Picha hii CCM wanatamani isiwepo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Picha hii CCM wanatamani isiwepo!
Yupo na mwingine ambaye alikuwa balozi lakini baada ya kumsalimia Lissu alirejeshwa nyumbani.Kwa kawaida jasiri haachi asili atakuwa jasiri tu.
Nakumbuka mama Samia akiwa makamu wa Rais wa JMT ndio kiongozi pekee wa juu katika mihimili yote mitatu aliyekuwa na ujasiri/ uthubutu wa kwenda kumjulia hali mhanga wa shambulio la risasi mbunge Tundu Lisu pale Nairobi hospital
Huyu mama ambaye sasa ndio Rais wa JMT ni jasiri.
Tunakumbushana tu.
Maendeleo hayana vyama!
Mtoto wa marehemu Edward SokoineYupo na mwingine ambaye alikuwa balozi lakini baada ya kumsalimia Lissu alirejeshwa nyumbani.
Huo ndio ubinadamu pongezi kwake.....!
Mungu hulipa na kuenzi wema wa mtu.Inawezekana kitendo chake cha kumtembelea Lissu ndio zilimpa kibali cha kuwa rais leo
Mungu, The Omnipotent, Muweza wa yote, katuonyesha kitu katika uhai wetu, tutakacho wahadithia vizazi na vizazi vijavyo.Mungu hulipa na kuenzi wema wa mtu.
😂😂Hivi huyu hawezi kutumbuliwa?[emoji275]
😆😆😆Katika hali ya kawaida huwa namuona Mama Samia kama anasifa nyingi sana za kuwa ni Top Tz maana hakuna sehemu anayopwaya ikifika kutumia busara. Nategemea kumuona 2020 akitupigania baada ya kuongozwa na mzalendo wa kweli JPm.