Wew ni gasho africa itachelewa sanaBado Xi JinPing nae atakuja mwaka huu huu au ujao maana alialikwa..
Jiwe alikuwa anatembelewa na Rais wa Malawi,Zambia ,Burundi nk [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Siku alipopigiwa simu na Xi alichanganyikiwa Hadi akatapanya mafaili Ofisini [emoji1787][emoji1787]
Huna kingine unachowaza zaidi ya kupigwa miti?Stupid!Ushoga ni moja ya Imani ya Democrats wa Marekani.
Aje na agenda ya ushoga piaTanzania itapata ugeni mkubwa kutoka kwa Makamu wa Rais wa Marekani Bi. Kamala Hariss anayetarajiwa kuanza ziara yake kuanzia tarehe 25 Machi 2025.
Bi kamala na Rais Samia wamekuwa na mazungumzo ya mara kwa mara kiasi ambacho wamejenga urafiki mkubwa baina yao.
View attachment 2546492
Waliomba radhi wale na ndege zao zinakujaWale KLM na security alert yao ya mchongo imeishia wapi?
sisi tuko upande wa urusi na uchina
Itachelewa kama itaendelea kuwa na Viongozi wenye mawazo ya kijima na wajinga kama wewe..Wew ni gasho africa itachelewa sana
Kwamba watafanyaje? Hadi Sasa mbona msimamo wa Tzn ni haitambui rasmi lakini haiwakatazi,ndio maana yule poti alifutwa kazi.Mapenzi ya jinsia 1 ni agenda kuu.
Haipingwiiiii. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unashindwa kuelewa wanapapatikia Russia Huwa wanapata nini hasa?Kwa taarifa yako Urusi hajawahi kutoa fedha kufadhili chochote yeye anchojua ni kutoa silaha na Wegnar anachotaka ni uasi uasi tuu, washirika wa maendeleo wa kweli Africa ni Marekani,European Union, Japan, South Korea,Scandinavian countries and the likes.
Upi? Wote sasa ni ccm (b)..Je, atapata nafasi ya kuonana na viongozi wa vyama vya UPINZANI?
silaha ukizithaaminisha unapata hela nyingiKwa taarifa yako Urusi hajawahi kutoa fedha kufadhili chochote yeye anchojua ni kutoa silaha na Wegnar anachotaka ni uasi uasi tuu, washirika wa maendeleo wa kweli Africa ni Marekani,European Union, Japan, South Korea,Scandinavian countries and the likes.
Wewe leo unahitaji silaha au pesa kuweza kuendesha maisha yako?silaha ukizithaaminisha unapata hela nyingi