuwaita CHADEMA Mwanza sherehe za Uhuru?
Zinngatia mgawanyo wa madaraka nani afanye nini na kwa level gani
 
Unajua kampuni Sheli wewe? Au unaokota maneno mtaani tu na
Kuleta JF.
Sheli kibongo inasimamia vituo vya mafuta ambapo wewe unamiliki sheli zaidi ya 75% na apartments za kutosha.

Pia mifuko ya rambo ama Marlboro arusha zinasimamia plastic bags.
 
Baada ya kula ubwabwa Mwenyekiti anasema swala la #KatibaMpya linahitaji MUDA. 🤦🏽‍♂️😁

Sasa walianzisha vurugu za mchakato wa Katiba Mpya za nini kumbe walikuwa wanajua linahitaji majadiliano kati ya vyama na wadau wengine wote? 🤔
 
Sheli kibongo inasimamia vituo vya mafuta ambapo wewe unamiliki sheli zaidi ya 75% na apartments za kutosha.

Pia mifuko ya rambo ama Marlboro arusha zinasimamia plastic bags.
Wewe punguani kweli.

Wael Sawan officially became the new CEO of Shell on January 1, taking over from long-standing chief executive Ben van Beurden.
 
Hawa Marais dhaifu unatakiwa uwatishe tishe kidogo maadam hawajazoea mshike mshike basi lazima wakuite ikulu. Na sio tu mikutano walitaka Sirro na Diwani wang'olewe na Mama kakubali!!
Samia ni dhaifu?! Dogo, acha dharau kwa mh rais.
 
Wanaukumbi.

SULUHU aliyoleta Rais Samia inamuacha upande gani Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bw. Tundu Lissu.

Je, huu ni USHINDI kwa CCM na serikali yake au Upinzani.

Thinkers” ni lazima tujiulize maswali magumu.

Je, yaliyotokea hayajawahi tokea miaka ya nyuma?

Kikwete hakuwaita wapinzani wote Ikulu?

JPM hakuwaita CHADEMA Mwanza sherehe za Uhuru?
Kwa akili yako fupi unadhani Mbowe alikuwa akienda ikulu kwa ajenda zake binafsi tu?
 
Kwa akili yako fupi unadhani Mbowe alikuwa akienda ikulu kwa ajenda zake binafsi tu?
Rais Samia aliitisha Kikao na vyama vya siasa kujadili report ya Kikosi kazi siyo vikao vya kulamba asali na kula ubwabwa.

KIKOSI KAZI Ufipa walichokuwa wanakibedha na matusi kibao ndiyo kimefanya jana wakale ubwabwa Ikulu.
 
Samia ni dhaifu?! Dogo, acha dharau kwa mh rais.
Yaliyotokea 2015 yalijirudia kwa kiwango cha lami 2020

Yaliyotokea 2020 yatajirudia kwa kiwango cha mwendo kasi 2025

Viongozi Upinzani Tanzania wakiwekewa ubwabwa tu wanarukwa na akili.

Subiri utajua nani dhaifu…
 
Wanaukumbi.

SULUHU aliyoleta Rais Samia inamuacha upande gani Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bw. Tundu Lissu.

Je, huu ni USHINDI kwa CCM na serikali yake au Upinzani.

Thinkers” ni lazima tujiulize maswali magumu.

Je, yaliyotokea hayajawahi tokea miaka ya nyuma?

Kikwete hakuwaita wapinzani wote Ikulu?

JPM hakuwaita CHADEMA Mwanza sherehe za Uhuru?
Pssss.....!!!!!

Mila za kiafrila haziruhusu kuongea wakati wa kula, bado anakula
 
Yaliyotokea 2015 yalijirudia kwa kiwango cha lami 2020

Yaliyotokea 2020 yatajirudia kwa kiwango cha mwendo kasi 2025

Viongozi Upinzani Tanzania wakiwekewa ubwabwa tu wanarukwa na akili.

Subiri utajua nani dhaifu…
Yaani Mbowe kula ubwabwa IKULU imekuuma!!!!

Alipokuwa anaamka saa 11 akiwa JELA mbona hukuhuzunika?

Baada ya DHIKI ni FARAJA, uchaguzi ujao chama chake kitapata matokeo makubwa sana, sawasawa na SACRIFICE alotoa .
 
Wanaukumbi.

SULUHU aliyoleta Rais Samia inamuacha upande gani Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bw. Tundu Lissu.

Je, huu ni USHINDI kwa CCM na serikali yake au Upinzani.

Thinkers” ni lazima tujiulize maswali magumu.

Je, yaliyotokea hayajawahi tokea miaka ya nyuma?

Kikwete hakuwaita wapinzani wote Ikulu?

JPM hakuwaita CHADEMA Mwanza sherehe za Uhuru?
Aongee nini Mama kawaachia demokrasia waliyolilia Sasa hawana Cha kusema. Anasingizia kukosa nauli 😂😂
 
Akiongea mnasema anaongea ongea sana, akikaa kimya mnasema mbona haongei - binadamu hatuna jema.
 
Aongee nini Mama kawaachia demokrasia waliyolilia Sasa hawana Cha kusema. Anasingizia kukosa nauli 😂😂
Lini amarudi Tanzania? Lema yeye anasema hawezi kurudi sasa hivi ana madeni Tanzania.
 
Akiongea Lissu mtasema Mwenyekiti yupo wapi? Akiongea Mwenyekiti mtasema Katibu yupo wapi?

Ulitaka Lissu aseme nini?
 
Wanaukumbi.

SULUHU aliyoleta Rais Samia inamuacha upande gani Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bw. Tundu Lissu.

Je, huu ni USHINDI kwa CCM na serikali yake au Upinzani.

Thinkers” ni lazima tujiulize maswali magumu.

Je, yaliyotokea hayajawahi tokea miaka ya nyuma?

Kikwete hakuwaita wapinzani wote Ikulu?

JPM hakuwaita CHADEMA Mwanza sherehe za Uhuru?
Duh kuna watu wanagubu,sijaona wa kukufikia.
 
Back
Top Bottom