Uchaguzi 2020 Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu atinga Kariakoo kutafuta mahitaji

Uchaguzi 2020 Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu atinga Kariakoo kutafuta mahitaji

KUKAA NDANI KUNGEMSAIDIA KUFANYA EVALUATION SO FAR
HAYA mwache azurure wee kama kala miguu ya kuku non stop with 0.000000000000001 impact!!!
Kwani evaluation inahitaji kukaa ndani wewe vipi wewe ukimshangaa miguu ya kuku tukushangae wewe na mtindi uliotepeta
 
Makamu Mwenyekiti CHADEMA Mh Tundu Lissu ameingia Kariakoo kununua mahitaji mbalimbali

Huyu hapa

View attachment 1593096

Ubunifu na kufanya mambo yako kimkakati na kwa uelewa wa hali ya juu katika kutimiza lengo au adhima yako huwa hatufundishwi darasani..Ni Kipaji anachokupa Mwenyezi Mungu. Ukimfuatilia LISU akiwa anaongea na wafuasi wake (case study kikao cha jana usiku na viongozi wa kanda ya Pwani) utadhani ni nyakati zile Yesu au Yusuph alipokuwa akiongeaa na Mitume wake..yaani watu wanamuelewa mpaka wanakosa kuuliza maswali ya msingi wanauliza tu ili mradi aendelee kuongea kwa ufupi ni kwamba huchoki kumsikiliza aisee akiwa anaongea...Sasa msikilize JIWE akiwa anaongea na Baraza lake la Mawaziri arafu unambie ni kama nani.......mara nyingi woote huwa wanatamani kikao kimalizike upesi na kuondoka
 
Safari hii Lissu hataishia sokoni tu ataenda hadi vyoo vya public kutafuta kura
DAR wamemfanya kitu kibaya
utasema yote wewe umepewa hadi wizara ya michezo kwa jinsi ulivyo kichwa cha samaki umewahi leta mchango gani kwa taifa endelea tu ukazane humu ukifikili kuna viti maalumu sahau utabaki jamvi la wageni ooh mara, dada poa hivyo hivyo
 
Ubunifu na kufanya mambo yako kimkakati na kwa uelewa wa hali yajuu katika kutimiza lengo au adhima yako huwa hatufundishwi darasani..Ni Kipaji anachokupa Mwenyezi Mungu. Ukimfuatilia LISU akiwa anaongea na wafuasi wake (case study kikao cha jana usiku na viongozi wa kanda ya Pwani) utadhani ni nyakati zile Yesu au Yusuph alipokuwa akiongeaa na Mitume wake..yaani watu wanamuelewa mapka wanakosa kuuliza maswali ya msingi wanauliza tu ili mradi anendelee kuongea kwa ufupi ni kwamba huchoki kumsikiliza aisee akiwa anaongea...Sasa msikilize JIWE akiwa anaongea na Baraza lake la Mawaziri arafu unambie ni kama nani.......mara nyingi woote huwa wanatamani kikao kimalizike upesi na kuondoka
😆😆😆😆
 
Rais, sasa umejionea mwenyewe kwa namna watanzania tulivyochoka!! tuna hali mbaya ya kiuchumi, kiafya na kifkra... mbele giza nyuma giza hatuna matumaini..

Tuna imani kubwa mno kwako kwamba ni wewe pekee wa kutuvusha - in Lissu we Trust !!

Karibu Kariakoo!!
 
Na Kama Kuna match ya mpira aende kuangalia wala hafanyi kampeni.
 
Kwa siasa

Kwa siasa za Tanzania unataka afike umbali upi zaidi ya kugombea Urais.
Kifupi amekwisha maliza ngazi zote za kugombea Tanzania
Jibu zuri sana. Sijui yeye Bwana jela yuko mbali kiasi gani ambako anafikiri Lissu hawezi kufika.
 
Leo mtatapika yote, sijui hii "fake research" ulifanyia wapi?!

Wengi wanaona Lissu kaonewa ndio maana wanazidi kumpenda, wewe unabwabwaja ugoro hapa.
Wanamwongezea tl kura za huruma bila wao kutegemea.
Ila lissu aise duu! Huyu mh ni shida nyingine kabisa kuwai kutokea. Kiufupi amejipanga na amepania.

Namtakia kila la heri
Jpm nae namtakia kila la heri.


Huwa nasema wengi wape hata kama wamekosea.
 
Back
Top Bottom