Makazi ya Netanyahu yaliyopo Caesaria yashambuliwa kwa drone

Makazi ya Netanyahu yaliyopo Caesaria yashambuliwa kwa drone

Israel inapambana na vikundi vya migambo ambavyo anavizidi silaha na pesa za misaada anazopewa.

Na vikundi hivyo vinaonyesha kukabiliana naye vikali.
Hivyo jeshi la Israel ni overrated, juzi hapa katumiwa salamu na Iran mbona kashindwa kujibu?

Huko Lebanon ameua viongozi wa Hezbollah lakini sidhani kama atashinda.
Hadi leo hao mateka waliotekwa na hamas kawapata?
Hamas bado wamekataa kuweka silaha chini...

Ukiitizama Gaza ilivyo ndogo na imezungukwa na Israel ni ngumu kuamini jamaa ni mwaka sasa wanahangaika kupambana na kisehemu ukubwa wa wilaya na vijana waliobeba AK47.

Naamini Hamas ina askari wakali wa mapigano kuliko Israel katika levels zote.
Israel haijashindwa kujibu mashambulizi ya Iran.
 
Dah! Ila iran ilionyesha umahiri wa hali ya juu sana, missiles kupita anga za nchi nyingine hadi kupiga Israel ni uwezo wa hali ya juu sana...
Ule uhakika kwamba hivi vyuma vinafika si mchezo...

Kwamba hawakuwa na wasiwasi baadhi ya missiles kati ya hizo zote 200 kwamba kuna hata baadhi zitaanguka nchi za watu kwa malfunctioning na kuua raia wa nchi zingine kama Jordan n.k...

Jamaa vyuma vyote 200 vimetua salama ardhi ya Israel, hii hata kama ni wewe lazima uogope, ni utaalamu wa hali ya juu sana .
Na ndicho kitu kinachowaumiza kichwa Israel na washirika wake wakubwa! Silaha za Iran ni tishio kubwa na zenye uwezo wa kukwepa mifumo ya ulinzi ya Israel na Marekani.

Jana Israel imetuma ombi kwa US wawaletee kifurushi cha pili cha THAAD dhidi ya makombora ya Iran.

Tayari Iran imeshatengeneza axis dhidi ya washirika wa US hapo mashariki ya kati ambapo kuna base za US kuanzia nchini Syria, Iraq, Lebanon, Yemen na Bahrain anakundi kubwa linamuunga mkono.

Baghdad huko raia wamekitia moto kituo cha kutolea matangazo ya habari cha Saudia MBC baada ya kurusha taarifa ya habari isemayo Qaasim Suleyman, Ismail Haniyeh na makundi mengine yaliyojitokeza kupigana na Israel kwenye vita dhidi ya Ghaza ni magaidi.

Raia wa Iraq wakaona mambo yasiwe mengi wakakitia moto.

Na kila kukicha wanajiona hawapo salama zaidi. Juzi ilikuwa makombora ya Iran, Leo drones za Hizbullah zimewaonyesha hivyo! Kesho sijui itakuwa nini!

Na ndiyo maana vibaraka wa US wamebaki na propaganda tu ila kuruhusu anga zao kwa sasa wamefyata mkia.
 
Na ndicho kitu kinachowaumiza kichwa Israel na washirika wake wakubwa! Silaha za Iran ni tishio kubwa na zenye uwezo wa kukwepa mifumo ya ulinzi ya Israel na Marekani.

Jana Israel imetuma ombi kwa US wawaletee kifurushi cha pili cha THAAD dhidi ya makombora ya Iran.

Tayari Iran imeshatengeneza axis dhidi ya washirika wa US hapo mashariki ya kati ambapo kuna base za US kuanzia nchini Syria, Iraq, Lebanon, Yemen na Bahrain anakundi kubwa linamuunga mkono.

Baghdad huko raia wamekitia moto kituo cha kutolea matangazo ya habari cha Saudia MBC baada ya kurusha taarifa ya habari isemayo Qaasim Suleyman, Ismail Haniyeh na makundi mengine yaliyojitokeza kupigana na Israel kwenye vita dhidi ya Ghaza ni magaidi.

Raia wa Iraq wakaona mambo yasiwe mengi wakakitia moto.

Na kila kukicha wanajiona hawapo salama zaidi. Juzi ilikuwa makombora ya Iran, Leo drones za Hizbullah zimewaonyesha hivyo! Kesho sijui itakuwa nini!

