kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 19,257
- 12,244
Wivu haujawahi kumuacha mtu salamaHizi sasa ni kampeni
Tangu kwenye mwendokasi mnae tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wivu haujawahi kumuacha mtu salamaHizi sasa ni kampeni
Tangu kwenye mwendokasi mnae tu
Kampangie mumeo cha kufanya ya ngoswe mwachie ngosweHuko sokoni kaenda na mke wake? sasa kununua nyanya nako hadi aende mwenyewe, huyu jamaa mbona anazeeka vibaya? cha msingi asiombe kura atakuwa kafanya kampeni
Anaona aibuWewe choko, ebu pambana na uchoko wako.
Ukisema upo kwenye kile chama cha machoko utapungukiwa nini ?
Kwani mkuu kwa makengeza yako hapo alipo ni karibu?nani kwenye ukoo wako alishawahi kufika hapo?Mimi sina chama ila huyu Lissu amepotoka hatafika mbali kisiasa
KUKAA NDANI KUNGEMSAIDIA KUFANYA EVALUATION SO FAR
HAYA mwache azurure wee kama kala miguu ya kuku non stop with 0.000000000000001 impact!!!
Acha uongo na kujipa moyo.Bahati nzuri nlikuwepo kariakoo! Lisu ni wa kawaida watu wakikuwa wanamshangaa kisha wanaendelea na shughuli zao.
Kha!Vp, hawajazuia msafara? asije akafanya kikao cha ndani humo kariakoo shimoni
Mimi sina chama ila huyu Lissu amepotoka hatafika mbali kisiasa
Bwahahahahaha.....anatakiwa akae lockdown...sisi wanyonge kariakoo tumepafanya kama sebuleni.Kha!
Makamu Mwenyekiti CHADEMA Mh Tundu Lissu ameingia Kariakoo kununua mahitaji mbalimbali
Huyu hapa
View attachment 1593106
View attachment 1593105
View attachment 1593096
Ilibidi aombe kibali cha NEC kutembea DSM!!Huko sokoni kaenda na mke wake? sasa kununua nyanya nako hadi aende mwenyewe, huyu jamaa mbona anazeeka vibaya? cha msingi asiombe kura atakuwa kafanya kampeni
Wewe si huna chama?
Ndio ila huyo lissu hawamsemi vizuri mtaani
Wamevaa barakoaNimekuambia unateseka sana Relax bwana! Usipoangalia uta rest in peace kabla ya 28/10 tukose kura ya Lissu bure maana naamini utaiva tuu na kumpa kura.
Wewe una akili bwana! Hatuwezi kukulinganisha na mizigo mingine kama jingalao Bwana jela Bia yetu MOTOCHINI na utopolo wengine wachache.