Mkuu, kwani wao wanaeneza au wanataka tu haki zao? inabidi utofautishe hapo.Sababu ya kumuua hakuna,Ila asiachwe kueneza/endeleza ushoga wake,zifanywe jitihada za kumtoa huko
Huo siyo uhuru unaotakikana,wananitongoza Sana fb, binaadam akiachiwa huru kupitiliza shida sharti zitokeeMkuu, kwani wao wanaeneza au wanataka tu haki zao? inabidi utofautishe hapo.
Mbona hakuna jitihada za kukutoa wewe huko kwenye heterosexuality? Ni kwasababu uhuru wako unaheshimiwa.
Kwanini na wewe usiheshimu uhuru wao?
As long as haikuathiri wewe kwenye maisha yako?
HAWA WANAKUZA HII AJENDA ILI KUPOTEZA MABOYA KUHUSU TOZO NA MAISHA MAGUMU.Hao mashoga nyie mnawaona wapi mpaka mseme hali imekuwa mbaya ivo mana sie wengine hatuwaon huku mtaan kila mtu unamuona yuko fresh tu na mbishe zake au huwa mnawala ndio mnakuwa mnawajua ka wako wengi
Hapana mimi si homosexual.Maalim na wewe unatetea ushoga,na wewe wale wale?
HALAFU HAWA WAPINGA USHOGA MARA NYINGI NI MASHOGA FICHE.Twende taratibu.
Sababu ya kutaka kumuua shoga ni ipi?
Na je ukimuacha afanye maamuzi yake kwenye mwili wake wewe unaathirika nini?
(Usiandike kwa mihemko tafadhali)
Mkuu kwani wanakushikia bunduki?Huo siyo uhuru unaotakikana,wananitongoza Sana fb, binaadam akiachiwa huru kupitiliza shida sharti zitokee
HAPO SASA.Uwaue kwa nini!?..mbona wazinzu na mafisadi,jambazi hamuwaui
Mkuu kwani wanakushikia bunduki?Huo siyo uhuru unaotakikana,wananitongoza Sana fb, binaadam akiachiwa huru kupitiliza shida sharti zitokee
Kutembea uchi ya uchi ni sawa si sawa? Fkr na watoto wanakuaTwende taratibu.
Sababu ya kutaka kumuua shoga ni ipi?
Na je ukimuacha afanye maamuzi yake kwenye mwili wake wewe unaathirika nini?
(Usiandike kwa mihemko tafadhali)
Uhuru ukizid ni shidaSababu ya kumuua hakuna,Ila asiachwe kueneza/endeleza ushoga wake,zifanywe jitihada za kumtoa huko
Utu gani achen kutetea ujinga imagine mwanao awe shoga huwez pata huu ujasir wa kusema cjui utuhakuna mwanajimii mwenye akili timamu atafurahia kuona shoga akitaabishwa na kunyanyaswa. Hatuungi mkono ushoga ila mashoga ni watu na utu wao ulindwe
Mtu timamu huwez sema ni sawa ushoga uendeleeMaalim na wewe unatetea ushoga,na wewe wale wale?
Bangi nikivuta mm namuathir nani mwingineMkuu, kwani wao wanaeneza au wanataka tu haki zao? inabidi utofautishe hapo.
Mbona hakuna jitihada za kukutoa wewe huko kwenye heterosexuality? Ni kwasababu uhuru wako unaheshimiwa.
Kwanini na wewe usiheshimu uhuru wao?
As long as haikuathiri wewe kwenye maisha yako?
Kwanini mashoga hawakuuwi wewe ili tabia yako ya heterosexuality isienee kwa mashoga wengine?Ili tabia yake mbaya isienee kwa wengine. Maana kama ana pesa ni rahisi kununua madogo na kuwazoesha!
Ndugu zako, watoto wako, nk wataiga huo ufirauni
Sawa
Wengine ndio maagano yao na Yule mwovu. "Ukitaka hiki,fanya hiki"Hivi Mashoga na mnaowala Mashoga Huwa ni wazimu au mnakuwa mmepatwa na nini hasa?
Huyo anaesema Hali ni mbaya amewaona wapi? Kwamba Kuna Watumishi au viongozi wa siasa ni Mashoga?
Nani anaweza nithibitishia hili maana Mimi Kwa umri wangu sijawahi shuhudia Kwa macho hapa Tanzania zaidi ya kuambiwa kama hivi unless Huwa Kuna maeneo maalumu nao wanajiuza kama wanawake lakini hata huko sijawahi ona na sitaki kuona maana nitasikitika sana.
Homosexuality ni kutembea uchi?!!Kutembea uchi ya uchi ni sawa si sawa? Fkr na watoto wanakua
Haki zipo lakn znaukomo
Lazima serikali itoe tamko mkuu. Kukaa kimya kunaweza kuleta tafsiri nyingi.Ni habari ya kushitua kwa kiongozi wa juu kukiri kuwepo kwa mapenzi ya jinsia moja. Maana yake kuna tatizo hilo miongoni mwa jamii na wanashangaa mahusiano hayo. Niwaombe msimuingize mama mkenge naye akataoa kauli kisha ikahamia bungeni kutungiwa sheria kuwatia korokoroni wapenzi hao.
Tunahofia nchi yetu isije ikawekewa vikwazo vya uchumi kuwa inakadamiza haki za binadamu kwa kuingilia faragha zao. Habari za mashoga nimeanza kuzisoma miaka 20 ishirini iliyopita, tena mashoga yakijiremba kama wanawake na kushiriki shughuli za burudani hadharani hasa muziki wa taarabu na kitchen part. Kulikuwa na mashoga maarufu yale majina yao yalianza na title aunt ...
Ina maana serikali haikuona wapenzi hao miaka hiyo? Sasa nini kinawafanya washangae uwepo wa mashoga wakati wapo muda mrefu? Yaani hapa wanaukoleza badala ya kuufifisha. Hebu wasitake kukwaruzana na marekani na washirika wake wanaounga mkono mapenzi ya jinsia moja. Mambo mengine unasukumiwa uingie kingi ili msimamo wako ujulikane, ni mtego wa kuepukwa.
usinichurie balaa hilo, kwa hiyo kumuua ndiyo suluhisho?Utu gani achen kutetea ujinga imagine mwanao awe shoga huwez pata huu ujasir wa kusema cjui utu
Yaan dume kama demu
Acha udini.Yaani Tanzania na baadhi ya watanzania ni bure kabisa, sasa rais asemeje kwani ni janga la taifa hili, taasisi za dini za watu husika zipi, tupitishe sensa tujue wa dini ipi wako wengi na tutawatambua kwa majina yao, then hatua zichukuliwe