Na ndiyo maana vibaraka wa US wamebaki na propaganda tu ila kuruhusu anga zao kwa sasa wamefyata mkia.
Iran ni moto mkali sana, Israel wana haki ya kuufyata mkia.
 

Uzuri Israel inafahamu akili za wairan.

Kipimo kilekile utakachowapimia wao ndicho watakachokupimia.

Ukiwaulia makamnda wao wa kijeshi na wao wanavamia kambi zenu za kijeshi kwa vifurushi vya missiles.

Ukiwaulia viongozi wao wa wakubwa wa kisiasa na wewe watakuondolea viongozi wako na hilo Israel analijua.

Na ndiyo maana baada ya rais wa Iran kufariki kwa ajali ya helicopter Netanyahu alikana kwa nchi yao kuhusika na kutoa amri marufuku kwa kiongozi yeyote wa Israel kutoa tamko lolote litakaloonyesha wao ndiyo wamehusika.

Israel itabaki kujigamba kwa njia ya propaganda. Jana wameomba kwa US wawapitie kifurushi kingine cha THAAD.
 
Qur'an 2:154. Wala msiseme kuwa wale walio uwawa katika Njia ya Mwenyezi Mungu ni maiti; bali hao ni wahai, lakini nyinyi hamtambui. 154
Kuran sio kitabu cha kuamini kwani vimeandikwa zaidi ya ishirini na kingine kilichowahi kuandikwa huko nyuma kililiwa na kondoo na vingine vilipotea.
***********************************************
The Quran is not preserved and is corrupted
The famous statement and belief is that “Allah” wrote the Quran. But did Allah truly write the Quran or was it revealed to Muhammad who was incapable of writing the Quran. It was actually revealed in 7 dialects from Allah because certain tribes or groups didn’t know how to speak the other dialects. Therefore, the different lands had different preservations and memorizations of the Quran which is why after Muhammad died (which is when Qurans started being written), muslims were at disagreement and war with each other. Muslims we’re calling other muslims disbelievers because they believed in a different Quran.

If the different Qurans say the same, why would they feel the need to call other ones disbelievers.. the differences had to be great, which I have examples. But back to the history, Caliph Uthman decided out of his own will (not Allah’s or Muhammad’s order) to destroy the other Allah Given Qurans by burning them (sin) and he chose a council of muslims (some were companions of Muhammad) and re created a standardized Quran. Not the original, but his version. Remember, Muhammad told these companions different versions of the Quran so many did disagree yet we are still here to believe that there is only one Quran, when actuality, there is more than 26 Qurans in Arabic where the words are changed, which changes the meaning.

So I ask again, is the Quran today actually Allah’s word, or is it corrupted like every religion is supposedly. Let’s not forget sheep ate pages. Others were lost.

And to debunk this theory, if they memorized it perfectly, which lets say they did.. Allah sent 7 dialects. Muhammad taught different versions. If they were the same, why would one muslim feel to call others disbelievers ? Why would Uthman feel the need to make HIS OWN PERSONAL QURAN WITHOUT DIVINE REVELATION or COMMAND ?
***********************************************
 
Uzuri Israel inafahamu akili za wairan.

Kipimo kilekile utakachowapimia wao ndicho watakachokupimia.

Ukiwaulia makamnda wao wa kijeshi na wao wanavamia kambi zenu za kijeshi kwa vifurushi vya missiles.

Ukiwaulia viongozi wao wa wakubwa wa kisiasa na wewe watakuondolea viongozi wako na hilo Israel analijua.

Na ndiyo maana baada ya rais wa Iran kufariki kwa ajali ya helicopter Netanyahu alikana kwa nchi yao kuhusika na kutoa amri marufuku kwa kiongozi yeyote wa Israel kutoa tamko lolote litakaloonyesha wao ndiyo wamehusika.

Israel itabaki kujigamba kwa njia ya propaganda. Jana wameomba kwa US wawapitie kifurushi kingine cha THAAD.
Hivi kwanini Israel hawajawahi kusema wamehusika na tukio lolote ndani ya Iran???
Why???
Na hata Iran hawana ushahidi kwamba Israel wanahusika kwa matukio ndani ya Iran. Ila mara nyingi Iran wanakuwa tuu wanaamini Wenda ni Israel. But hawana ushahidi.
Why this???
 
Back
Top Bottom