Maketa: Tendo la ndoa kinyume cha maumbile ni chanzo cha ndoa nyingi kuvunjika

Sababu nyingine wamama wamegeuka kuwa wababa wakati wahenga waliagiza Kazi ya Juma ni kuchuma na mwajuma Kukaa ndani! Hata kama Juma ni maamuma! [emoji56][emoji24]
 
Siyo kweli, wafanye research aje na sababu halisi na za kweli.

Kwa research ya JF tunajuwa sababu ni nini lakini siyo hiyo anayotaka kutuaminisha huyo Joyce.
WEKA NA WEWE SABABU ZAKO ACHA KIPINGA BILA SABABU
 

Yeye aliombwa halafu akavunja ndoa yake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…