Uchaguzi 2020 Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu atinga Kariakoo kutafuta mahitaji

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Makamu Mwenyekiti CHADEMA Mh Tundu Lissu ameingia Kariakoo kununua mahitaji mbalimbali

Huyu hapa







Your browser is not able to display this video.

Your browser is not able to display this video.
 

Attachments

  • FB_IMG_1602073363133.jpg
    47.2 KB · Views: 1
Kuna watu wanateseka sana wakimuona Lissu popote! Jamani huko Kariakoo kaenda kuhemea tu kwani yeye hana tumbo! Mbona JK pia huwa nakutana nae akihemea pale mlimani City?

Hata Nyerere alicheza hadi bao na wananchi, hii ni hulka kwa viongozi wote wanaoamini katika utu na ubinadamu kwamba cheo chochote hakiwezi kukufanya ukawa binadamu na nusu, bali utabaki binadamu kama walivyo wengine wote!
 
Tuliwaambia Lissu atakuwa anaenda sokoni jamaa akili ndogo wa lumumba wakawa wanachekelea, nashangaa leo wamenuna.

Kamati kuu ya Chadema ikikaa ogopa sana vile vichwa, ni kama vipo ndani ya vichwa vya wengine, jamaa ni kama wanajua unawaza nini, then wao wanakuja na idea two steps ahead of you.

Baadae nasubiri mapovu ya mahera au jeshi la polisi, utasikia; "TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…