Mbna yeye prezoo alvoenda kule alipokelewa na huyu kamala.Vp kwa vp akija prezida ataenda prezida
Ndo malipizi sasaMbna yeye prezoo alvoenda kule alipokelewa na huyu kamala.
Mh acha niishie hapo.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwahiyoooo???
Protocol tu hizo .....haina shida kumbuka mgeni wa SSHNimeangalia video ya mapokezi ya VP Kamala akipokelewa na VP Philip Mpango? Hii imekaaje watu wa protocally ukizingatia uzito wa USA unamfanya VP wake kuwa juu pia!!
Mheshimiwa hafungamani na sera za upindeNimeangalia video ya mapokezi ya VP Kamala akipokelewa na VP Philip Mpango? Hii imekaaje watu wa protocally ukizingatia uzito wa USA unamfanya VP wake kuwa juu pia!!
...SI amepokelewa na VP Mwenzake? Inatosha, tusijishushe Sana! Tuna thamani. Raisi Wetu ampokee Naibu Raisi Wao ???Nimeangalia video ya mapokezi ya VP Kamala akipokelewa na VP Philip Mpango? Hii imekaaje watu wa protocally ukizingatia uzito wa USA unamfanya VP wake kuwa juu pia!!
Ha ha haaMke wa mtu yule.
Unataka ujue nini Sasa mbona unafuatilia🤪🤪🤪🤪[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwahiyoooo???
Ingekua Joe kupokelewa na Mpango ndo malipizi, ila kwa hapa itifaki imezingatiwaa.Ndo malipizi sasa
SemaaaaMh acha niishie hapo.
Sasa nisifuatilie?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unataka ujue nini Sasa mbona unafuatilia[emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Picha hawezi kuleta kwasababu inapishana na maelezo yake, huyo kamala wao wamempokea kwa bashasha zote tu kama wapokeavyo mabeberu wengine.Bila picha?