Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 51,303
- 40,190
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaukumbi.
#BREAKING Kulingana na Hebrew Media, makazi ya kibinafsi ya Netanyahu huko Caesarea yalipigwa na ndege zisizo na rubani za kujitoa mhanga zilizozinduliwa na Hezbollah mapema leo.
Hatima na hali yake haijulikani kwa sasa. Lakini imethibitishwa kuwa alikuwa ndani ya makazi hayo wakati ndege zisizo na rubani zilipoipiga.
Ofisi ya Netanyahu inakataa kutoa maoni yake kuhusu aliko Waziri Mkuu wakati wa mgomo wa moja kwa moja kwenye makazi yake ya kibinafsi huko Kaisaria.
Ambulances zinaonekana mbele ya makazi yake pia.
=========================
View: https://x.com/warintel4u/status/1847556152197804499?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Sasa huyo benja amenusirika vifo vingapi mpaka anafikisha umri ule? Kobazi wengineAmeshindwa kumua toka 1979 ndio ataweza leo
Hezbollah wametuma ujumbe kua hata makazi ya Ben yako wazi tu
Habari zingine zinasema Nyau mwenyewe alikuwepo hapo, sema Israel wanajaribu kuficha ukweli.Kwa sababu viongozi wa Israel wanechagua hayo maisha acha wapambane.
Hivi hakuna majeruhi kwenye hio nyumba kweli, au jamaa hakuwa na familia hapo?
Wewe unaamini kachero komando wa jeshi mkongwe anaweza kuwa anaishi kwenye makazi yake rasmi kipindi cha vita?
Hii ni hatari sana, drone kutembea km 70 na kupiga target sio mchezo.Kuanzia leo Netanyau hawezi kukaa hadharani.
Nikiripoti matukio kutoka Israel ni Mimi muddy wa kisarawe mikoroshoni .
Hello kaislamist ka Buza! kaallah kenu ndiyo kamewadanganya mfanye hilo jaribio! na unajiburudisha na hizo taarifa ulizopewa? Ni kweli kumekuwa hilo jaribio. Sasa ni kwambie kitu!! ? Waingereza wana usemi " you are poking the bear" mmempa Netanyahu kila sababu ya kukamalizia kababu kenu KaAyatollah Ali Khamenei. Maana mwamba yuko salama hiyo drone yenu ya shahed ime failAsubuhi hii kuna taarifa za kushambuliwa makazi binafsi ya waziri mkuu wa Israel huko Caesaria kwa drone ya hizbullah iliyosafiri 70km bila kuamsha mitambo ya ulinzi ya Israel, drone hiyo ikionekana kupita nyuma ya apache helicopter za Israel.
IDF imezuwia habari zozote toka makazi hayo,japo ambulance imeonekana hapo
Mashuhuda wanasema mlipuko ulikuwa mkubwa
Drone launched at Netanyahu home in northern Israel, spokesman says
By Reuters
October 19, 202410:21 AM GMT+3Updated 19 min ago
JERUSALEM, Oct 19 (Reuters) - A drone was launched towards Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu's home in the northern Israeli town of Caesarea on Saturday, his spokesman said, adding that the premier was not in the vicinity and there were no casualties.
Earlier, the Israeli military said that a drone was launched from Lebanon
Tofauti ya Wayahudi na Waarabu wayahudi wanaamini katika kutumia akili wakati wavaa Kobazi wanaamini mambo yatatokea kwa nguvu za fala allah
Watakuwaje taifa moja wakati magaidi wa Hamas wenyewe wanataka primitive and ancient sharia law.Sure, bila hiyo suluhu hapa amani haitapatikana.
😁😁😁😁 umesahau kutaja jina la kituo chako cha kaziNikiripoti matukio kutoka Israel ni Mimi muddy wa kisarawe mikoroshoni .