Makazi ya Netanyahu yaliyopo Caesaria yashambuliwa kwa drone

Makazi ya Netanyahu yaliyopo Caesaria yashambuliwa kwa drone

Asubuhi hii kuna taarifa za kushambuliwa makazi binafsi ya waziri mkuu wa israel huko caesaria kwa drone ya hizbullah iliyosafiri 70km bila kuamsha mitambo ya ulinzi ya israel,drone hiyo ikionekana kupita nyuma ya apache helicopter za israel
IDF imezuwia habari zozote toka makazi hayo,japo ambulance imeonekana hapo
Mashuhuda wanasema mlipuko ulikua mkubwa

Drone launched at Netanyahu home in northern Israel, spokesman says​

By Reuters
October 19, 202410:21 AM GMT+3Updated 19 min ago



JERUSALEM, Oct 19 (Reuters) - A drone was launched towards Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu's home in the northern Israeli town of Caesarea on Saturday, his spokesman said, adding that the premier was not in the vicinity and there were no casualties.
Earlier, the Israeli military said that a drone was launched from Lebanon
And before this war is over, we prove that even the god king can bleed.
Twende kazi lazima kieleweke hakuna cha iron dome wala nini hapa
 
Wakianza kupigwa kipigo cha Mbwa Koko,wasianze kulia lia Al-Jazeera Israel inaua watoto na akina Mama
 
Watu wanazaliwa kila siku,wanasoma ,wanapata mafunzo,ukiua 1 anawekwa mwingine.
Bado mataifa yana import watu wenye professional kwenda kufanya kazi.
Itafika mahala watajua kwa nini Jordan, Egypt, Saudis, UAE wamekaa pembeni, sio wajinga kushindana na mtu aliyekuzidi ni ujinga, ndani kabisa ya mifumo ya kiusalama ya Iran, Israel kapandikiza Mossad waarabu wenzao ndio maana anapata taarifa za uhakika hata location za viongozi wao na mipango yao mapema sana. Rais mstaafu wa Iran Ahmednajjad amekiri waliwahi kugundua mawakala 20 ndani ya kitengo maalumu cha kupambana na Mossad. Hata kifo cha Ibrahim Rais kwa ajali ya Helkopta ni shughuli ya Mossad, kuunganisha dots kumbuka kulipuliwa kwa pagers za wapiganaji wa Hezbollah tu huko Lebanon
 
Asubuhi hii kuna taarifa za kushambuliwa makazi binafsi ya waziri mkuu wa israel huko caesaria kwa drone ya hizbullah iliyosafiri 70km bila kuamsha mitambo ya ulinzi ya israel,drone hiyo ikionekana kupita nyuma ya apache helicopter za israel
IDF imezuwia habari zozote toka makazi hayo,japo ambulance imeonekana hapo
Mashuhuda wanasema mlipuko ulikua mkubwa

Drone launched at Netanyahu home in northern Israel, spokesman says​

By Reuters
October 19, 202410:21 AM GMT+3Updated 19 min ago



JERUSALEM, Oct 19 (Reuters) - A drone was launched towards Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu's home in the northern Israeli town of Caesarea on Saturday, his spokesman said, adding that the premier was not in the vicinity and there were no casualties.
Earlier, the Israeli military said that a drone was launched from Lebanon
Wanajipigia tu bila taarifa za inteligensia, wenzao wakipiga ujue gaidi amerest in pieces
 
Asubuhi hii kuna taarifa za kushambuliwa makazi binafsi ya waziri mkuu wa israel huko caesaria kwa drone ya hizbullah iliyosafiri 70km bila kuamsha mitambo ya ulinzi ya israel,drone hiyo ikionekana kupita nyuma ya apache helicopter za israel
IDF imezuwia habari zozote toka makazi hayo,japo ambulance imeonekana hapo
Mashuhuda wanasema mlipuko ulikua mkubwa

Drone launched at Netanyahu home in northern Israel, spokesman says​

By Reuters
October 19, 202410:21 AM GMT+3Updated 19 min ago



JERUSALEM, Oct 19 (Reuters) - A drone was launched towards Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu's home in the northern Israeli town of Caesarea on Saturday, his spokesman said, adding that the premier was not in the vicinity and there were no casualties.
Earlier, the Israeli military said that a drone was launched from Lebanon
Ukiua kwa upanga utauawa kwa upanga
 
Itafika mahala watajua kwa nini Jordan, Egypt, Saudis, UAE wamekaa pembeni, sio wajinga kushindana na mtu aliyekuzidi ni ujinga, ndani kabisa ya mifumo ya kiusalama ya Iran, Israel kapandikiza Mossad waarabu wenzao ndio maana anapata taarifa za uhakika hata location za viongozi wao na mipango yao mapema sana. Rais mstaafu wa Iran Ahmednajjad amekiri waliwahi kugundua mawakala 20 ndani ya kitengo maalumu cha kupambana na Mossad. Hata kifo cha Ibrahim Rais kwa ajali ya Helkopta ni shughuli ya Mossad, kuunganisha dots kumbuka kulipuliwa kwa pagers za wapiganaji wa Hezbollah tu huko Lebanon
Wale wako pembeni hawapati athari ya moja kwa moja na huyo msabato huwezi kumwambia mtu wa gaza ambae mizaituni yake inachomwa kila wanapojiskia akae mbali hio itakua ni akili kweli
 
wameshashiba hao,acha watufuane vizazi tu
 
Back
Top Bottom