Adiosamigo
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 7,681
- 9,892
Halali hapo liogo sana nasikia wanamzulia eti Iran kataka kumuwa, wakati ni Hezbullah 😄Shambulizi limepiga nyumba ya Netanyau ila hakuwepo hapo wakati shambulizi linafanyika.
Netanyau alisha zikimbia nyumba zake tangu kuanza kwa vita.
Sa nenda kapige Iran mnaogopa nini.