Mjuni Lwambo
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 11,133
- 12,361
Yeah, ambulance ilienda kuangalia kama kuna casualities.Wanasema hakuna casualty,lakini ambulance ilionekana hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah, ambulance ilienda kuangalia kama kuna casualities.Wanasema hakuna casualty,lakini ambulance ilionekana hapo
Sasa mbona wameanza kubondwa zamani, viongozi wao mapolo kwa mapolo washauwawa kwann wanarusha moja moja ? Maana yake ni kwamba washarusha nyingi ila nyingi zimekuwa detected na air defense na chavhe kama hizo ndio zinapenya kwahiyo air defense za Israel bado ziko vizurNi excuse hizo mzee, hizo drone zinapenya air defenses, kutoka umbali wa km 70 hadi kwenye hio nyumba unafikiri imepenya air defenses ngapi?
Katika wakati huu wa vita hizo sehemu za VIPs zinalindwa sana...
Tuwe wakweli kwamba, Israel imefeli kiulinzi hapa, imetokea kwenye mashambulizi ya Iran na itatokea tena na tena.
Duh!Watakuwaje taifa moja wakati magaidi wa Hamas wenyewe wanataka primitive and ancient sharia law.
Sio kwamba wanachukulia poa, hawana tu chakufanya zaidi, wameshafanya kila aina ya ukatili na kupuuza sheria zote za usalama kwasababu kila gumu na lenye kuumiza wanakutana nalo wao kwanza,wamevurugwa, naukishakua na hasira busara zinakaa mbali.IDF wana chukulia poa ila hizbollah ni threat kubwa kwao
Haikuwa mojaYeah, ambulance ilienda kuangalia kama kuna casualities.
Ungekua wewe, makombora yamesafiri 2000km toka Iran kwa dk 8 na yakapiga shabaha kana kwamba yalielekezwa kwa mkono,ungetamani kumuua kiongozi wao mkuu?!Kama haijali ingeshamuua Ayatolah siku nyingi sana.
Unakuwaga inept sana kichwani mkuuHapa naona Team Hizbula mnajifariji tu.
Hicho kilichotokea ni sawa na kurusha jiwe kwenye paa la nyumba ya mtu halafu ukajiona bingwa.
Mkuu wa Hizbula kauliwa na Israel.
Wakuu wa Hamasi wameuliwa na Israel.
Wapalestina zaidi ya 40,000 wameuliwa na Israel.
Huko Lebanon, IDF inatembeza kichapo cha uhakika.
Mpaka sasa hakuna kiongozi yeyote yule wa Israel aliyeuliwa.
Netanyahu yupo. Galant yupo. Gantz yupo.
Mpaka sasa hakuna kiongozi yeyote yule wa Israel aliye na high profile ambaye amekufa kutokana na mashambulizi ya H&H.
At this point y’all are just clutching at straws.
You are wishcasting.
Makombora 200 yaliyofika ni 30 tena hayakufanya madhara makubwa.Ungekua wewe, makombora yamesafiri 2000km toka Iran kwa dk 8 na yakapiga shabaha kana kwamba yalielekezwa kwa mkono,ungetamani kumuua kiongozi wao mkuu?!
Hii haimaanishi sinwar hajafa.........bado hayatolah tu awaishwe kwenye bikra zake😁🤣🤣 Hata kama haishi hapo kitendo cha Hiyo drone kufika ktk Hiyo nyumba bila drone Hiyo kuonekana inalitia dosari jeshi la ulinzi la Israel na Taifa zima Kwa ujumla
Lini huyo Sinwaar ameuawa mkuu?Ukweli ni hivi at the end Hezbollah itakuwa kama Hamas, Gaza, viongozi wake watakimbia Lebanon.
Umeona picha ya Sinwar hana Ubongo?
Wewe mjingaMakombora 200 yaliyofika ni 30 tena hayakufanya madhara makubwa.
Kijiwe samliAnaishi wapi?
Upo dunia gani mkuu?!Lini huyo Sinwaar ameuawa mkuu?
Ad hominem attacks are the quintessence of projection.Unakuwaga inept sana kichwani mkuu
Ujinga sio tusi wewe mwerevu mbona hujibu Hoja zangu?!Wewe mjinga
View attachment 3129752
Na huyu Gaidi alikuwa anasema hivyo hivyo.
View attachment 3129754
Na Sponsor wa Magaidi analia na kusaga meno.