dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
fungua pm kwanzaUna miaka mingapi kwani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
fungua pm kwanzaUna miaka mingapi kwani?
Ukifikisha 18 nishtue😃fungua pm kwanza
Addiction mzee bonge la arosto.Majitu hayaoni kinyaa unachomeka kwenye .... mmmh
Akikusingizia hivyo na si kweli si unaomba ushahidi?Angesema Wanawake husingizia sababu hiyo.
Nazijua kesi za namna hiyo, wanawake wengi wakitaka kukuacha au kukudhalilisha wanatabia ya kusema umewaomba kinyume na maumbile.
Kwahyo hizi ambazo hazijavunjika ndo tuseme wameamua kutoa ushirikiano au[emoji1787]? Ila Dar Pagumuuu
Kaka mwanamke ukitaka kumjua alivyo hasa, ishiwa...utaona rangi zake zote. Ndo utamjua mtu halisiKUFUKUZWA KAZI
KUFILISIKA KIBIASHARA
KUPATA AJALI+ULEMAVU AU UGONJWA SUGU!
ukifilisika utajua mwanamke NI kiumbe cha aina gani!
Unaletewa sababu za kitoto na wewe bila utafiti unakurupuka kwenda media kutangaza uongo. Hata yeye Joyce akiombwa nyuma na mumewe kama anaye haiwezi kuwa sababu ya kuachana kama kweli wanapendana.Afisa Ustawi wa Jamii wa Jiji la Dar es Salaam, Joyce Maketa, amesema kwamba miongoni mwa mambo yanayovuruga ndoa hadi kupelekea wanandoa kuachana inasababishwa na wanaume kuomba mahusiano kinyume na maumbile.
Kauli hiyo ameitoa hii leo Septemba 6, 2022, jijini Dar es Salaam, kwenye kipindi cha SupaBreakfast ya East Africa Radio mara baada ya taarifa kuonesha kwamba kila mwezi ndani ya jiji la Dar es Salaam takribani ndoa 300 zinavunjika.
"Kumekuwa na mahusiano mapya (Kwa wanandoa) yanayopelekea wakati mwingine kuomba kuwa na mahusiano kinyume na maumbile hicho kimekuwa ni moja ya kitu ambacho kimekuwa kikivuruga ndoa nyingi na watu mwisho kuachana, tuachane na hizo tabia tunazozi-copy na tuishi maisha yanayompendeza Mungu,"amesema Joyce
====
Haya yanajiri baada ya kamati ya Bunge ya huduma na Maendeleo ya jamii kutoa ripoti Septemba 5, 2022 iliyoelezea kuwa mkoa wa Dar es salaam unaongoza kwa uvunjifu wa ndoa nyingi nchini ambapo wastani wa ndoa 300 huvunjika kila mwezi.
Kamati hiyo ilibaini pia kuwepo kwa mmomonyoko mkubwa wa maadili na ukatili mkubwa wa kijinsia hasa ule unaohusisha watoto.
EATV
Watumishi wa Serikali ni wavivu sana, mtu bila aibu anakuja na visababu vya kutunga ofisini hakuna utafiti wowote alioufanya au hata kufuatilia matokeo ya tafiti ambazo zimeshafanyika.Afisa Ustawi wa Jamii wa Jiji la Dar es Salaam, Joyce Maketa, amesema kwamba miongoni mwa mambo yanayovuruga ndoa hadi kupelekea wanandoa kuachana inasababishwa na wanaume kuomba mahusiano kinyume na maumbile.
Kauli hiyo ameitoa hii leo Septemba 6, 2022, jijini Dar es Salaam, kwenye kipindi cha SupaBreakfast ya East Africa Radio mara baada ya taarifa kuonesha kwamba kila mwezi ndani ya jiji la Dar es Salaam takribani ndoa 300 zinavunjika.
"Kumekuwa na mahusiano mapya (Kwa wanandoa) yanayopelekea wakati mwingine kuomba kuwa na mahusiano kinyume na maumbile hicho kimekuwa ni moja ya kitu ambacho kimekuwa kikivuruga ndoa nyingi na watu mwisho kuachana, tuachane na hizo tabia tunazozi-copy na tuishi maisha yanayompendeza Mungu,"amesema Joyce
====
Haya yanajiri baada ya kamati ya Bunge ya huduma na Maendeleo ya jamii kutoa ripoti Septemba 5, 2022 iliyoelezea kuwa mkoa wa Dar es salaam unaongoza kwa uvunjifu wa ndoa nyingi nchini ambapo wastani wa ndoa 300 huvunjika kila mwezi.
Kamati hiyo ilibaini pia kuwepo kwa mmomonyoko mkubwa wa maadili na ukatili mkubwa wa kijinsia hasa ule unaohusisha watoto.
EATV
Kuna wanawake washenzi kupita maelezo...kwa mume wake anaonekana hapendi na hajawai fanya michezo michafu ila huko nje ya ndoa kuna njemba inamfukua kama kawaida.Tatizo jamii imeamua kuwasikiliza wanawake kuliko wanaume na wanaume wameamua kukaa kimya mwanamke anafanya madudu yake anajificha kwenye suala la kuombana mzigo kinyume ili apoteze ushahidi.
Ni mama,dada,shangazi, watoto wetu ila wana usheitani fulani wa ndani sana.ndoa inavunjwa halafu anakwenda kutoa jicho kwa jamaa mwingine ili amshawishi kumweka ndani[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
kiumbe mwanamke.