Makazi ya Netanyahu yaliyopo Caesaria yashambuliwa kwa drone

Kwenye Nchi inayojinasibu kuwa na jeshi Bora, inakuwaje Drone inatumwa tena na wanamgambo, mifumo yote ya ulinzi inashindwa kabisa kuizuia hiyo drone, tutakosea tukisema Hezbollah wanamzidi maarifa Israel?
Una akili ya kitoto sana.

1. Hakuna mfumo wa ulinzi ulio foolproof.

2. Kwenye vita, hakuna upande mmoja tu ambao utakuwa na mafanikio kwa 100% halafu upande mwingine uwe na mafanikio 0%.

3. Mpaka sasa ni viongozi wa upande upi ambao wamekuwa deleted? Magaidi au Israel?

4. Ni wazi kabisa Netanyahu hakuwepo hapo na ndo maana ulinzi wa anga haukuwa tight.

5. Narudi kulala. Siku hao Hizbolaa wakimkamata Netanyahu, Galant, Hagari, niamshe, tafadhali.
 
Hajui maana ya wanamgambo.
Yeye anavyofikilia wanamgambo anafikilia kama wanamgombo wa jiji huku bongo land.

Hao Hezbollah na hamasi ni jeshi kamili. Hajui kwa Nini wanaitwa wanamgambo.
Ni kama m23 drc wanaitwa wanamgambo ila shughuli ndo Ile wanampk air defense system.
 
Hatari sana
 
Mm nilisema mwisho w Israel tutauwona Iran wanatumia akili sana ktk kuitokomeza serikali ya kiIsrael moja wapo awataki kupiga Airport kutoa nafasi watu wakimbie Israel upande w pili wanapiga seem muimu zaid ilikuwatisha wanachi kwamba awako salama ikiwa seem zenye umuimu zaid kimkakati zinapigwa vip adui akiamuakutulenga sisi ambao atuna usalama w kutosha itskuwaje. Kwaiyo hiii inachagiza watu wasongemane Airport wengine washaandoka lkn wanawasiliana na wenzao ktk ali km hii wale wapo nnje wanadhidi kuwa na hoja kwawenzao. Mnasubili nn ikiwa nyumba ya PM inapigwa nyinyi mnasubili kufa. Kila hezbollah anapopiga alengi tu kuuwa uyo Netanyahu au wajesh wakubwa lkn kuna msukumo mwengine uzalishwa w wawatu kuondoka na watu kushawishiana wenyewe kwa wenyewe akuna matumaini ikiwa meeneo nyet yanapigwa. Kuondoka kwa watu kunafaida kubwa kwa mipango ya Iran kuitokomeza iyo serikali inayoitwa Israel ili uwelewe ili soma jivalishe ukazi w Israel uko na ndio unaona unasikia ukweli huu watu wanapiga seem zenye ulinzi mkubwa. Afu jesh lenu linashutumiwa kuuwa raia wamama watoto kupiga hospital shule nyumba z ibada mnashutumiwa kuwanyima chakula maji mmeshtakiwa mahakaman y kimataifa apo apo wewe raia pacha yani una uraia wa nchi zaid ya moja. Sababu waisrael %80 wana uraia pacha JE utabaki ktk ichi iyo mkivamiwa kama 7act utamlaumu nani so wanchi wanakopana watumiana pesa tickets wanasepa kwawingi kila ikitokea kitu watu wanadhidi kushawishika kuwa wanatakiwa kuondoka. Wanaokimbia sio raia tu adi wanajeshi. Waisrael wanafahamika wanaishi nchi nyingi duniani lkn ikitokea vita kwao apo Israel wanarudi vijana kike kiume wanakwenda kusaidia inchi yao. Lkn vita hii itavuruga sana ule mfumo wao mana walienda wenyewe lkn kwasasa wanatoloka tena kwashidasana kupata kutoloka wanatoa rushwa kubwa, Kama ilivo Ukraine nako mwanzo wanchi walikuwa wanajitolea kupigana kwa umati lkn kwasasa ni kukamatana kama vibaka wrngine tumesikia wanatoa rushwa kuikimbia Ukraine kupitia mipakq tofaut tofaut tukija apo Israel uwezi kukimbia kupitia nchi tofaut mana ni waraabu tu ambao vijana w kiIsrael wanonekana ni wauwaji watoto ikichagiza na sheria Israel kila kijana lazima wapitie jeshini kwaiyo kivyovyote wakitolekea kwa waarabu njia akuna salama. Inabidi waonge kwao kwao utoloke kwamba mgojwa au sababu nyengine. Kuendelea kwa vita ivi Israel inajichimbia seem y kuzikwa. Nawatakia asubui njema yenyematumaini , yanga bigwa
 
Ndiyo tafsiri ya "...naliwajua kabla hamjanijua..."
Ushauri wangu wangekubali yaishe tu tukae kwa amani
 
Anahangaika hana makazi maalumu.Kama panya.
Nani kakwambia ?? Netanyahu ni tajili ana makazi si zaidi ya 9.........unafikiri analala kwenye nyumba moja kawa panga..........yule akai kwenye nyumba za urithi ndio maana hana makazi maalum
 
Hayo ni mawazo yako tuu,
Havina uharisia. Ni yaleyale kina kagame kupanda kuuwa wahutu wote Rwanda kwa ku sacrifice watutsi wachache.
Mpk sasa baada ya vita kuisha Rwanda Kuna wahutu zaidi ya million 12.3 na watutsi million 1.5
 
Na amedhiirisha uwezo huo kwa vitendo, ndani Iran, Lebanon na kwinginepo. Kuua Majenerali muhimu wa Iran, wanasayansi muhimu, viongozi wa Hizibullah na Hamas sio kitu simple
Baada ya kuua kafanikiwa wapi israhell ya kwenye media Ile ndio inatisha
 
Sasa Lebanon na Israel aliyefeli kiulizi nani?
Sawa useme drone za Ukraine kupiga urusi ndani useme urusi imefeli kiulizi.
Wewe unavuoona nani kafeli kiulizi?
Ukraine inayopewa misaada ya intel na silaha na nchi zote za NATO, sitoshangaa drones zao kuingia Russia, Ukraine ni nchi ina jeshi kamili tena ipo vizuri kijeshi kuliko nchi nyingi tu Ulaya.

Hezbolah ni militia, wanamgambo, so linganisha unipe jawabu, wanamgambo kupitisha drone kwenye anga lako unataka tuseme ni nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…