Makazi ya Netanyahu yaliyopo Caesaria yashambuliwa kwa drone

Makazi ya Netanyahu yaliyopo Caesaria yashambuliwa kwa drone

Wajukuu zake na wale ndugu lawama wote wanao kaa kula kulala kwishnei maana ni shambulio la kushtukiza vitu vilipita nyuma ya helkopta zao wenyewe
Screenshot_2024-10-19-10-14-17-919_com.android.chrome.jpg
Screenshot_2024-10-18-16-31-27-978_com.twitter.android~2.jpg
Screenshot_2024-10-18-16-13-35-244_org.mozilla.firefox~2.jpg
 
Ndio hiyo waliua 1200 Octoba 7, mwaka jana, wameshakufa 42,000 so sad waliosababisha Hili. Na vita nzuri kusikia kwa jirani tu isikufikie
Nyie ndio wale baba amekufa linakuja jamaa kumchukua mama ako linakaa nae nyumba aliijenga babaako kwakua ni li askari magereza wewe unaliacha unalipa na funguo za gari ya babako kwa uoga
 
Sehemu yoyote ambako kutatokea mlipoko lazima watu wa afya wawepo.
Benja sio mjinga namna hio mpk akae nyumbani kwake kwenye nyumba binafsi na sio ikulu.
Yani Samia aache kukaa sehemu salama akaake nyumbani kwake.
Anafikiri serikali ya Israel ni sawa na serikali ya CCM, na sio mlipuko tu incident yyte hata kama ni ndogo.
 
Huo utopolo wa US ni mavi tu kwa Hezbollah na Iran wanawaoneaga Gaza tu kwa sababu wanatumia mawe
Kichapo anachokula hezbullah utashukuru kile cha Iran
Hawana supply ya fedha wala silaha na kwa ujumla wanapumulia mashine.Wengi wao wanajisalimisha kwa sasa
 
Itafika mahala watajua kwa nini Jordan, Egypt, Saudis, UAE wamekaa pembeni, sio wajinga kushindana na mtu aliyekuzidi ni ujinga, ndani kabisa ya mifumo ya kiusalama ya Iran, Israel kapandikiza Mossad waarabu wenzao ndio maana anapata taarifa za uhakika hata location za viongozi wao na mipango yao mapema sana. Rais mstaafu wa Iran Ahmednajjad amekiri waliwahi kugundua mawakala 20 ndani ya kitengo maalumu cha kupambana na Mossad. Hata kifo cha Ibrahim Rais kwa ajali ya Helkopta ni shughuli ya Mossad, kuunganisha dots kumbuka kulipuliwa kwa pagers za wapiganaji wa Hezbollah tu huko Lebanon

Kwa hiyo Daudi kwenda kupambana na Goliath ilikuwa ni ujinga?

Vipi upinzani kupambana na CCM?

Au vipi vita vyovyote vilivyopiganwa dhidi ukoloni?
 
Back
Top Bottom