Makato anayokatwa Mwalimu mwenye Digrii kwenye mshahara

Makato anayokatwa Mwalimu mwenye Digrii kwenye mshahara

Hao mashoga wala usiwaamini. Kalikuja kamoja nikawa nakafanyia interview kamegraduare LAW. nikakauliza mshahara wake wa chini kabisa tsh ngapi. Kakaniambia mil 3.

Leo hii kanafanya kazi kanalipwa 600,000.
Taasisi nchi hii ambazo zinalipa mshahata milioni 1 kwa muajiriwa mpya ni za kuhesabu,ukiachana na private sectors ambazo wanajitahidi kiasi kuna NGO's ambazo nazo kupata chaka huko kama baba yako sio waziri ni kama haiwezekani.

lakini watu wanavyoleta dharau kwa waalimu humu,mh utadhani wanalipwa milion 5😁😁
 
Mkuu nakumbuka ulisoma mechanical engeneer, hongera
Yeah mkuu Nashukuru Mungu, Sasa hivi nipo kwenye Oil & Gas, sihaba aisee maana kwenye hio pdf naolingana nao wapo kwenye I huko, nabado na marupurupu pemben na na Miaka 6 tu Tangu nimalize. Kwahio ngoja niendelee kumuheshimu na kumtii Line manager wangu, maana nje ya uwezo wangu yeye pia kashikilia kibarua changu.
 
Yeah mkuu Nashukuru Mungu, Sasa hivi nipo kwenye Oil & Gas, sihaba aisee maana kwenye hio pdf naolingana nao wapo kwenye I huko, nabado na marupurupu pemben na na Miaka 6 tu Tangu nimalize. Kwahio ngoja niendelee kumuheshimu na kumtii Line manager wangu, maana nje ya uwezo wangu yeye pia kashikilia kibarua changu.
Ni kweli mkuu, komaa mno pia jitahidi kuwekeza pia.
 
I loved you mentality dude. The same traits we share. Hakuna hela ndogo ni mawazo madogo mtu anayo. Kuna mtu kwa iyo utakuta ana hela na vitega uchumi vingi kuliko mwenye kuchukua net ya 3M. We can bet. The problem is in our mind , within ourselves but we try to throw blame to external factors instead of internal factors.
Acha kujipa moyo mzee huo mshahara kwa degree holder ni ndogo sana kwa maisha ya sasa.
 
Ndio, walimu wa science wanawazidi walimu wa art kama 50,000/= waliweka hii kama promotion kwa walimu wa science, walimu wa art inasoma hiyo uliyoandika hapo, lakini wa sciencee tulianza na 822k, nimeajiriwa 2022 kwa physics naelewa nachosema...
Wafanyakazi wa halmashauri woote njaa kali tu hakuna mwenye uafadhali,
Wote mkuu
 
Nimepitia hio Pdf aisee, ngoja niendelee kumuheshimu Line manager wangu, huku nikiendelea kupiga kazi Kwa ari juhudi na nguvu zangu zote nikiendelea kujenga vitega uchumi pembeni. Maana nimegundua wafanyakazi wengi wa Serikali japo Wana security ya kazi lakini wanaishi maisha magumu.
We ni bwana shamba wa private sio?
 
Afya wote wanamzidi Kuanzia diploma na kuendelea..

TGHS B ni diploma Na ni 740,000/=
TGHS C ni Advance Diploma ni 1,040,000/=
TGHS D NI Bachelor ya Manurse na Phamarcy ni 1.2Mil
TGHS E Ni bachelor ya Daktari ni 1.5Mil
View attachment 3042129

Wafanyakazi wa mahakama...
TJs 1.1 ambayo Ni certificate na makarani wenye cheti ni 660k
TJS 2.1 makarani wa Diploma ni 981k
TJS 3.1 mawakili na Maafisa wengine wenye Bachelor 1.39 Milion..
mahakimu na Maafisa wengine waandamizi wanaendelea chini..
View attachment 3042132
Lete na wahandisi, tuone ikojee huko.
 
Back
Top Bottom