Uchaguzi 2020 Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu atinga Kariakoo kutafuta mahitaji

Wamachinga wana mwangalia tyuu lakini wanajua alowafanya leo wana kula bata na kueni wapole 28 bado 20 days tyuu

Magu atapita kwa kishindo hamta amini
 
Kwa maoni ya baadhi mtandaoni huyo jamaa ndiye Rais Ajaye...lakini mitaani anaonekana kituko kwa wengi...amejipunguzia kura Sana...
Tunawasikia sana huku mtaani wale CCM original
Your browser is not able to display this video.
 
Chamsingi asiombe kura basi, akitaka aende na jolly club akaongee na madada poa
Madada poa nao Ni wapiga kura wana nafasi zao katika jamii

Wanakupa kodi kupitia transaction wanazofanya .

Ni stake holders wa uchumi pia

Ngoja dadako au shangazi yako umkute kiwanja ndio ujue umuhimu wao[emoji1787][emoji1787]
 
Tuliza mshono HIDAYA[emoji1]
 
Katika Wakati Wenye madaraka wapo kwenye wakati mgumu ni sasa.

T.Lissu anawachokoza sana wenye madaraka.
 
Chamsingi asiombe kura basi, akitaka aende na jolly club akaongee na madada poa
Nadhani wewe Dar uliondoka kitambo sana... Jolly kwanza ilishakufa kitambo sana na hizo Biashara za Madada poa zilishaisha zaidi ya miaka 10 na iliyopita... Kuna mkipindi mikutano ya kumvua Kikwete Uenyekiti ulifanyika pale kwenye vuta picha Hao madada poa wangetokea wapi
 
Kwenda kwani yeye amewaambia watu wamshangilie
Tafadhali Wana jamii tunataka tuwadharau Akina cremea, bwana jela, bint Lowassa n.k
Hawa ni Familia za wale waliokua wapinzani feki
Wazazzi wamerudi CCM lakini bado Email zao na chat zao zote zinadukuliwa
Kadri wanavyoongea pumba wanafikiri jiwe arawahurumia
Wanatia huruma kwa Unyonge na udhalili katika nchi yao
Watumwa wa jiwe Hawa
Poleni najua bint Lowassa kABadili ID
 
Namkubali sana mnyampaa Lissu ila sikubaliani naye kutafuta cheap popularity sokoni kariakoo mara kupanda mwendo kasi huo ni upuuzi wanafanyaga CCM
 
We naye unakua ka mwanamke Malaya !!!!
Maneno yote haya ya kazi gani?

Kaiba kwenu?
Kachukua chako ?
Ata asiposhinda wewe unateseka nini ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…