raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Watakuwa live ama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kvp??Wacheni uzushi ,kamala atakuwa na mapumziko binafsi
Kwani niniKvp??
Viongozi wa tz wanahusudu mavi8Wakiwa na v8 kwenye safari zao hufanya foleni za kijinga sana Sasa leo acha nao wamsubili huyo mama
"Masikini hana jeuri kwa tajiri"
Ndo itifaki za matajiri mzee vumilia.Kashatua ila kibaya ndege ya airtanzania kutoruhusiwa kukanyaga ata anga la Dar
We unadhan toka anaanza safar hakujua kuwa atapokelewa na Vice mwenzake?Nimeangalia video ya mapokezi ya VP Kamala akipokelewa na VP Philip Mpango? Hii imekaaje watu wa protocally ukizingatia uzito wa USA unamfanya VP wake kuwa juu pia!!
Wew ulitakaje ,mbona walivopakiwa kwenye mabasi siku za nyuma uko nchi za mabeberu hukuhoji mbwaa😅😅Nimeangalia video ya mapokezi ya VP Kamala akipokelewa na VP Philip Mpango? Hii imekaaje watu wa protocally ukizingatia uzito wa USA unamfanya VP wake kuwa juu pia!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wew ulitakaje ,mbona walivopakiwa kwenye mabasi siku za nyuma uko nchi za mabeberu hukuhoji mbwaa[emoji28][emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwahiyoooo???Mke wa mtu yule.