Watu mmebarikiwa mioyo na vipaji vya kuwajibu kistaarabu watu wa aina hiyoLissu alishakutana na Mama Samia na amesema hapa kuwa alilipwa stahiki zake zote so sidhani kama hataki maridhiano.
Pia Jana Chadema walikutana kama kamati kuu kujadili progress ya maridhiano kikao ambacho Kilikua online na Lissu amehudhuria Sasa sielewi hizi drama unazotengeneza ni za nini.
Kwani Lissu hataki katiba mpya? Hataki mikutano? Hataki kurejea nchini? Mnajaribu sana kuitengeneza mgogoro ambao haupo, Chadema ni wamoja na focus ni katiba mpya na tume huru Ili 2025 mafisadi ya CCM yapishe ikulu.
Kisiasa Mbowe ni senior kwa Mama Samia Hilo halihitaji ubishi.... Mama Samia asingeweza kupita path aliyopita Mbowe na akabakia relevant. Mbowe is Battle-hardened and tested enough kuvuka matatizo mengi kuongoza taasisi kubwa kama Chadema bila kupasuka ila Mama Samia Hana uzoefu na hayo ni zali tu la kuwa mzenji ndio imempa Urais.Nguvu ya Mbowe kwa Samia?
Zinngatia mgawanyo wa madaraka nani afanye nini na kwa level ganiWanaukumbi.
SULUHU aliyoleta Rais Samia inamuacha upande gani Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bw. Tundu Lissu.
Je, huu ni USHINDI kwa CCM na serikali yake au Upinzani.
Thinkers” ni lazima tujiulize maswali magumu.
Je, yaliyotokea hayajawahi tokea miaka ya nyuma?
Kikwete hakuwaita wapinzani wote Ikulu?
JPM hakuwaita CHADEMA Mwanza sherehe za Uhuru?
Sheli kibongo inasimamia vituo vya mafuta ambapo wewe unamiliki sheli zaidi ya 75% na apartments za kutosha.Unajua kampuni Sheli wewe? Au unaokota maneno mtaani tu na
Kuleta JF.
Wewe punguani kweli.Sheli kibongo inasimamia vituo vya mafuta ambapo wewe unamiliki sheli zaidi ya 75% na apartments za kutosha.
Pia mifuko ya rambo ama Marlboro arusha zinasimamia plastic bags.
Samia ni dhaifu?! Dogo, acha dharau kwa mh rais.Hawa Marais dhaifu unatakiwa uwatishe tishe kidogo maadam hawajazoea mshike mshike basi lazima wakuite ikulu. Na sio tu mikutano walitaka Sirro na Diwani wang'olewe na Mama kakubali!!
Kwa akili yako fupi unadhani Mbowe alikuwa akienda ikulu kwa ajenda zake binafsi tu?Wanaukumbi.
SULUHU aliyoleta Rais Samia inamuacha upande gani Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bw. Tundu Lissu.
Je, huu ni USHINDI kwa CCM na serikali yake au Upinzani.
Thinkers” ni lazima tujiulize maswali magumu.
Je, yaliyotokea hayajawahi tokea miaka ya nyuma?
Kikwete hakuwaita wapinzani wote Ikulu?
JPM hakuwaita CHADEMA Mwanza sherehe za Uhuru?
Rais Samia aliitisha Kikao na vyama vya siasa kujadili report ya Kikosi kazi siyo vikao vya kulamba asali na kula ubwabwa.Kwa akili yako fupi unadhani Mbowe alikuwa akienda ikulu kwa ajenda zake binafsi tu?
Yaliyotokea 2015 yalijirudia kwa kiwango cha lami 2020Samia ni dhaifu?! Dogo, acha dharau kwa mh rais.
Pssss.....!!!!!Wanaukumbi.
SULUHU aliyoleta Rais Samia inamuacha upande gani Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bw. Tundu Lissu.
Je, huu ni USHINDI kwa CCM na serikali yake au Upinzani.
Thinkers” ni lazima tujiulize maswali magumu.
Je, yaliyotokea hayajawahi tokea miaka ya nyuma?
Kikwete hakuwaita wapinzani wote Ikulu?
JPM hakuwaita CHADEMA Mwanza sherehe za Uhuru?
Yaani Mbowe kula ubwabwa IKULU imekuuma!!!!Yaliyotokea 2015 yalijirudia kwa kiwango cha lami 2020
Yaliyotokea 2020 yatajirudia kwa kiwango cha mwendo kasi 2025
Viongozi Upinzani Tanzania wakiwekewa ubwabwa tu wanarukwa na akili.
Subiri utajua nani dhaifu…
Aongee nini Mama kawaachia demokrasia waliyolilia Sasa hawana Cha kusema. Anasingizia kukosa nauli 😂😂Wanaukumbi.
SULUHU aliyoleta Rais Samia inamuacha upande gani Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bw. Tundu Lissu.
Je, huu ni USHINDI kwa CCM na serikali yake au Upinzani.
Thinkers” ni lazima tujiulize maswali magumu.
Je, yaliyotokea hayajawahi tokea miaka ya nyuma?
Kikwete hakuwaita wapinzani wote Ikulu?
JPM hakuwaita CHADEMA Mwanza sherehe za Uhuru?
Lemma amekuambia hayo wakati amekuatamia ?Lini amarudi Tanzania? Lema yeye anasema hawezi kurudi sasa hivi ana madeni Tanzania.
Duh kuna watu wanagubu,sijaona wa kukufikia.Wanaukumbi.
SULUHU aliyoleta Rais Samia inamuacha upande gani Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bw. Tundu Lissu.
Je, huu ni USHINDI kwa CCM na serikali yake au Upinzani.
Thinkers” ni lazima tujiulize maswali magumu.
Je, yaliyotokea hayajawahi tokea miaka ya nyuma?
Kikwete hakuwaita wapinzani wote Ikulu?
JPM hakuwaita CHADEMA Mwanza sherehe za Uhuru?
Taratibu, Mkuu.Chawa