zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
Mkuu Cha msingi tume huru hayo mengine yanaweza subiri. Ukifika uchaguzi wamesema task force kwamba kunaweza fanyika minimum reforms kwenye sheria za uchaguzi Ili walau kupisha kura ya maoni ya katiba mpya na uchaguzi mkuu yote yanawezekana. Hata Kenya wakibadili katiba na uchaguzi ukafanyika ndani ya siku kama 90 hawakusubiri sheria zote zibadilishwe.Uchaguzi serikali za mitaa sio mwakani?, Au nabugi?.
Halafu 2025 uchaguzi mkuu,, hatuwezi kwenda na vyote kwa pamoja,, vilevile katiba haiwezi kupita leo, kesho ianze kazi,, bado sheria zitatakiwa kutungwa kuendana na katiba mpya,, itachukua at least two years minimum