Daaah
Binadamu Mtakatifu Unajikosesha Baraka kwa Kutokutoa Sadaka kwa Hao Wa Kanisani!?
Mungu amekuuumba Kwamba usipompa Anakunyima Baraka! Yaani Mungu amekuumba Amekupa Uwezo wa kutengeza Pesa ila Ukimnyima hizo Pesa Anakunyima Baraka
Ungejiuliza kwanza Hata Washenzi..Wezi..Majambazi..malaya..Mafisadi.. Wachoyo wamepewa Baraka za Kuishi vizuri hapa Duniani kuliko wale ambao Hawafanyi madhambi hayo
Mungu amekuwekea Akili Hapo Ulipo baraka zako utazipata Ukitumia akili zako vizuri kutafuta Vitu. Hao wanaoiba ..wanafanya ufisadi .. wanaofanya uzinzi.. wote wanamtegemea Mungu ila Wanachokosa ni Kumtii Mungu basi