Makamu wa Rais Dkt. Mpango: Wabunge wa upande wa pili (CHADEMA, ACT na CUF) ni vema mkajiunga CCM ili kwa pamoja tujenge nchi

Huyu kaanza vibaya anakuwa na mawazo mfu kama mungu yule asiyeishi!
 
Kwani wapinzani walifanikiwa kupata wabunge!!!?

Mi nachojua bungeni ni Ccm tu.
Kujenga nchi mpaka uwe Mbunge? Kwani hawawezi teuliwa sehemu nyingine kama Mama Mngwira, DC Nanyumbu, DC Tunduru n.k
 
Dr Mpango kama wewe ni mcha Mungu kweli tuambie ndani ya roho yako kama uliopita Ubunge wako kihalali na Mungu anakuona kwenye kaulia yako hii.
 
Usisahau mkuu, CCM ni CHAMA CHA MAZEZETA
Lakini ndio wanaokuongoza hao.. Ili ujue uzezeta wao nenda ofisi yoyote ya CCM atamke hayo maneno uone utaingizwa nini kwenye shimo lako linalotoa uchafu
 
Yule hafai anakiburi sn
 
Kwani wapinzani walifanikiwa kupata wabunge!!!?

Mi nachojua bungeni ni Ccm tu.
Aliumwa sana mpango karibia azikwe, akufe kabla ya Magufuli kufa.
Akili yake imeshasahau au anafikiri bado yupo kwenye bunge la Magufuli, la kununua wapinzani.

Tuendelee kumshangaa tu, hakuna namna.
 
Huyu ameshafeli kabla ya kuanza,nadhani corona imemuathiri vibaya sana
 
MATAGA mmepoteana.
 
Huyu naye, mbona anaongea sana, tangu lini makamu wa Rais akawa mtu wa matamko. Hakika Magufuli kaharibu nchi sana. Itachukua miaka mingine 5-10 kuondoa kichwani mentality za ajabu.
 
Makamu wa Rais mteule jana amekiri kuwa nchi yetu ina maskini wa kutupwa takriban milioni 14. Hii ni baada ya chama chake kushika usukani toka tupate uhuru bila kupokezana na chama kingine. Miaka 60 ya bajeti zao kupita bila kupingwa, matokeo yake ni asilimia 20 ya raia wa nchi yetu wanaishi duni ya umaskini uliopitiliza! Na katika miaka hiyo, yeye alikuwa ndie msimamizi na mshauri Mkuu wa Rais kuhusu masuala ya uchumi kwa miaka 6 ( 10% ya miaka ya uhuru wetu). Inasikitisha sana.

Amandla...
 
Ni ujinga kufikiri kuwa maendeleo ya nchi hii yanakwamishwa na wapinzani. Ni ujinga wa kutosha tena sana! Nchi za Marekani, Uingereza, Ujerumani ni nchi tajiri na zina vyama vingi. Mbona hawalalamiki kukwamishwa na mfumo wa vyama vingi?

Mpango akitaka afanye kazi nzuri aache kuwaona wapinzani kuwa ni maadui. Vinginevyo atachekwa hata akiwa anapumua kwa msaada wa oxygen
 
Mbona Chadema ina mbunge mmoja tu, anazungumzia nini wale COVID19 wa Ndugai!
 
Lisu hataki kuwa mnafiki. Anasumamia yale yote aliyoyasema hayati akiwa hai. Ulitaka kwa sababu hayati hatunaye tena amsifu ?
 
Kwani Chadema wana wabunge? Ninavyojua mimi wale wa chadema 19 walifukuzwa, sasa sijui ni wa chama gani.
 
Lissu hanaga habari mpya afadhali hata Maria sarungi!

Tunataka ukweli na sio habari mpya. Maana hata Qoran na Bible hazina habari mpya, lakini ni vitabu tunavyoviamini. Nataka Lisu leo apige mule mule. Hata Mandela enzi za makuburu wa Afrika kusini, walikuwa wanasema anachafua nchi kwa yale aliyokuwa anayesema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…