Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
Better off than the othersKwa makadirio, mshahara wa daktari Serikalini basic ni 1,480,000
HESLB wanakata 222,000
74000 ya PSSSF
kodi ni 290,580
bima ya afya 44,400
Unabaki na 849,020
Toa kodi ya nyumba, bill ya maji, umeme, usafiri na chakula halafu niambie unabaki na sh ngapi?
Inaumizaa, [emoji24][emoji24][emoji24]Kuna mtu anaingia bungeni anasinzia tu, akishtuka anagonga gonga meza kikao kikiisha anapokea posho, jioni unamkuta rainbow au bambalaga, then mwisho wa mwezi anakunja mara 10 ya hicho kipato. Amaa kweli dunia uwanja wa fujo
Stiv Ake, Mwijaku na Babalevo wanakusanya Zaid ya 10 Kwa mwezKwa makadirio, mshahara wa daktari Serikalini basic ni 1,480,000
HESLB wanakata 222,000
74000 ya PSSSF
kodi ni 290,580
bima ya afya 44,400
Unabaki na 849,020
Toa kodi ya nyumba, bill ya maji, umeme, usafiri na chakula halafu niambie unabaki na sh ngapi?
Na walifel classStiv Ake, Baba Levo
Stiv Ake, Mwijaku na Babalevo wanakusanya Zaid ya 10 Kwa mwez
Juma kaleft group kitamboIna maana wanazidiwa kipato hata na juma lokole
Kweli kabisa!!!! Binadamu tumeumbwa tuje Duniani kumtukuza Mungu Kisha utakufa na mwisho wako ndio hapo... Ukuu wa Mungu haulipwi Kwa pesa, Je utampa Mungu kiasi gani Ili umshukuru alivyoumba bahari, Milima, mabonde, anga nkDini zinaenezwa kwa misingi ya kuwajaza hofu wajinga.
Jaribu kukaa na wanazuoni ambao theology imelala utaelewa dhahiri Kamba na fix tunazopigana na kujazana hofu, fear of unknown.
Mungu hawezi kuomba pesa kwa binadamu.
Hatari sanaJuma kaleft group kitambo
Ni Uarabuni ipi yenye mazingira mazuri?Bora tulio zetu uarabun na f4 zetu tunawa zoom. Nalamba laki 7 net kazi fresh na mazingira mazuri. napata mahitaji yote nasevu pesa 95% na spend kununua toothpaste na sabuni ya kuogea.
Mnavoongea. Kama mnazilipa hizo kodi.Ukienda kwenye biashara utajuta kuzaliwa. Huku kuna kodi, tozo na ada kibao. Bado fire tingisha, osha, efd, ada ya mazingira, brela, mwenge, tbs,tmda, heslb, nhif, nssf- bora mbaki huko huko serikalini
Tajiri kwani ukiwa na masters ndio unakua nani/nini labda mpaka usitumwe na mwenye diploma ?Ndio maana una masters na bado unatumwa na wenye diploma!
Una akili za kipumbavu! Na umekoment upumbavu!
Full stop!
Qatar bosiNi Uarabuni ipi yenye mazingira mazuri?
Bado Mkopo wa BankKwa makadirio, mshahara wa daktari Serikalini basic ni 1,480,000
HESLB wanakata 222,000
74000 ya PSSSF
kodi ni 290,580
bima ya afya 44,400
Unabaki na 849,020
Toa kodi ya nyumba, bill ya maji, umeme, usafiri na chakula halafu niambie unabaki na sh ngapi?
Mbona mnalalamika sana?, Sasa kwann wasingejisomesha badala yake wakaApply mkopo HESLB?, Huoni makato ya mkopo wa HESLB 222,000 kwa mwezi hapo yalivyo makubwa. Hayo makato mengine ni halali kabisa kwa ambaye hakuchukua mkopo wa masomo. Na hapo bado hujaweka makato ya chama cha wafanyakazi kwa daktari aliyeko serikalini.Kwa makadirio, mshahara wa daktari Serikalini basic ni 1,480,000
HESLB wanakata 222,000
74000 ya PSSSF
kodi ni 290,580
bima ya afya 44,400
Unabaki na 849,020
Toa kodi ya nyumba, bill ya maji, umeme, usafiri na chakula halafu niambie unabaki na sh ngapi?
Hiyo kodi inaitwa PAYE, yaani pay as you earn, jinsi mshahara wako ulivyo ndivyo inavyokatwa, huwezi kulinganisha PAYE tax ya mwenye certificate vs ya mwenye degreeSema wakuu kodi tunayo lipa Serikali ni kubwa sana. 290k Seriously?
Kuna mtumishi asiyekatwa hizo kodi? GDP ya nchi yako inawezesha ulipwe mabilioni?Weka ka chumvi ka uzalendo tumikia nchi wakati yanaboreshwa mdogo mdogo,au sio daktari?Kwa makadirio, mshahara wa daktari Serikalini basic ni 1,480,000
HESLB wanakata 222,000
74000 ya PSSSF
kodi ni 290,580
bima ya afya 44,400
Unabaki na 849,020
Toa kodi ya nyumba, bill ya maji, umeme, usafiri na chakula halafu niambie unabaki na sh ngapi?