Makazi ya Netanyahu yaliyopo Caesaria yashambuliwa kwa drone

Makazi ya Netanyahu yaliyopo Caesaria yashambuliwa kwa drone

Hapa naona Team Hizbula mnajifariji tu.

Hicho kilichotokea ni sawa na kurusha jiwe kwenye paa la nyumba ya mtu halafu ukajiona bingwa.

Mkuu wa Hizbula kauliwa na Israel.

Wakuu wa Hamasi wameuliwa na Israel.

Wapalestina zaidi ya 40,000 wameuliwa na Israel.

Huko Lebanon, IDF inatembeza kichapo cha uhakika.

Mpaka sasa hakuna kiongozi yeyote yule wa Israel aliyeuliwa.

Netanyahu yupo. Galant yupo. Gantz yupo.

Mpaka sasa hakuna kiongozi yeyote yule wa Israel aliye na high profile ambaye amekufa kutokana na mashambulizi ya H&H.

At this point y’all are just clutching at straws.

You are wishcasting.
Israel ni hadith nyingine boss
 
Qur'an 2:154. Wala msiseme kuwa wale walio uwawa katika Njia ya Mwenyezi Mungu ni maiti; bali hao ni wahai, lakini nyinyi hamtambui. 154
Njia ya Mungu hamuifamu Nyie mpaka muulize waliopewa kitabu
Mtume wenu aliwaonya muwe mnauliza waliopewa kitabu ndo mnaweza kuelewa

Pia hapo alijitoa lawama ili siku ya hukumu ajitoe kwamba aliwaelekeza muulize wenye kitabu
 
Qur'an 2:154. Wala msiseme kuwa wale walio uwawa katika Njia ya Mwenyezi Mungu ni maiti; bali hao ni wahai, lakini nyinyi hamtambui. 154
Kabla ya Muhammed saw Wayahudi walikuwa wakiishi bila shida yeyote katika Hijazi na Yemen lakini baada ya Muhammed saw kuja na Uislamu akaanza kulazimisha Wayahudi na Wakristo walipe "Jizya" laa sivyo Wasilimu.

Wewe unaona sawa hiyo Bibie?
 
Hapa naona Team Hizbula mnajifariji tu.

Hicho kilichotokea ni sawa na kurusha jiwe kwenye paa la nyumba ya mtu halafu ukajiona bingwa.

Mkuu wa Hizbula kauliwa na Israel.

Wakuu wa Hamasi wameuliwa na Israel.

Wapalestina zaidi ya 40,000 wameuliwa na Israel.

Huko Lebanon, IDF inatembeza kichapo cha uhakika.

Mpaka sasa hakuna kiongozi yeyote yule wa Israel aliyeuliwa.

Netanyahu yupo. Galant yupo. Gantz yupo.

Mpaka sasa hakuna kiongozi yeyote yule wa Israel aliye na high profile ambaye amekufa kutokana na mashambulizi ya H&H.

At this point y’all are just clutching at straws.

You are wishcasting.
Israel inapambana na vikundi vya migambo ambavyo anavizidi silaha na pesa za misaada anazopewa.

Na vikundi hivyo vinaonyesha kukabiliana naye vikali.
Hivyo jeshi la Israel ni overrated, juzi hapa katumiwa salamu na Iran mbona kashindwa kujibu?

Huko Lebanon ameua viongozi wa Hezbollah lakini sidhani kama atashinda.
Hadi leo hao mateka waliotekwa na hamas kawapata?
Hamas bado wamekataa kuweka silaha chini...

Ukiitizama Gaza ilivyo ndogo na imezungukwa na Israel ni ngumu kuamini jamaa ni mwaka sasa wanahangaika kupambana na kisehemu ukubwa wa wilaya na vijana waliobeba AK47.

Naamini Hamas ina askari wakali wa mapigano kuliko Israel katika levels zote.
 
Kumlenga Kiongozi wa Nchi ni kosa la Kimataifa. Ayatolah akilengwa Direct kwenye Shimo lake analojifichia wasilielie.
Oya vipi wewe acha vitisho
20241019_134738.jpg
20241019_143418.jpg
 
Ni excuse hizo mzee, hizo drone zinapenya air defenses, kutoka umbali wa km 70 hadi kwenye hio nyumba unafikiri imepenya air defenses ngapi?

Katika wakati huu wa vita hizo sehemu za VIPs zinalindwa sana...

Tuwe wakweli kwamba, Israel imefeli kiulinzi hapa, imetokea kwenye mashambulizi ya Iran na itatokea tena na tena.
Sasa Lebanon na Israel aliyefeli kiulizi nani?
Sawa useme drone za Ukraine kupiga urusi ndani useme urusi imefeli kiulizi.
Wewe unavuoona nani kafeli kiulizi?
 
Back
Top Bottom