gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 3,915
- 6,272
- Thread starter
- #141
Labda kama wanataka kurudi kwa makundi walikotokaHezbollah gave Israel full legitimacy to attack the office/residence of the Supreme Leader of Iran in Tehran .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda kama wanataka kurudi kwa makundi walikotokaHezbollah gave Israel full legitimacy to attack the office/residence of the Supreme Leader of Iran in Tehran .
Kawaida yaoInasemekana Israel hawataki habari hizi kujulikana.
Wakisema alikuwepo itadhihirisha udhaifu wao na uhodari wa hizbullah kiintelijensia,kwa hiyo kwa taifa la kujimwambafai kama israel inabidi waseme hakuwepoHabari zingine zinasema Nyau mwenyewe alikuwepo hapo, sema Israel wanajaribu kuficha ukweli.
Asante Sinwar amekufa kiume anapambania nchi yake. Hasira mnazo nyie hapo Netanyahu kapigwa Drone na Hezbollah mwambie awe makini anatafutwa roho yakeHasira za nini maalim?Pole na Msiba wa Yahya Sinwar
Sheria za kuruhusu uchoko ndiyo siyo primitiveWatakuwaje taifa moja wakati magaidi wa Hamas wenyewe wanataka primitive and ancient sharia law.
Nimecheka kumsikia Biden anasema ceasefire huko Lebanon inawezekana bada ya kuwatia pressure serekali ya Lebanon je Israel atakubali kuwapa ushindi Hezbullah sababu target yake ni kuwafukuza Hezbullah kwenda baada ya mto Letani. Hicho kitu hakiwezekani UN resolution inataka silaha za Hezbullah zivunjwe na serekali ya Lebanon ndio iwe peke ina miliki silaha hicho pia hakiwezekani. Ki ujumla Israel akisimamisha vita Lebanon ujuwe Hezbullah kashinda
Siri za chumbani za Netanyahu wewe umezijuaje?Wewe unaamini kachero komando wa jeshi mkongwe anaweza kuwa anaishi kwenye makazi yake rasmi kipindi cha vita?
Nasikia kavunjika nyonga tusubiri taarifa kamiliTumuombee bibi awe salama inshaallah.
Hizo drone ulitengeneza wewe mkuu? Hao unaowaita wavaa kobazi Wana maarifa na teknolojia ya Hali ya juu sana!Tofauti ya Wayahudi na Waarabu wayahudi wanaamini katika kutumia akili wakati wavaa Kobazi wanaamini mambo yatatokea kwa nguvu za fala allah
Wanaukumbi.
#BREAKING Kulingana na Hebrew Media, makazi ya kibinafsi ya Netanyahu huko Caesarea yalipigwa na ndege zisizo na rubani za kujitoa mhanga zilizozinduliwa na Hezbollah mapema leo.
Hatima na hali yake haijulikani kwa sasa. Lakini imethibitishwa kuwa alikuwa ndani ya makazi hayo wakati ndege zisizo na rubani zilipoipiga.
Ofisi ya Netanyahu inakataa kutoa maoni yake kuhusu aliko Waziri Mkuu wakati wa mgomo wa moja kwa moja kwenye makazi yake ya kibinafsi huko Kaisaria.
Ambulances zinaonekana mbele ya makazi yake pia.
=========================
View: https://x.com/warintel4u/status/1847556152197804499?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
KwaAmeshindwa kumua toka 1979 ndio ataweza leo
Atakaa tu ayatollah anagawa mipesa huko bibi na public figure wengine wauwae lakini mambo yanaenda hovyo magaidi wanadakwa kama kukuKuanzia leo Netanyau hawezi kukaa hadharani.
Kwani wamenza kumtfta leo? Bibi kanusirika kifo tangu akiwa kijana na umri ule ataogopa nini komandoo kabisa yule atishwe na mfuga ndefu kama ufagio?Asante Sinwar amekufa kiume anapambania nchi yake. Hasira mnazo nyie hapo Netanyahu kapigwa Drone na Hezbollah mwambie awe makini anatafutwa roho yake
Kwani wamenza kumtfta leo? Bibi kanusirika kifo tangu akiwa kijana na umri ule ataogopa nini komandoo kabisa yule atishwe na mfuga ndefu kama ufagio?Asante Sinwar amekufa kiume anapambania nchi yake. Hasira mnazo nyie hapo Netanyahu kapigwa Drone na Hezbollah mwambie awe makini anatafutwa roho yake
Umeongea neno kubwa mno. '...watashindwa kupiga raia...?'Hii ni hatari sana, drone kutembea km 70 na kupiga target sio mchezo.
Ndio watu huwa hawaelewi kwamba hata Hezbollah haishindwi kushambulia raia...
Kama nyumba ya PM inapigwa, watashindwa kupiga mkusanyiko wa raia?
Halafu mtu anakuambia ni magaidi.
Mzee baba huyu hapa kiboko ya magaidi kuanzia tehran mpakq buza kwa lulengeHabari zingine zinasema Nyau mwenyewe alikuwepo hapo, sema Israel wanajaribu kuficha ukweli.
Huwa nacheka wafuasi wa taifa teule wanapo kuwa wanawacheka viongozi wa Hamas na Hizbullah kujificha kwenye handaki wakati hata bwana wao Netanyau anaishi huko huko.Kwa hio mkuu ausubuhi anatokea shimoni kuelekea ofisini 😂😂
Mbona maisha magumu sana haya...
By the way, ninachoona Iran inaweza kuratibu mauaji ya kiongozi yeyote wa Israel.