Uzuri hizo sheria za karne ya saba hazituhusu sisi waafrika na ndio maana tumezikataa kwani sisi sio waarabu.Sheria za kuruhusu uchoko ndiyo siyo primitive
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uzuri hizo sheria za karne ya saba hazituhusu sisi waafrika na ndio maana tumezikataa kwani sisi sio waarabu.Sheria za kuruhusu uchoko ndiyo siyo primitive
Ila tuwe wakweli, Hili shambulizi ni maafisa wa Iran wametekeleza, kama ni Hezbollah basi ni kwa maelekezo ya wana intelijensia kutoka Iran.Asante Sinwar amekufa kiume anapambania nchi yake. Hasira mnazo nyie hapo Netanyahu kapigwa Drone na Hezbollah mwambie awe makini anatafutwa roho yake
Kwakutumia rada za msikiti wa kwa mtoro sio.
Anafikiri serikali ya Israel ni sawa na serikali ya CCM, na sio mlipuko tu incident yyte hata kama ni ndogo.
Anafikiri serikali ya Israel ni sawa na serikali ya CCM, na sio mlipuko tu incident yyte hata kama ni ndogo.
Ila tuwe wakweli, Hili shambulizi ni maafisa wa Iran wametekeleza, kama ni Hezbollah basi ni kwa maelekezo ya wana intelijensia kutoka Iran.
Hapa ndipo nimeanza kuelewa kwanini Iran walisema Israel akijibu watarudisha mashambulizj makali zaidi.
Na sidhani kama lile shambulio la missiles 200 walikuwa hawajui hio nyumba ipo wapi..
Kuna aspects tofauti ziliangaziwa kwa nini viongozi si busara kuuliwa ikitokea vita baina ya pande mbili. Lakini iliangazia kwenye viongozi wa kisiasa si wa kijeshi International Law; Geneva Conventions.
View: https://x.com/DrEliDavid/status/1847558493814804989?t=ORCIRM7vD0DF2PnvZxO67A&s=19
Iran wanaangaika kweli kama vile hawana kazi zingine za kufanya
Wanaukumbi.
#BREAKING Kulingana na Hebrew Media, makazi ya kibinafsi ya Netanyahu huko Caesarea yalipigwa na ndege zisizo na rubani za kujitoa mhanga zilizozinduliwa na Hezbollah mapema leo.
Hatima na hali yake haijulikani kwa sasa. Lakini imethibitishwa kuwa alikuwa ndani ya makazi hayo wakati ndege zisizo na rubani zilipoipiga.
Ofisi ya Netanyahu inakataa kutoa maoni yake kuhusu aliko Waziri Mkuu wakati wa mgomo wa moja kwa moja kwenye makazi yake ya kibinafsi huko Kaisaria.
Ambulances zinaonekana mbele ya makazi yake pia.
=========================
View: https://x.com/warintel4u/status/1847556152197804499?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Netapaka yuko Arusha kitamboHakuna jipya maana netanyahu haishi hapo tena.........
Sahihi mkuu..Kuna aspects tofauti ziliangaziwa kwa nini viongozi si busara kuuliwa ikitokea vita baina ya pande mbili. Lakini iliangazia kwenye viongozi wa kisiasa si wa kijeshi International Law; Geneva Conventions.
Hii miiko iliwekwa ili kuweza kuangaziwa na kuamuliwa lipi ni baya na lipi ni sahihi kufanywa wakati wa vita. Kwa bahati mbaya Israel inapambana na vikundi vya kijeshi na siyo nchi.
Hivi vikundi viongozi wao ndiyo political leaders na wa kijeshi. Sasa kanuni aliyoianzisha Israel inaanza kumnyemelea yeye mwenyewe.
Mbaya zaidi ni mashambulizi yanayoonyesha inawezekana kuwaua viongozi wa Israel kwa sababu yote yame hit target.
Ninachoweza kusema hii vita sasa imeelekea pabaya.
Itakuwa imekuja kumbeba Netanyahu baada ya kushambuliwa na kuumizwa vibaya. Nasikia kiwiliwili kimejitenga na miguuWanasema hakuna casualty,lakini ambulance ilionekana hapo
Alikuwepo, ameshafyekwaMna bahat Netanyau ..angekuepo angeitandika fimbo moja hyo drone ingevunjika..kama ilivyo kuwa kwa sinawali alivyo fukuza drone na fimbo
Tujitahidi kuwa wastaarabu, sio vizuri kumtukania mtu Mungu wake. Lugha za kejeli ziwe na mipaka, ugomvi wa wengine usitufanye kuharibu amani yetu.Tofauti ya Wayahudi na Waarabu wayahudi wanaamini katika kutumia akili wakati wavaa Kobazi wanaamini mambo yatatokea kwa nguvu za fala allah
Shambulizi limepiga nyumba ya Netanyau ila hakuwepo hapo wakati shambulizi linafanyika.Mleta habari umeleta habari mbili zenye maelezo ambayo yanatuchanganya.
Habari ya kwanza inataja kuwa makazi ya Benja yameshambuliwa na inavyodaiwa Benja alikuwepo.
Habari ya pili inasema shambulio limefanyika eneo lililo karibu na makazi ya Benja.
Sasa hapo tushike lipi?
Akiuawa hata waisrael wengi watafurahi maana anarazimisha kuendeleza vita hali yakuwa raia wamesha vichoka.Yaani mkimuua netanyau magaidi sijui mchimbe mahandaki urefu gani mjifiche
Ikiwezekana yawe Marefu mtokee upande wa pili wa Dunia la sivyo.