KWELI Makamu wa Rais akishika nafasi ya Rais kwa muda wa miaka 3 au zaidi ataruhusiwa kugombea kipindi kimoja tu

Taarifa hii imethibitika kuwa ya kweli baada ya kufanya tathmini ya kina
Wewe akili huna! Magufuli alikuwa awamu ya tano! Kama ni hivyo SSH uongozi wake angeuhita "awamu" ya tano. Sasa anauihita "awamu ya sita" kikatiba huwezi kuongoza taifa hili zaidi ya miaka 10. RIP JKN!
 
Katiba hairuhusu kwa sasa anaruhusiwa kugombea 2025 tu, ingekua magufuli kafa 2023 hapo sawa angeruhusiwa kugombea 2025-30 na 2030-35
 
Umekurupuka kijana jipange tena.... Kabakisha Round ya 2 ya Utawala ila natamani tumpe miaka mingine kama 10 hivi ikiwezekana ili atuamshe akili watanganyika.
 
Ingekuwa hivyo hii isingeitwa awamu ya 6.

Awamu ni Rais ,hakunaga Marais 2 ndani ya awamu 1.

Mwisho Hilo lingewezekana ikiwa Magu angekufa ikasalia chini ya miaka 3,ila Kwa kuwa ni miaka 4.5 ,inahesanika awamu kamili hivyo atamalizia awamu ya pili 2026-2030.
 
CCM Ilisigina Katiba Kwa Kukataa Eti Awamu Ya Tano Iliisha Alipokufa Jiwe
 
Acha kwanza amalizie hii deiwaka. Tuhakikishe hakuna wizi wa kura tuone kama atapata urais
 
Kama mambo hayajaharibika mbeleni by JK.
 
Hilo ni suala la kikatiba ambapo tutaomba mahakama ya rufaa ifafanue
 
 
Kwani ni lazima kua akimalizia muda wa mpito ni yeye anatakiwa kugombea au kuteuliwa Tena kua raisi!!? Yaani hapo ccm hawatoi form za uraisi kwa watu wengine kugombea!!? Maana ya muda wa mpito kuisha inabidi taratibu za ugombea uraisi zirudi Tena zipigwe kura apatikane atakae gombea uraisi kushindana na vyama vingine ila sidhani kua ni lazima akimalizia muda wa mpito kua hakuna mwingine wa kugombea zaidi ya yeye, ni nawazo yangu tu
 
Wewe akili huna! Magufuli alikuwa awamu ya tano! Kama ni hivyo SSH uongozi wake angeuhita "awamu" ya tano. Sasa anauihita "awamu ya sita" kikatiba huwezi kuongoza taifa hili zaidi ya miaka 10. RIP JKN!
Nilipoona hapo RIP JKN NKahisi JK Kakata kamba. Ila nkakumbukwa wazuri hawafi.
 
Iyo inafahamika,samia anamaliza 2035.
 
😂 katiba haisemi hivyo samia amerithi miaka 3 ya rais aliepita hivyo anamuhula mmoja tu wakugombea angekuwa amerithi miaka 2 hapo ndo angekuwa anamihula 2 yakugombea.
Hapana,anamalizia awamu ya magufuli,2025 ndo anaanza awamu yake hadi 2035
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…