Uncle Elroy
JF-Expert Member
- May 22, 2016
- 1,177
- 1,090
Hiv barabara ya machame ishajengwa?
Mbowe si ndo mbunge wa huko?
At vijiji...so tunatishana sio...
Kama unataka battle mimi nakuja na wilaya moja tu ya muleba..
Moja ya barabara huko machame.
Naomba usikimbie pleaseView attachment 2812726
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Wakati nchi inapata uhuru tayari lami ilishafika Machame. Alafu sina nguvu za kubishana na wewe wakati ukweli unajulikana na uko wazi.